Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Tafta eneo jenga nyumba zakupangisha,either chumba seble,jiko na choo au vyumba viwili seble jiko na choo.

Biashara zingine zote unaweza kupoteza ela labda uwe mwenyew bahati sana.
 
Jamiiforum bwana,mtu ameamka na usingizi wake anatuletea ndoto za kumiliki mill 64,kwa kuangalia mwandiko wako tuu hamna company itaweza kukulipa salary ya 10mill kwa mwezi mtu kama ww ambaye hata kuzitumia hujui,je kuwa na akili ya kulipwa 10mill unayo?
Hii na kahawa iliyozidi tangawizi
Asante sana kwa mawazo yako mkuu.
 
Hongera sana kwanza kwa kukusanya hiyo 65m. Ushauri wangu kwanza achana na wazo la ku invest Dodoma.

Nenda Dar chukua viwanja viwili maeneo ya Goba au madale jenga apartment zako mbili hata za vyumba vitatu vitatu. Trust me unakula hela ukiwa umekaa.

Shida ya hizi investment zingine inabidi ukimbizane sana lkn investment ya nyumba ukishamaliza ujenzi hela inakukuta umekaa.
Asante sana mkuu kwa mawazo.
 
Ushauri wa bure...anza lodge vyumba 10.....au 15 ukiweza hela kila siku ina nguvu sana sana x 100....baada mwaka utaamua kuongeza au kwenda michezo watoto ....nzuri bila pressure! Baadae sana nenda vijumba kupangisha.....baada miaka 5 utatoa mrejesho.....Tafuta eneo zuri....!! Ongeza pesa kidogo ajili finishing .......all the best
Asante mkuu.
 
Tafta eneo jenga nyumba zakupangisha,either chumba seble,jiko na choo au vyumba viwili seble jiko na choo.
Biashara zingine zote unaweza kupoteza ela labda uwe mwenyew bahati sana.
Asante mkuu. Hii nimeiwaza sana.... Na nafikiria kujenga style ambayo sio zile high-end ila za kawaida tuu.
 
Mkuu kuhusu hiyo ya mbuzi kwa kweli inalipa
Kuna jamaa alikuwa diaspora wa usa amerudi home Uganda kanunua eneo kubwa sana nje ya Kampala kama 70 miles

Jamaa kwa sasa yuko mbali namfuatilia sana kwenye account yao ya Instagram
Nilikuwa nahitaji mbuzi wale wakubwa wanaofika mpaka kilo 100 wanaoitwa Boer toka SA

Kwa sasa anao ndio nawafuatilia ila mpaka niende mwenyewe
Kwa sisi bado sana ufugaji kuliko wenzetu

Unaweza kujifunza kitu kwake
Screenshot_20221224_052627_Instagram.jpg
 
Mkuu kuhusu hiyo ya mbuzi kwa kweli inalipa
Kuna jamaa alikuwa diaspora wa usa amerudi home Uganda kanunua eneo kubwa sana nje ya Kampala kama 70 miles

Jamaa kwa sasa yuko mbali namfuatilia sana kwenye account yao ya Instagram
Nilikuwa nahitaji mbuzi wale wakubwa wanaofika mpaka kilo 100 wanaoitwa Boer toka SA

Kwa sasa anao ndio nawafuatilia ila mpaka niende mwenyewe
Kwa sisi bado sana ufugaji kuliko wenzetu

Unaweza kujifunza kitu kwake
View attachment 2456407
Asante sana mkuu. Nitamfuatilia huyu jamaa wa Uganda, seems yuko mbali sana aisee.
 
Mawazo ya wengi ni mazuri sana,ila kuna mtu ni kama anataka kuharibu uzi wa mtu.
 
Back
Top Bottom