Nina mpango kwenda kutafuta maisha Marekani ila sijui naanzia wapi

Nina mpango kwenda kutafuta maisha Marekani ila sijui naanzia wapi

Shida ya marekani ni connection ukienda utafikia kwa nani ili upambane upate kazi kule chumba cha bei ya chini kwa mwezi ni M1. 5 kama una mtu anaweza kukupokea kule fresh na ili enjoy maisha ya kule ukifika nenda kasomee nursing kwa level ya kawaida tu utapata uraia kwa urahisi
 
. Huko USA, ndo kwa moto zaidi, labda uwe na elimu ya kiwango fulani..

. Vinginevyo utaenda kuishia jela.
Du wewe noma unajuwa kumkatisha tamaa inanikumbusha rafiyangu wa karibu aliniambia kama hivi,sikumsikiiza badae nilipo kutana naye ilipopita miaka 12 nimemkuta taaban anauza kuku kwenye matundu. Mbele mbele tu asikudanganye mtu. Mwambie jamaa ajichanganye na wapemba aachane na watu wa mikoani wengi wao wamevaa miwani ya mbao kufukuzia via jira Dar.
 
Du wewe noma unajuwa kumkatisha tamaa inanikumbusha rafiyangu wa karibu aliniambia kama hivi,sikumsikiiza badae nilipo kutana naye ilipopita miaka 12 nimemkuta taaban anauza kuku kwenye matundu. Mbele mbele tu asikudanganye mtu. Mwambie jamaa ajichanganye na wapemba aachane na watu wa mikoani wengi wao wamevaa miwani ya mbao kufukuzia via jira Dar.
Kama upo mambele huko, mpe direction jamaa, namna ya kufika huko, ili ndoto yake itimie. 🤝
 
Du wewe noma unajuwa kumkatisha tamaa inanikumbusha rafiyangu wa karibu aliniambia kama hivi,sikumsikiiza badae nilipo kutana naye ilipopita miaka 12 nimemkuta taaban anauza kuku kwenye matundu. Mbele mbele tu asikudanganye mtu. Mwambie jamaa ajichanganye na wapemba aachane na watu wa mikoani wengi wao wamevaa miwani ya mbao kufukuzia via jira Dar.
Waswahili wapo negative muda,wote

Ukiwasikiliza utaumia .
 
Waswahili wapo negative muda,wote

Ukiwasikiliza utaumia .
Kabisa ushauliwangu kwake safari ni visa sio kuwa na mihela
Kama upo mambele huko, mpe direction jamaa, namna ya kufika huko, ili ndoto yake itimie. 🤝
Ndugu yetu anatakiwa kujuwa safari ni Visa na sio kuwa na mihela mingi,sasa connection ya visa anatakiwa kupambana.. mawazo ya kufikilia America tuu angeachana nayo nchi zote za Western Europe maisha yapo mazuri tu, ukiondowa za Eastern Europe. Kama upo mikoani toka ingia Dar jichanganye na wapemba, ndio wasafiri wenyewe hawa kwa bongo, Yale mawazo sijui wavaa kobazi vipedo uachane nayo.. kwa sasa visa za Canada zinatoka sana Bongo, ila kwenda mwenyewe itakuwa ngumu unapo omba kuna documents zitatakiwa kusapoti unachokioma,hapa ndio watoto wa mjini wanapohitajika, Dar kuna mawakala kibao wanatowa visa Kama kweli msafili na upo Dar huwezi kosa safari, ukifanikiwa hutajuta badala yake utajiona kwanini ulichelewa malipo ya nje ni kwa saa moja EU ni 15 euros kima cha chini na euros moja kwa madafu ni 3000 sasa pima mwenyewe kufukuzia vikazi Dar au kujitoa muhanga.
 
Kabisa ushauliwangu kwake safari ni visa sio kuwa na mihela

Ndugu yetu anatakiwa kujuwa safari ni Visa na sio kuwa na mihela mingi,sasa connection ya visa anatakiwa kupambana.. mawazo ya kufikilia America tuu angeachana nayo nchi zote za Western Europe maisha yapo mazuri tu, ukiondowa za Eastern Europe. Kama upo mikoani toka ingia Dar jichanganye na wapemba, ndio wasafiri wenyewe hawa kwa bongo, Yale mawazo sijui wavaa kobazi vipedo uachane nayo.. kwa sasa visa za Canada zinatoka sana Bongo, ila kwenda mwenyewe itakuwa ngumu unapo omba kuna documents zitatakiwa kusapoti unachokioma,hapa ndio watoto wa mjini wanapohitajika, Dar kuna mawakala kibao wanatowa visa Kama kweli msafili na upo Dar huwezi kosa safari, ukifanikiwa hutajuta badala yake utajiona kwanini ulichelewa malipo ya nje ni kwa saa moja EU ni 15 euros kima cha chini na euros moja kwa madafu ni 3000 sasa pima mwenyewe kufukuzia vikazi Dar au kujitoa muhanga.


Kweli soon tutakuwa hapo Canada Ku-hustle.
 
Kweli soon tutakuwa hapo Canada Ku-hustle.

Kweli soon tutakuwa hapo Canada Ku-hustle.
Safi sana,Mungu akufanyie wepesi, mbele mbele kaka,wabongo wengi hawaambiani ukweli, tafuta connection za watu wakule pia wakuambie nini unatakiwa kujiandaa ukifika sio vizuri kusema hapa kila kitu, au hata wasafiri waliopo hapo Dar. Ila sio wale wa Africa kusini.
 
Safi sana,Mungu akufanyie wepesi, mbele mbele kaka,wabongo wengi hawaambiani ukweli, tafuta connection za watu wakule pia wakuambie nini unatakiwa kujiandaa ukifika sio vizuri kusema hapa kila kitu, au hata wasafiri waliopo hapo Dar. Ila sio wale wa Africa kusini.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Sehemu yoyote unayoitaji kufika lazima utakatishwa tamaa tu ilo liwe akilini . Kikubwa simamia unachoamini mm nimeomba Australia shirika flani walinipa promise but bado naendelea kufight kwingine coz nje inabidi uoneshe Hela wanayoitaji kuiona Kwa akaunti yako au awepo ndugu atakaye kuifadhi ukifika huko , now nacheki michongo uko gmny coz Kuna ndugu ameenda mwaka Jana rasmi now mambo sio haba ukilinganisha bado Hela anayopokea Kwa saa ni kama euro 10 na ajaingia rasmi katika mfumo wa ajila hadi ifike 2026 .hivyo kila mmoja ashinde mechi zake kikubwa tutafute connection
 
Back
Top Bottom