Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Production ndio kila kitu. Kwa hiyo wazo la mbuzi ni zuri. Retail haina maana yoyote. Halafu retail is highly taxed in any country kuliko production.
Asante sana mkuu kwa hii insight, nitai consider sana wakati nafanya maamuzi.
 
Ngoja nkuambie, sijui km umeshaambiwa..kimbia haraka na 50m kawekeze UTT ama zile Bonds za serikali utanishukuru.

hyo ingine chagua wazo moja hapo lisilo na mtaji mkubwa na anza na 5m. Tuliza akili yako kabisa.
Asante sana kwa wazo mkuu..!!
 
Tanzania hii hii? Mshahara 14m per month? Au ni Ubunge! Au ulipata contract kutoka nje ya nchi? Hongera sana lakini, maana ni wachache mno tena mno wanapata mshahara zaidi ya milion 6 kwa mwezi kwa Tanzania yetu
 
Hili pia ni wazo bora ambalo lilisahaulika.
Yaani ukiachana na biashara ya real estate hii ni biashara namba 2 yenye faida kubwa na risk yake ni ndogo.
Mazao yanashuruba Sana unatakiwa ingie kijijini mwenyewe ukakutane na vijana uwape hela ukusanye mzigo kwa haraka

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vingi hujasema hivyo hatuwezi kukushauri precisely.....

Unataka independent business venture will GUARANTEED income ... low/minimum Supervision?

High risk with high return required maximum/medium Supervision?

your specialty...

Areas of interest

Service, merchandise or manufacturing...?
 
Lodge gani ya mil.64? Labda Mara 2 yake
 
Kwa Pesa gani ya lodge? Labda guest bubu
 
Mwakani inshaalah nitanunua ekari walau 3 kwa ajili ya kazi hii ya ufugaji
 
Kwamba Kuna watu wanakodi tv kwa ajili ya kuangalia mpira au Nini hasa? Maana Mimi niliko.sijawahi ona kitu Kama hiyo.
 
Kwamba Kuna watu wanakodi tv kwa ajili ya kuangalia mpira au Nini hasa? Maana Mimi niliko.sijawahi ona kitu Kama hiyo.
Tv huwa zinakodishwa kwenye kumbi za sherehe au yale matukio makubwa yanayojumuisha watu wengi kwenye kumbi maalumu. Kwa hapa mjini watu ambao wanafanya kazi za kurekodi video kwenye matukio huwa wanakodi hivyo vifaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…