Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Cryptocurrency
 
Hakuna biashara nnaiamini kama ya real estate. Nyumba ni asset ambayo haitokuja ku depreciate value. So hata ukijenga ukapangisha all is well.
Kwa maelezo ya mtoa mada biashara inayomfaa na rahisi kwake ni real estate tu maana hana uzoefu wa biashara na pili muda wake ni mchache kutokana na majukumu ya ajira yake.
Yaani akigusa tu biashara zingine kaumia
 
Hili pia ni wazo bora ambalo lilisahaulika.
Yaani ukiachana na biashara ya real estate hii ni biashara namba 2 yenye faida kubwa na risk yake ni ndogo.
 
[emoji123][emoji1306]
 
Milioni 64 inajenga vyumba 4 tu,hiyo ya vyumba 10 hela haiwezi kutosha
 
Kuna rafiki yangu Mganda jana nilikuwa naongea naye akanisimulia hii stori ya huyu jamaa.
Amefikiria nje ya box
 

Si bora ungeendelea kusave tuu.Naona kama hiyo inalipa zaidi ya biashara.kama ndani ya miezi 8 umesave 64m
 
Jenga Lodge!!! Hyo hela inatosha Sana,Tena hata lodge mbili,ulifanya hivyo matunda utayaona mapema sana
BIG NO, ni biashara inayofifishwa na ushindani na mabadiliko ya kiushindani. Lakini pia inahitaji management yenye ubunifu na utulivu. Lakini pia sioni kama lodge itampeleka kwenye lengo lake. It's too general busines (kwa mimi navyoona).
 
Binafsi naona fanyia kazi wazo la kwanza. Cha muhimu pata eneo kubwa kiasi acre 100-200, chimba visima uwe na uhakika wa maji (anza hata na kimoja), jenga mabanda vizuri.

Katika hilo eneo, baadaye unaweza kuongeza na option za kuweka mabwawa ya samaki (pia demand yake kwa Dodoma itakuwa kubwa tu. Above all. GOOD MANAGEMENT. Ikibidi jenga ofisi yako yenye full furnished utakayomuweka mtu professional na ww kuwa mgeni wao kila Ijumaa.
 
Si bora ungeendelea kusave tuu.Naona kama hiyo inalipa zaidi ya biashara.kama ndani ya miezi 8 umesave 64m
Nasave hadi lini mkuu? Nature hya kazi ninazofanya ni za miradi ya miaka 5-7. Hapa nilipo mradi unaisha 2026, from there kinachofuata ni majaliwa, either niwahi kutoka kabla mradi haujaisha au nibahatike kupata mradi mwingine huu unapoisha.

Sasa hata nikifanikiwa maisha hayo hadi lini? Way forward ni lazima nianzishe kitu changu cha kunitengenezea pesa nje ya ajira, hilo halikwepeki mkuu hata nikisave vipi..!!

Hatua ya kusave inaenda vizuri hadi sasa, ila sasa hatua inayofuata ni lazima ni invest kuzalisha hii pesa mkuu!! Yaani hiki kitu kinaninyima usingizi daily nakaa nawaza hata hadi saa kumi alfajiri mara nyingi tu, wife anashtuka mara nyingi ananikuta niko awake anashangaa vipi wewe mbona hulali...?

Kusave peke yake hakusaidii mkuu, ni lazima ni invest!!
 
Asante sana mkuu, umeiweka vizuri sana. Hilo wazo la kwanza, ulichokizungumza kwenye hii comment yako ndo vision ambayo niko nayo, hii kitu imenivutia sanaaa!!
 
Kuna rafiki yangu Mganda jana nilikuwa naongea naye akanisimulia hii stori ya huyu jamaa.
Amefikiria nje ya box
Nimecheki jamaa video zake kwa Youtube channel yake, jamaa yuko njema aisee. Ila alianza na mtaji wa kutosha pia, na alikua na vision kubwa. Ameni inspire sana.
 
Kwa maelezo ya mtoa mada biashara inayomfaa na rahisi kwake ni real estate tu maana hana uzoefu wa biashara na pili muda wake ni mchache kutokana na majukumu ya ajira yake.
Yaani akigusa tu biashara zingine kaumia
Kweli mkuu. Mimi napenda sana kuwashauri watu wengi kuhusu kuwekeza kwenye ardhi. Swala la atapata wapi eneo zuri ni akili ya mnunuaji na umakini. Ila land is everything kwenye investment.
 
Hii kibongo bongo ambapo uaminifu ni F, na watu wanacheza sana na vitabu vya biashara anaweza akawa anaripoti TRA kila mwaka hasara wakati in fact anatengeneza hela, naweza ishia kupata hasara na kugombana na watu juu.
Bongo apa zipo kampuni nyingi sana zipo ki ushirika but taswira ya nje tunaona kama ya mtu fulani…kumbe ndani yake kuna mikono mingi ya watu…

Kwenye makampuni mengi kuna kuwa na wahasibu ambao kazi yao kulinda maslahi ya washirika….

Kuhusu TRA ni issue ya serikali….haiusiani na ushirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…