Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Nje ya Topic kidogo..., Kuna mdau alikuwa anapenda sana kupiga vyenga ila mara nyingi akawa anapiga vyenga na kujikuta anajipiga mwenyewe na kupoteza mpira...
Back to the Topic..., Wanadamu huwa tunawapa credit za bure kudhani they are that intelligent, ukweli ni kwamba mara nyingi the simplest explanation is always right..., Na hii minyukano haipo Africa tu wala Chadema peke yake bali dunia nzima. Kwenye rupia back stabbing, kuchukiana na kutofautiana huwa ni order of the day..., hata enzi za kina Margaret Thatcher huko UK haya yalimkuta... Politics hazina rafiki wala adui wa kudumu bali kuna watu wenye common interests at any given time....
Back to the Topic..., Wanadamu huwa tunawapa credit za bure kudhani they are that intelligent, ukweli ni kwamba mara nyingi the simplest explanation is always right..., Na hii minyukano haipo Africa tu wala Chadema peke yake bali dunia nzima. Kwenye rupia back stabbing, kuchukiana na kutofautiana huwa ni order of the day..., hata enzi za kina Margaret Thatcher huko UK haya yalimkuta... Politics hazina rafiki wala adui wa kudumu bali kuna watu wenye common interests at any given time....