Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

WORLD CUP FINAL...MATCH TIME:- 00:00

ARGENTINA 0 VS 1 FRANCE.....

Ivi Mechi Ingeanza Ivi Je, Argentina Angebeba World Cup 2022? Kama Angebeba bas Enenda kaanze Mechi yako kama Jibu ni Asinge..Tafadhal Usijaribu,,"Mechi haichezwagi kwny Kiwanja cheny mgogoro, (hata kiwe ni chandimu) Epuka Matapeli"📌🔨
 
Kama moyo wako umemridhia na umeshamchunguza vya kutosha then go with it. Though personally ukiniuliza ningesali sana Mungu anifunulie vya sirini..kuna mambo huwez kuyajua kwa macho ya kawaida mpaka uambiwe na Mungu either kwa ndoto, au mtu kujionyesha waziwazi. Usiangalie mtoto ukaona hana kigezo, kuna wasio na watoto na ni vichomi haswaaa. God can reveal to you what you cant see by your naked eyes...

Ni wazo tu
 
Kama moyo wako umemridhia na umeshamchunguza vya kutosha then go with it. Though personally ukiniuliza ningesali sana Mungu anifunulie vyav sirini..kuna mambo huwez kuyajua kwa macho ya kawaida mpaka uambiwe na Mungu either kwa ndoto, au mtu kujionyesha waziwazi. Usiangalie mtoto ukaona hana kigezo, kuna wasio na watoto na ni vichomi haswaaa. Gof can reveal to you what you cant see by your naked eyes...

Ni wazo tu

mkuu hebu niingize kwenye maombi tuone kama nafaa kuwa mmeo
 
Muache mkuu, kwanza alizaa akiwa 17 embu jiullize atakuwa alilala na wanaume wangapi mpaka akapata hyo mimba....

afu usij limit sana et unampenda, kama ulimpenda huyo utampenda na mwengine achana naye tafuta mali mpya ambayo haijazaa(namba D) muanze maisha utaenjoy sana

hawa single mother ni wazuri ikiwa baba wa mtoto hayupo ila akirudi wanakuwa ni nyoka.. be careful...anaweza kukuharibia maisha kama alivyoharibu ya kwake.
 
Yani unanunua flash drive alafu unakuta ina nyimbo ndani au mechi kabla haijaanza tayali moja bila we ulisikia wapi eti bhana
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
Cjwahi ona mechi inaanz moja bila
 
Kama moyo wako umemridhia na umeshamchunguza vya kutosha then go with it. Though personally ukiniuliza ningesali sana Mungu anifunulie vyav sirini..kuna mambo huwez kuyajua kwa macho ya kawaida mpaka uambiwe na Mungu either kwa ndoto, au mtu kujionyesha waziwazi. Usiangalie mtoto ukaona hana kigezo, kuna wasio na watoto na ni vichomi haswaaa. Gof can reveal to you what you cant see by your naked eyes...

Ni wazo tu
To put it short ungesema hivi

" kiukweli sikushauri uoe single maza ikiwa haujaona kaburi la baba mtoto wake....................hata hivyo sikushauri uoe single maza"
 
K imeshatanuliwa na mtoto wa mtu mwingine, we unadhani kupitisha kichwa cha mtoto tn siyo wako kule chini unadhan mchezo! na wew unataka ukapite hapo hapo, tafuta mwingine utaeanza nae moja
 
Back
Top Bottom