Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Tatizo la nyumba unazika pesa na faida inakuja kuonekana baada ya miaka mpka 7,8 na kuendelea mbele hapo unadhani kibongobongo hiyo ni hasara chukulia nyumba ya M50 kali unapangisha 500k kwa mwenzi hapo Ela inarudi baada ya miaka 9 hapo ikiwa imepangishwa non stop na kitu ambacho hakiwezekani pia kodi nimechukulia kodi ya 500k ambayo ni kubwa ila kikawaida ni 200k mpka 300k.
Ww jamaa unaonekana hata kwenye ukoo wenu hupendwi ,ku- criticize Kila kona
 
Taratibu za lodge wala si ngumu na unaweza kuzimudu hakika..

Mfano:
1: Ramani ya nyumba yenye vyumba sita au Name kwa mfumo wa apartment hii inaleta muonekano kama motel hivi.

2: Fence kali ya kuvutia na mapambo ya miti natural plants with surrounded cctv cameras hadi hapo reception na lazima uchimbe kisima cha maji au ikiwa supply ya maji ya dawasco ipo sawa unachimba kile kisima cha uhifadhi maji pamoja na tanks kadhaa juu ya Hilo Shimo unajenga kwa mfumo wa kajumba au chumba chenye andaki hipa ndio pataonekana kama sehemu ya mapokezi mtu akiingia getini pia unaweza ukadizaini kama counter flani ya vinywa ukauza kwa wateja.

3: Kuhusu furniture unaweka zile zenye hali tofauti ili ikurahisishie kwenye kupanga bei na kuweza kupanga bajeti yako ya uendeashaji kwa urahisi kwa maana ya matumizi ya kila siku wakati wakazi za wahudumu na mishahara.

3: Jitahidi kuweka paking nzuri na isiyo ya kubana ili kuepusha misongamano ya magari bila kusahau kasehemu kapembeni kwa ajili ya mapunziko na mazungumzo kwa wateja wasafiri na hata watalii pia.

4: Kiwanja hapa kwenye hili nakushauri zingatia vile vilivyopo kwenye mazingira ya watu ili kuvutia wateja kwa wingi na usalama zaidi kwakua haitakuwa na mushikeri za uvamizi kwa wageni ila ujitahidi kuweka ukaribu na askari ili linapotokea tatizo kwako iwerahisi kuliweka sawa na kuendelea na biashara na hii ni msaada hata kwenye matukio mengine kadhaa yanayotokea nyakati za biashara.
Asante sana mkuu, umeichambua vizuri sana!!
 
Tatizo la nyumba unazika pesa na faida inakuja kuonekana baada ya miaka mpka 7,8 na kuendelea mbele hapo unadhani kibongobongo hiyo ni hasara chukulia nyumba ya M50 kali unapangisha 500k kwa mwenzi hapo Ela inarudi baada ya miaka 9 hapo ikiwa imepangishwa non stop na kitu ambacho hakiwezekani pia kodi nimechukulia kodi ya 500k ambayo ni kubwa ila kikawaida ni 200k mpka 300k.
Unalosema lina ukweli. Ila mtoa mada anaonekana ana mshahara mkubwa na sidhani kama anahitaji hiyo hela a survive I think ni ya investment tu. So kuna long term investment na short term. Miaka tisa sio mingi.

Ila anaweza akanunua fuso leo mara limedondokea kitonga. Au akaingiza kwenye kilimo kukawa na 50/50. So ni yeye atachagua afanye nini
 
Nenda kachukue mabalo ya mtumba uje uuze tz kwa bei ya jumla chukua mabalo ya mashuka na duvert pia nguo za watoti grade one na mapanzia utapat soko
Huku
Asante kwa wazo mkuu. Ila huo muda wa kusafiri kufuata mzigo nje ndo sina mkuu. Si unajua tena hizi kazi zetu za kitumwa za kuajiriwa?
 
Cheki wazo la huyu mdau Naona limo konki pia mno. Ujue biashara Ni eneo,mtaji na msimamizi. Eneo Ni market. Hasahasa msimamizi ndio kila kitu. Sasa wewe upo jobu kaloji kwenye mikoa ambayo Ni municipal like mpanda. Unakomaa hata na self tano room za Mana. Nadhani kila room unaweka 10-15/20 hukosi milioni kwa mwezi. Loji iko POA pia uangalizi wake Ni kamera. Chumba Cha show time kuwepo,uza na gandomu ,ikiwezekana weka dada mzuri mweupe mwenye nyamanyama na sio kimbaumbau , yaani ambaye anafanya mtu anaenda kualalapo
Nimekumanya vyema sana Mwaisa😂😂
 
Mkuu unataka partner((kibongobongo partnership ni kutafuta na ubaya))wa nini wakati una uhakika hiyo biashara yako risk ni 0 ya mtaji wa M3 up to 6M kwann usikomae mwnywe.


