Nina mpango kwenda kutafuta maisha Marekani ila sijui naanzia wapi

Nina mpango kwenda kutafuta maisha Marekani ila sijui naanzia wapi

Sawa,ila ungekuwa na degree ingekuwa vizuri sana maana huku US waliosoma na wenye elimu za juu ni wengi sana,so competition ni kubwa.Nipo huku mwaka wa nne huu nilikuwa na mpango wa kufungua kasehemu kwa ajili ya chakula so ungekuwa kidogo umegraduate ningekufikiria.
[emoji508][emoji508]wewe uko hapahapa bongo..[emoji1]
 
Kijana wa Kitanzania anayetaka kuhamia Marekani bila kuwa na mpango maalum anaweza kukumbana na changamoto nyingi. Hali halisi ya maisha nchini Marekani inaweza kuwa ngumu kwa mtu asiye na maandalizi na mpango madhubuti. Hizi ni baadhi ya changamoto na mambo muhimu ya kuzingatia:
  1. Kibali cha Kazi na Makazi:
    • Ili kufanya kazi Marekani, unahitaji kibali halali cha kazi (work visa) kama H-1B, au kadi ya kijani (Green Card) inayokuruhusu kuishi na kufanya kazi nchini humo kisheria. Bila vibali hivi, kufanya kazi itakuwa ni kinyume cha sheria na kunaweza kukusababishia matatizo makubwa.
  2. Gharama za Maisha:
    • Gharama za maisha nchini Marekani ni za juu ikilinganishwa na Tanzania. Hii ni pamoja na kodi ya nyumba, chakula, usafiri, huduma za afya, na bima. Kwa mfano, miji mikubwa kama New York, Los Angeles, na San Francisco ina gharama kubwa zaidi.
  3. Ajira:
    • Kupata kazi bila kuwa na uzoefu maalum, elimu ya juu, au ujuzi maalum inaweza kuwa changamoto. Kazi za kiwango cha chini mara nyingi hulipa mshahara mdogo, ambao unaweza usitosheleze gharama za maisha.
  4. Lugha na Utamaduni:
    • Kujua Kiingereza vizuri ni muhimu kwa maisha ya kila siku na kwa ajira. Pia, kujua na kuelewa utamaduni wa Marekani ni muhimu ili kuweza kujumuika vizuri na wenyeji na kufanikiwa katika mazingira mapya.
  5. Huduma za Afya:
    • Huduma za afya nchini Marekani ni ghali sana. Bila bima ya afya, matibabu yanaweza kugharimu maelfu ya dola hata kwa matatizo madogo ya kiafya.
  6. Mtandao wa Kijamii:
    • Kijana asiye na marafiki au familia nchini Marekani anaweza kuhisi upweke na kupata changamoto katika kuanzisha maisha mapya. Ni muhimu kuwa na mtandao wa kijamii au mfumo wa msaada wa kijamii.
  7. Sheria na Kanuni:
    • Ni muhimu kufahamu na kufuata sheria na kanuni za Marekani, kwani ukiukaji wowote unaweza kusababisha kufukuzwa nchini au mashtaka ya kisheria.
Kwa ujumla, ni muhimu kwa kijana wa Kitanzania au mtu yeyote anayepanga kuhamia Marekani kuhakikisha ana mpango mzuri, vyanzo vya fedha vya kutosha, na maandalizi ya kutosha kabla ya kuhamia ili kuepuka changamoto zinazoweza kusababisha matatizo makubwa.
 
