Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaWenzako washakubaliana
Mpk Daftar la rambirambi lionekane
Comment zinaonyesha waziwazi.[emoji23][emoji23][emoji23] sababu ya kusema hivyo?
Sasa single maza waolewe na nani jamani?Single maza wenyewe hawataki watoto wao waoe single maza 😄😄
Kama moyo wako umemridhia na umeshamchunguza vya kutosha then go with it. Though personally ukiniuliza ningesali sana Mungu anifunulie vyav sirini..kuna mambo huwez kuyajua kwa macho ya kawaida mpaka uambiwe na Mungu either kwa ndoto, au mtu kujionyesha waziwazi. Usiangalie mtoto ukaona hana kigezo, kuna wasio na watoto na ni vichomi haswaaa. Gof can reveal to you what you cant see by your naked eyes...
Ni wazo tu
Ndio🤣Mama anataka Memory Card iwe mpya kwenye maganda yake au sio? 😂
Cjwahi ona mechi inaanz moja bilaHabari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.
Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.
katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.
kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!
Ahsanteni.
To put it short ungesema hiviKama moyo wako umemridhia na umeshamchunguza vya kutosha then go with it. Though personally ukiniuliza ningesali sana Mungu anifunulie vyav sirini..kuna mambo huwez kuyajua kwa macho ya kawaida mpaka uambiwe na Mungu either kwa ndoto, au mtu kujionyesha waziwazi. Usiangalie mtoto ukaona hana kigezo, kuna wasio na watoto na ni vichomi haswaaa. Gof can reveal to you what you cant see by your naked eyes...
Ni wazo tu
SawasawaUnaanzaje mechi ushafungwa moja bila,
Pia miaka 17 mhhh kalitembeza mdogo
itakuja kujulikana tu.Kwani ukienda kumtambulisha utaenda na mtoto
HahahSasa mnataka nani awawoweee??