Nyie watu wenye maneno mengi kwenye biashara wabaya sana.
Vipato havijawahi kuwa sawa abadani, sipati picha workmate wako aisee
 
Mkuu mm ni jobless ili jarbu huku

1.biashara ya nafaka hapo Dodoma alizeti (hao unaweza kununua na mashine ya kukamulia ukapata mafuta na Mashudu utatauza kama chakula cha mifugo), karanga,mahindi na ufuta ukiwa na center unayafata mazao hukohuko shambani...

2.nenda sehemu inaitwa Mvumi misheni kule kuna hospitali ya macho kumechangamka sana umeme umefika kafungue phamacy kubwa ya kisasa ifanye kazi 24hrs

3.kaweke mashine ya kusaga na kukoboa hukosi 60k kwa siku kijiji cha Mvumi makulu (kwa kina palamagamba kabudi) na hata Mvumi misheni

4.hii acha nibaki nayo

5.Hii pia acha nibaki nayo
Asante kwa mawazo mkuu, japo namba 4 & 5 umebania😂😂😂
Acha ningie field kuzifanyia utafiti your ideas, hasa namba 1, imenivutia zaidi.
 
Ww jamaa unaonekana hata kwenye ukoo wenu hupendwi ,ku- criticize Kila kona
ww motivesheno spika fanya kazi acha kulilia mitaji ya wanaume wenzio kwa kisingizio cha partnership...

Mimi nimesema kitu ninachokielewa kuliko kujenga nyumba ya M50 nipangishe bora niingie china nikaagizie mali fudenge hata za M20 ukitembea hata nusu ya mzigo nina uhakika wa M30.
 
Unalosema lina ukweli. Ila mtoa mada anaonekana ana mshahara mkubwa na sidhani kama anahitaji hiyo hela a survive I think ni ya investment tu. So kuna long term investment na short term. Miaka tisa sio mingi. Ila anaweza akanunua fuso leo mara limedondokea kitonga. Au akaingiza kwenye kilimo kukawa na 50/50. So ni yeye atachagua afanye nini
Mkuu nimekuelwa sana kwa nature ya mtoa post hana pesa ya ngama kweli afanye kitu.
 
Unalosema lina ukweli. Ila mtoa mada anaonekana ana mshahara mkubwa na sidhani kama anahitaji hiyo hela a survive I think ni ya investment tu. So kuna long term investment na short term. Miaka tisa sio mingi. Ila anaweza akanunua fuso leo mara limedondokea kitonga. Au akaingiza kwenye kilimo kukawa na 50/50. So ni yeye atachagua afanye nini
Asante sana mkuu, umeongea point.
 
Asante kwa mawazo mkuu, japo namba 4 & 5 umebania[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha ningie field kuzifanyia utafiti your ideas, hasa namba 1, imenivutia zaidi.
Hizo idea mbili nikikosa mtaji acha nife nazo ni pesa za bure(kwa mwaka kufunga na M20 inaosma kwa acc kawaida)na idea zake zimekuja wakati nipo hardtime sana....so kuzitoa kizembe sio kweli ila mambo ya kufanya yapo mengi sana mkuu mchawi usimamizi tu.
 
Hizo idea mbili nikikosa mtaji acha nife nazo ni pesa za bure(kwa mwaka kufunga na M20 inaosma kwa acc kawaida)na idea zake zimekuja wakati nipo hardtime sana....so kuzitoa kizembe sio kweli ila mambo ya kufanya yapo mengi sana mkuu mchawi usimamizi tu.
Ni kweli kabisa mkuu.
 
Mipango ya namna hii haiongeleki jf ww kama vipi tafta bar moja safi kaa agiza beer zako 5 alaf angalia angalia mtu mzima mmoja wa heshma mualike mpige maji alaf anzisha stor sasa utaona asubuhi kama hauamki na plan nzuri
Mkuu safari moja huanzisha isije ikawa ni lete nyingine, wewe lete nyingine😂
 
Back
Top Bottom