Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

Nasikia yule wa arusha alikuwa na watoto wawili na jamaa akazaa naye wawili Sasa sijuh kwanini alikuwa na wivu wa ajabu vile!
 
So humuamini mzazi ama kisa elimu ya kikoloni unajiona mzazi wako hamnazo.yaani tungekuwa tunasikiliza wazazi wakati wa kuoa nadhani tusingekuwa tunasumbuka.

Binafsi nilifuata wazazi sijutii smt mie ndiye naumia kuwa namsumbuaga mke wangu. Elimu pembeni. Kuna swali nilikuwa nikijiuliza hivi nimelala ninaumwa najisaidia kwa beseni ataweza kweli kunilea Kama mama yangu wa utotoni ama aliyenizaa. Huyo ndio mke wako.
Wewe unataka Mke wako akulee kama Mama yako?
 
Ingawa mapenzi ni yako lakini amini kuwa wazazi na ndugu zako wa karibu bado wana nafas kwenye familia yako.

Wazazi wanaonaga mbali, huwezi gundua hasa unapokuwa “in love” until ikutokee.

In this generation, kwenye mapenzi punguza hisia ongeza akili.
Punguza hisia ongeza akili
 
Kuoa single mother ni kuoa mke wa mtu, mke wa mtu ni sumu hivyo single mother ni sumu na siyo vinginevyo.

Kama unataka kujiua kwa makusudi oa single mother
 
Kwani ukienda kumtambulisha ni lazima useme anamtoto?!
Mtoto hafichiki hata siku Moja! Kwanza wanawake wenye watoto wanawatumiaga wale wanaowaita wa chumba kuweka security ya mtoto wake! Hivo haraka haraka utaambiwa tumpeleke English medium! Utaambiwa atambulishwe kwenu pia huyo mtoto!

Hakuna Mwanamke atakuwa na Mahusiano na wewe alafu akukubalie mfiche Kama Ana mototo


Britanicca
 
Mtoto hafichiki hata siku Moja! Kwanza wanawake wenye watoto wanawatumiaga wale wanaowaita wa chumba kuweka security ya mtoto wake! Hivo haraka haraka utaambiwa tumpeleke English medium! Utaambiwa atambulishwe kwenu pia huyo mtoto!

Hakuna Mwanamke atakuwa na Mahusiano na wewe alafu akukubalie mfiche Kama Ana mototo


Britanicca
Lakini ni sawa. Hivi kweli unawezaje kumtenganisha Mtoto wake na Mama yake?

Kisa mahusiano na ndoa mpya? Amkane mwanaye amfiche?

Tunaonge kirahisi sisi wanaume lakini ni jambo gumu
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
Achana na single mother wewe. Wao wenyewe wanajijua kuwa ni vimeo
 
Kusikia kwa kenge ni mpaka atoke damu masikioni.
Kila siku humu wanalalama kuhusu singo maza, huko chuga jamaa katoboa mtu jicho kisa ni mambo yanayoshabihiana na hayo.

Lakini bado Zingzingzing anataka kurudia kosa lilelile, mna nini humo kichwani aisee, kamasi au.??

Huyo mtoto anatumia ubini wa nani?? Kama ni wa baba yake mzazi basi jua penzi lako liko matatani kijana.
 
Chief

Kama unaamini kabisa na nafsi inakwambia huyo ndio chagua lako,nakushauri jitwishe huo mzigo chap.

Khs mtoto usiseme kwasasa hlf huko mbeleni unatengeneza story kwamba kumbe wife alikuwa na mtoto Ila aliogopa kuniambia kwa kuhofia nisinge funga nae ndoa,hapo ishu imeisha.

Kumbuka mwisho wa siku ni mke wako na wewe ndo utawajibika Kwa maamuzi yako.
Kwa nini unataka amdanganye mzazi wake? Kama,maamuzi ni yake na unamchochea asisikilize mzazi basi na awe na ujasiri wa kuwaambia ukweli. Akifikia hatua ya kudanganya maana yake amekwisha jihukumu kuwa sio sahihi kuwa na huyo mwanamke.
 
Kwa nini unataka amdanganye mzazi wake? Kama,maamuzi ni yake na unamchochea asisikilize mzazi basi na awe na ujasiri wa kuwaambia ukweli. Akifikia hatua ya kudanganya maana yake amekwisha jihukumu kuwa sio sahihi kuwa na huyo mwanamke.
Sahh
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
Sngle maza
 
Back
Top Bottom