Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Basi vimechangamke siki za hvi karibuni. Mwezi January nimenunua sqm 600 kwa 20mGoba viwanja balaa 20 x20 ni 20mil to 25mil .....acha apambane huko Dodoma....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi vimechangamke siki za hvi karibuni. Mwezi January nimenunua sqm 600 kwa 20mGoba viwanja balaa 20 x20 ni 20mil to 25mil .....acha apambane huko Dodoma....
Hakufai tena......sqm 1 ni 45,000 imagine .....Basi vimechangamke siki za hvi karibuni. Mwezi January nimenunua sqm 600 kwa 20m
Asante sana kwa mawazo yako mkuu.Jamiiforum bwana,mtu ameamka na usingizi wake anatuletea ndoto za kumiliki mill 64,kwa kuangalia mwandiko wako tuu hamna company itaweza kukulipa salary ya 10mill kwa mwezi mtu kama ww ambaye hata kuzitumia hujui,je kuwa na akili ya kulipwa 10mill unayo?
Hii na kahawa iliyozidi tangawizi
Asante sana mkuu kwa mawazo.Hongera sana kwanza kwa kukusanya hiyo 65m. Ushauri wangu kwanza achana na wazo la ku invest Dodoma.
Nenda Dar chukua viwanja viwili maeneo ya Goba au madale jenga apartment zako mbili hata za vyumba vitatu vitatu. Trust me unakula hela ukiwa umekaa.
Shida ya hizi investment zingine inabidi ukimbizane sana lkn investment ya nyumba ukishamaliza ujenzi hela inakukuta umekaa.
Asante mkuu.Ushauri wa bure...anza lodge vyumba 10.....au 15 ukiweza hela kila siku ina nguvu sana sana x 100....baada mwaka utaamua kuongeza au kwenda michezo watoto ....nzuri bila pressure! Baadae sana nenda vijumba kupangisha.....baada miaka 5 utatoa mrejesho.....Tafuta eneo zuri....!! Ongeza pesa kidogo ajili finishing .......all the best
Hahahaha...!! Kila biashara inshitaji utafiti mkuu.Biashara ya Logde inahitaji utafiti gani?
Hapa ndio wasomi huwa mnafeli, Mnadevelop tatizo linaitwa Analysis paralysis!
Asante mkuu. Hii nimeiwaza sana.... Na nafikiria kujenga style ambayo sio zile high-end ila za kawaida tuu.Tafta eneo jenga nyumba zakupangisha,either chumba seble,jiko na choo au vyumba viwili seble jiko na choo.
Biashara zingine zote unaweza kupoteza ela labda uwe mwenyew bahati sana.
Yawezekana wanakopeshana bila riba huko kwao.Kuna watu mna mishahara mikubwa!
Tabata hapo nimekaa sana, baa zote nimezimaliza mkuu.Njoo nazo tupige maji hapa tabata
Asante sana mkuu. Nitamfuatilia huyu jamaa wa Uganda, seems yuko mbali sana aisee.Mkuu kuhusu hiyo ya mbuzi kwa kweli inalipa
Kuna jamaa alikuwa diaspora wa usa amerudi home Uganda kanunua eneo kubwa sana nje ya Kampala kama 70 miles
Jamaa kwa sasa yuko mbali namfuatilia sana kwenye account yao ya Instagram
Nilikuwa nahitaji mbuzi wale wakubwa wanaofika mpaka kilo 100 wanaoitwa Boer toka SA
Kwa sasa anao ndio nawafuatilia ila mpaka niende mwenyewe
Kwa sisi bado sana ufugaji kuliko wenzetu
Unaweza kujifunza kitu kwake
View attachment 2456407