Kijana wa Kitanzania anayetaka kuhamia Marekani bila kuwa na mpango maalum anaweza kukumbana na changamoto nyingi. Hali halisi ya maisha nchini Marekani inaweza kuwa ngumu kwa mtu asiye na maandalizi na mpango madhubuti. Hizi ni baadhi ya changamoto na mambo muhimu ya kuzingatia:
  1. Kibali cha Kazi na Makazi:
    • Ili kufanya kazi Marekani, unahitaji kibali halali cha kazi (work visa) kama H-1B, au kadi ya kijani (Green Card) inayokuruhusu kuishi na kufanya kazi nchini humo kisheria. Bila vibali hivi, kufanya kazi itakuwa ni kinyume cha sheria na kunaweza kukusababishia matatizo makubwa.
  2. Gharama za Maisha:
    • Gharama za maisha nchini Marekani ni za juu ikilinganishwa na Tanzania. Hii ni pamoja na kodi ya nyumba, chakula, usafiri, huduma za afya, na bima. Kwa mfano, miji mikubwa kama New York, Los Angeles, na San Francisco ina gharama kubwa zaidi.
  3. Ajira:
    • Kupata kazi bila kuwa na uzoefu maalum, elimu ya juu, au ujuzi maalum inaweza kuwa changamoto. Kazi za kiwango cha chini mara nyingi hulipa mshahara mdogo, ambao unaweza usitosheleze gharama za maisha.
  4. Lugha na Utamaduni:
    • Kujua Kiingereza vizuri ni muhimu kwa maisha ya kila siku na kwa ajira. Pia, kujua na kuelewa utamaduni wa Marekani ni muhimu ili kuweza kujumuika vizuri na wenyeji na kufanikiwa katika mazingira mapya.
  5. Huduma za Afya:
    • Huduma za afya nchini Marekani ni ghali sana. Bila bima ya afya, matibabu yanaweza kugharimu maelfu ya dola hata kwa matatizo madogo ya kiafya.
  6. Mtandao wa Kijamii:
    • Kijana asiye na marafiki au familia nchini Marekani anaweza kuhisi upweke na kupata changamoto katika kuanzisha maisha mapya. Ni muhimu kuwa na mtandao wa kijamii au mfumo wa msaada wa kijamii.
  7. Sheria na Kanuni:
    • Ni muhimu kufahamu na kufuata sheria na kanuni za Marekani, kwani ukiukaji wowote unaweza kusababisha kufukuzwa nchini au mashtaka ya kisheria.
Kwa ujumla, ni muhimu kwa kijana wa Kitanzania au mtu yeyote anayepanga kuhamia Marekani kuhakikisha ana mpango mzuri, vyanzo vya fedha vya kutosha, na maandalizi ya kutosha kabla ya kuhamia ili kuepuka changamoto zinazoweza kusababisha matatizo makubwa.
Nashukuru kwa mawazo yako mkuu japo mbona kama AI hiyo mkuu?
 
Screenshot_20240508_002107.JPG
 
Tuko pamoja mkuu, mimi mwenyewe niko kwenye mchakato kuondoka hii nchi, maana ina madhira mengi mno. Yaani kuanzia viongozi mpaka raia ni hatari tupu, hii Tanganyika yetu ni shida sana kutimiza ndoto zako. Mkuu fanya mchakato utoke na usirudi nyuma, umri una ruhusu kabisa.
 
Kijana inabidi awe na pasipoti ya kusafiria kisha afanye mchakato wa kupata ujuzi wowote mfano udereva wa malori makubwa aongeze na ujuzi wa kutumia mashine za forklift. Kisha kijana inabidi ajifunze lugha angalau kiingereza kwa ufasaha, muhimu zaidi ni awe na fedha angalau 10M. Baada ya hapo kijana aanze utaratibu wa kusaka Visa husika, ila kwa ushauri wangu anaweza anzia nchi tofauti na huko Marekani mfano kule Uarabuni kisha kule ata tengeneza njia ya kuelekea kule anataka.
Papaa Gx mpe njia kijana aende kiwanja.
 
Kwema wakuu! Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimekuwa nikitafakari sana juu ya hatima ya maisha yangu na hasa ukizingatia hali ya sasa kwa hapa Tanzania ni mbaya, kwani watu wanaishi maisha magumu sana, can u imagine mtu ameajiriwa lakini bado analalamika maisha magumu.

Hii inaonesha kwa nchi yetu ajira sio mkombozi wa kukutoa kwenye umasikini bali inakupa nafuu tu. hivyo imenifanya kuwaza zaidi wapi nikatafute maisha ambayo nitaweza kuishi maishi bora kwa maana duniani tunaishi mara moja tu, hivyo sipaswi kuteseka duniani maana ya mbinguni kuna hukumu yake pia.

Kwa kumalizia naomba watu mliowahi kwenda huko mnipe mbinu ya kufika huko majuu, ikiwa pamoja na gharama za nauli, inshort nataka muongozo na kama nijipange niweke akiba ya kiasi ganii hili niweze kutimiza malengo yangu ya kuishi maisha bora kabla sijaondoka duniani.

NB. Umri wangu ni miaka 25.
Ila jiandae maisha mabaya...maana kule watu wanamiliki chuma nje nje...So pia ma Nigger wengi wameolewa hasa wala wasio na michongo yakueleweka
 
Wazo zuri. Ushaurii wangu kwako, nenda YouTube anza kufatilia hizi channel
- Denis Magessa

- Dnyota USA


- Hapa Nilipo

Tenga muda wasikilize wote kwa umakini sana. Na ujiongeze pia.
Yangu ni hayo kiongozi
 
Achana na wazo la USA, Huko panataka sana, direct connection kama ni masomo au kazi, or else elimu kubwa ndugu,
Pambana uingie Kwa malkia, hii tafita passport, Mbeleni tafuta hela na visa. Tafuta mshkaji au ndugu, mwambie anakusaidiaje kuzama. Sio mtandaoni, ukipata hivo vtu tajwa, find a known physical person you know, Anaweza kusaidia hata nauli, and all the issues zama UK, kajitafute, zpo kazi nyingi unapita kwa interview ndogo tu.
Kila la kheri, kwa umri wako, achana na marekani, achana na kina dnyota. Wao wenyewe tunawaona hapa wanapiga picha appartments mara wanaimba, tugari wanamiliki tuharrier, tena gari kwa hela za mafara wachache wa bongo wanohaidiwa wanatoa mamilioni na hawaendi popote, jamaa. Anfuga rasta tu zakubond,
Jitafute mwenyewe it is too easy going abroad with personal effort and using your Relatives or friends wanaokufahamu, ziingatia hilo.
 
