Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Unamuharibia mwenzio[emoji3][emoji3][emoji3] Wanawake na nyie hamtaki tuoe single mazaaaK imeshatanuliwa na mtoto wa mtu mwingine, we unadhani kupitisha kichwa cha mtoto tn siyo wako kule chini unadhan mchezo! na wew unataka ukapite hapo hapo, tafuta mwingine utaeanza nae moja
Single mother tena!Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.
Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.
katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.
kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!
Ahsanteni.
Ninachoona ni vijana wametoa preferences zao kwamtu wamtakae, kama nyinyi mnavyotoa preferences kuwa mwanaume yupi unamtaka. Sasa sijajua utoto wao upo wapi hasa😂😂😂. Kwanini mapendekezo yao muyachukulie ya kitoto wakati ni maisha yao😂😂😂. Je, nanyi mpo tayari kupangiwa au utaitwa unyanyasaji wa kijinsia😂😂😂Comment zinaonyesha waziwazi.
Dakika ya 17 kashapigwa bao!!? hamna timu, hamna beki, hamna kipa hapo. Achana nae utajuta.Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.
Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.
katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.
kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!
Ahsanteni.
Unamuolea mzazi wako au unaoa ili awe mke wako!? Akili za mitoto ya kizazi cha K VANTHabari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.
Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.
katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.
kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!
Ahsanteni.
Kumbe na ww ni mmja wao🙆Ninachoona ni vijana wametoa preferences zao kwamtu wamtakae, kama nyinyi mnavyotoa preferences kuwa mwanaume yupi unamtaka. Sasa sijajua utoto wao upo wapi hasa😂😂😂. Kwanini mapendekezo yao muyachukulie ya kitoto wakati ni maisha yao😂😂😂. Je, nanyi mpo tayari kupangiwa au utaitwa unyanyasaji wa kijinsia😂😂😂
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.
Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.
katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.
kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!
Ahsanteni.
Hivi jamii inawachukuliaje single maza?
Yani humu watoto wa kiume wengi kuliko wanaume kazi kweli kweli.
dah!Unaanzaje mechi ushafungwa moja bila,
Pia miaka 17 mhhh kalitembeza mdogo
Toka janaReactions zimeanza
Sio mmoja wao, ila tumia busara kuheshimu maamuzi ya mtu. Kama hakitaki kitu, wewe utamfanyaje😂😂😂. Ndio uanze kumtukana😂😂😂, utakuwa unataka upendeleo na udikteta. Ishi wewe kama wewe na muache yeye aishi kama yeye😂😂.Kumbe na ww ni mmja wao🙆
Kumbe 🤨Sio mmoja wao, ila tumia busara kuheshimu maamuzi ya mtu. Kama hakitaki kitu, wewe utamfanyaje😂😂😂. Ndio uanze kumtukana😂😂😂, utakuwa unataka upendeleo na udikteta. Ishi wewe kama wewe na muache yeye aishi kama yeye😂😂.
Ndiyo maisha hayo. Hamna aliyebora zaidi ya mwenzake, we are all humans with preferences.Kumbe 🤨
Ooh ukimaliza nambie🤨Ndiyo maisha hayo. Hamna aliyebora zaidi ya mwenzake, we are all humans with preferences.