Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu nitafatilia nashukuru kwa mchango.Wazo zuri. Ushaurii wangu kwako, nenda YouTube anza kufatilia hizi channel
- Denis Magessa
![]()
- Dnyota USA
![]()
Dnyota usa
Maisha ya ughaibuni. Huduma za Visa nicheki,WhatsApp +15167783253 ( sapoti tigopesa 0710655529 Abdalla Omaryyoutube.com
- Hapa Nilipo
![]()
Hapa Nilipo
Karibuni sana katika Channel yangu ya Hapa Nilipo. Kwa Jina naitwa Glory, Safari yetu ya Hapa nilipo ndio Imeanza. Naomba unipe mudawako mzuri wa kukuonyesha Marekani kulivyo. Nitafanya kila liwezekanalo with Gods help, nikuonyeshe kila engo ya Marekani.youtube.com
Tenga muda wasikilize wote kwa umakini sana. Na ujiongeze pia.
Yangu ni hayo kiongozi
Nashukuru kwa mwongozo wako mkuu! inabidi nitanue wigo sasa nione wapi panafaa.Achana na wazo la USA, Huko panataka sana, direct connection kama ni masomo au kazi, or else elimu kubwa ndugu,
Pambana uingie Kwa malkia, hii tafita passport, Mbeleni tafuta hela na visa. Tafuta mshkaji au ndugu, mwambie anakusaidiaje kuzama. Sio mtandaoni, ukipata hivo vtu tajwa, find a known physical person you know, Anaweza kusaidia hata nauli, and all the issues zama UK, kajitafute, zpo kazi nyingi unapita kwa interview ndogo tu.
Kila la kheri, kwa umri wako, achana na marekani, achana na kina dnyota. Wao wenyewe tunawaona hapa wanapiga picha appartments mara wanaimba, tugari wanamiliki tuharrier, tena gari kwa hela za mafara wachache wa bongo wanohaidiwa wanatoa mamilioni na hawaendi popote, jamaa. Anfuga rasta tu zakubond,
Jitafute mwenyewe it is too easy going abroad with personal effort and using your Relatives or friends wanaokufahamu, ziingatia hilo.
Ndio ila vitengo hivyo sio hadi connection ndio upate mchongo hapo.Pole sana, sio walioajiliwa wote wana maisha magumu, inategemea umeajiliwa wapi,
Tigo,voda, Helios tower, nssf,tra, TPA(kabla ya DP world), huko ni bata tu.
Nenda Ubalozi wa US omba visa, Ila mchakato ni mrefu, tafuta kazi kwenye taasisi za US, UN, Ulaya, hapa bongo, ni njia rais ya kwenda US, au upate scholarship kwenda US,
hebu tuone kama inawezekanaAnza kuweka buku buku kwa miaka mitano mkuu
Siku hizi watu wenye kushiriki mapenzi ya jinsia moja huwa wanapata hifadhi nchi ya marekani na za magharibi, lakini kama haupo kwenye huo mkumbo pambana nyumbani tu hiyo marekani itakuja kwako badala ya kuifuata.Kwema wakuu! Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimekuwa nikitafakari sana juu ya hatima ya maisha yangu na hasa ukizingatia hali ya sasa kwa hapa Tanzania ni mbaya, kwani watu wanaishi maisha magumu sana, can u imagine mtu ameajiriwa lakini bado analalamika maisha magumu.
Hii inaonesha kwa nchi yetu ajira sio mkombozi wa kukutoa kwenye umasikini bali inakupa nafuu tu. hivyo imenifanya kuwaza zaidi wapi nikatafute maisha ambayo nitaweza kuishi maishi bora kwa maana duniani tunaishi mara moja tu, hivyo sipaswi kuteseka duniani maana ya mbinguni kuna hukumu yake pia.
Kwa kumalizia naomba watu mliowahi kwenda huko mnipe mbinu ya kufika huko majuu, ikiwa pamoja na gharama za nauli, inshort nataka muongozo na kama nijipange niweke akiba ya kiasi ganii hili niweze kutimiza malengo yangu ya kuishi maisha bora kabla sijaondoka duniani.
NB. Umri wangu ni miaka 25.
Ni kweli mkuu tena kwa sasa hali mbaya huko, lakini ngoja nione itakuaje.Siku hizi watu wenye kushiriki mapenzi ya jinsia moja huwa wanapata hifadhi nchi ya marekani na za magharibi, lakini kama haupo kwenye huo mkumbo pambana nyumbani tu hiyo marekani itakuja kwako badala ya kuifuata.
AiseeKaribu Maryland,elimu yako? Na unaweza fanya shughuli za restraunt?
Uarabuni NO.Kijana inabidi awe na pasipoti ya kusafiria kisha afanye mchakato wa kupata ujuzi wowote mfano udereva wa malori makubwa aongeze na ujuzi wa kutumia mashine za forklift. Kisha kijana inabidi ajifunze lugha angalau kiingereza kwa ufasaha, muhimu zaidi ni awe na fedha angalau 10M. Baada ya hapo kijana aanze utaratibu wa kusaka Visa husika, ila kwa ushauri wangu anaweza anzia nchi tofauti na huko Marekani mfano kule Uarabuni kisha kule ata tengeneza njia ya kuelekea kule anataka.
Ni rahisi zaidi ku win USA kuliko bongo.. Hili ni tatizo pia.... Umeshindwa kutafuta life home, unategemea ku win USA,
. Mwambie Mpwayungu Village , akupe utaratibu wa kufika USA 🙂🙂
Nchi ina wenyewe hiyo bora vijana wasepe mkuu.Hii nchi inavijana wengi wasio jielewa sana aiseee....
Watoto wa kuanzia 90's wamekosa ubunifu kabisa....
Afike kwanza kila kitu kitafunguka mkuu.. Huko USA, ndo kwa moto zaidi, labda uwe na elimu ya kiwango fulani..
. Vinginevyo utaenda kuishia jela.
Uarabuni NO.
Ungemfikiriaje? Ungemuombea work/visa permit au?Sawa,ila ungekuwa na degree ingekuwa vizuri sana maana huku US waliosoma na wenye elimu za juu ni wengi sana,so competition ni kubwa.Nipo huku mwaka wa nne huu nilikuwa na mpango wa kufungua kasehemu kwa ajili ya chakula so ungekuwa kidogo umegraduate ningekufikiria.