Kwema wakuu! Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimekuwa nikitafakari sana juu ya hatima ya maisha yangu na hasa ukizingatia hali ya sasa kwa hapa Tanzania ni mbaya, kwani watu wanaishi maisha magumu sana, can u imagine mtu ameajiriwa lakini bado analalamika maisha magumu.

Hii inaonesha kwa nchi yetu ajira sio mkombozi wa kukutoa kwenye umasikini bali inakupa nafuu tu. hivyo imenifanya kuwaza zaidi wapi nikatafute maisha ambayo nitaweza kuishi maishi bora kwa maana duniani tunaishi mara moja tu, hivyo sipaswi kuteseka duniani maana ya mbinguni kuna hukumu yake pia.

Kwa kumalizia naomba watu mliowahi kwenda huko mnipe mbinu ya kufika huko majuu, ikiwa pamoja na gharama za nauli, inshort nataka muongozo na kama nijipange niweke akiba ya kiasi ganii hili niweze kutimiza malengo yangu ya kuishi maisha bora kabla sijaondoka duniani.

NB. Umri wangu ni miaka 25.
Kuna njia za panya na za halali elimu yko ni ipi kwanza ....
 
Kwema wakuu! Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimekuwa nikitafakari sana juu ya hatima ya maisha yangu na hasa ukizingatia hali ya sasa kwa hapa Tanzania ni mbaya, kwani watu wanaishi maisha magumu sana, can u imagine mtu ameajiriwa lakini bado analalamika maisha magumu.

Hii inaonesha kwa nchi yetu ajira sio mkombozi wa kukutoa kwenye umasikini bali inakupa nafuu tu. hivyo imenifanya kuwaza zaidi wapi nikatafute maisha ambayo nitaweza kuishi maishi bora kwa maana duniani tunaishi mara moja tu, hivyo sipaswi kuteseka duniani maana ya mbinguni kuna hukumu yake pia.

Kwa kumalizia naomba watu mliowahi kwenda huko mnipe mbinu ya kufika huko majuu, ikiwa pamoja na gharama za nauli, inshort nataka muongozo na kama nijipange niweke akiba ya kiasi ganii hili niweze kutimiza malengo yangu ya kuishi maisha bora kabla sijaondoka duniani.

NB. Umri wangu ni miaka 25.
Pole sana, sio walioajiliwa wote wana maisha magumu, inategemea umeajiliwa wapi,
Tigo,voda, Helios tower, nssf,tra, TPA(kabla ya DP world), huko ni bata tu.
Nenda Ubalozi wa US omba visa, Ila mchakato ni mrefu, tafuta kazi kwenye taasisi za US, UN, Ulaya, hapa bongo, ni njia rais ya kwenda US, au upate scholarship kwenda US,
 
Kijana inabidi awe na pasipoti ya kusafiria kisha afanye mchakato wa kupata ujuzi wowote mfano udereva wa malori makubwa aongeze na ujuzi wa kutumia mashine za forklift. Kisha kijana inabidi ajifunze lugha angalau kiingereza kwa ufasaha, muhimu zaidi ni awe na fedha angalau 10M. Baada ya hapo kijana aanze utaratibu wa kusaka Visa husika, ila kwa ushauri wangu anaweza anzia nchi tofauti na huko Marekani mfano kule Uarabuni kisha kule ata tengeneza njia ya kuelekea kule anataka.
Umenena kwa ufasaha kamanda, sio lazima uanzie USA ni vema uanzie Nchi ambazo hazina vurugu ili utolewe wenge kidogo la Nchi za kimaskin na majuha
 
Kijana inabidi awe na pasipoti ya kusafiria kisha afanye mchakato wa kupata ujuzi wowote mfano udereva wa malori makubwa aongeze na ujuzi wa kutumia mashine za forklift. Kisha kijana inabidi ajifunze lugha angalau kiingereza kwa ufasaha, muhimu zaidi ni awe na fedha angalau 10M. Baada ya hapo kijana aanze utaratibu wa kusaka Visa husika, ila kwa ushauri wangu anaweza anzia nchi tofauti na huko Marekani mfano kule Uarabuni kisha kule ata tengeneza njia ya kuelekea kule anataka.
Mkuu mimi nazidi kujazia nauli hapa ili tusepe mwakani.
 
Back
Top Bottom