😕 Ii kitu kama ndo unajitafta huna location ya uhakika usijalibu kabisanunua kabati la aluminium la chips 200000
Mafuta lita tano 30000
Viazi kilo 20 ni 20000
meza na viti 100000
Karai la kukaanfa chips na sahani na tomato na chil sauce 50000
Yai trey 10000
Anza kazi
Ungetaja kwanza kazi uliyofukuzwa ili tuanzie hapo
mimi ni muumini wa kuanzisha biashara bila mtaji ama kwa kiasi kidogo sana, hiyo laki 4 akifanya biashara ya bila kuvaa tai inamtoa😕 Ii kitu kama ndo unajitafta huna location ya uhakika usijalibu kabisa
Utanyonyoka Ako kahela had ushangar
Kwa uwo mtaj don't try this
Mkuu sio kukatisha tamaa ila naona mnataka mwenzenu aingie mkenge...Kuna watu mnapenda kukatisha tamaa kinyama mi ndo maana nkiwa na jambo langu sitakagi ushauri, acha nifanye nikwame nijifunze nilipokosea
sema umekariri sijamaanisha auze yakuchemsha Bali atafute kibanda tu kidogo auzie hapoWewe ungeweza??
Wale wanaochoma nyama barabarani mtu ana jiko mkaa, nyama na ndizi kwamba mitaji yao ni milioni au sio???Mkuu sio kukatisha tamaa ila naona mnataka mwenzenu aingie mkenge...
Hv seriously laki 4 mtu kusema hana familia
Mkuu kuweni seriously bana...Daah poor brain si hesabu hiyo hapo juu....
Ahahaha mkuu sina nenoWale wanaochoma nyama barabarani mtu ana jiko mkaa, nyama na ndizi kwamba mitaji yao ni milioni au sio???
Watu wanaanza biashara na laki moja wewe unasema laki nne ni ndogo.Laki4 ndogo sana kwa biashara..
Tafuta kazi za saidia fundi jichange mpaka upate tena laki sita alafu ongezea iwe milioni ndo uanze kutafuta cha kufanya
Blaza mi nina idea kinoma NOMA..Watu wanaanza biashara na laki moja wewe unasema laki nne ni ndogo.
Nje ya mishangazi mdogo wangu huna idea.
Saidia fundi kuja apate hiyo laki 6,mbn atapaukaLaki4 ndogo sana kwa biashara..
Tafuta kazi za saidia fundi jichange mpaka upate tena laki sita alafu ongezea iwe milioni ndo uanze kutafuta cha kufanya
Mkeka ukichanika unataka tumpotezeNjoo tubet mkuu hyo 5) 450k tutafute odds ya 2 Leo team zipo nyingi Sana
Hapo sawa mkuusema umekariri sijamaanisha auze yakuchemsha Bali atafute kibanda tu kidogo auzie hapo
Daaah huko atauwawa ngoja tumuulize Kalaga Baho NongwaSaidia fundi kuja apate hiyo laki 6,mbn atapauka
We ni mmoja ya wale wenye frem kinondoni, frem kuuubwa full vioo full ac ndani umeeka vijora nane, kodi milioni na yako yanakuendea.Mkuu kuweni seriously bana...
Hivi mpo kwenye biashara nyie au ni wale motivation speaker..
Madam nipo seriously...We ni mmoja ya wale wenye frem kinondoni, frem kuuubwa full vioo full ac ndani umeeka vijora nane, kodi milioni na yako yanakuendea.
Hapa lazma tushindwe kuelewana kwaheri bana size yako kina mo...
Hajibu mwaswali tunayo muuliza kwa mfano mimi ni mjasirimali muelimishaji, kuna maswali amemuuliza mdau akijibu nitamshushia nondo za kutoshaMkuu kuweni seriously bana...
Hivi mpo kwenye biashara nyie au ni wale motivation speaker..
Sawa mkuu nipo hapaHajibu mwasali tunayo muuliza kwa mfano mimi ni mjasirimali muelimishaji, kuna maswali amemuuliza mdau akijibu nitamshushia nondo za kutosha