TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
- #81
Hahahahahaha😂😂Usikubali kwenda PM kwa mtu. Mm yangu ndio hayo.
Tunachokijua:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha😂😂Usikubali kwenda PM kwa mtu. Mm yangu ndio hayo.
Tunachokijua:
Mimi kabla sijakupa ushauri naomba unifafanulie kwa namna ipi wewe, kama muajiriwa, ulivyoweza kusave 63m ndani ya miezi 8 tu.Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.
Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.
So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:
1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.
Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.
Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.
2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.
Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.
Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.
3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).
4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.
Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.
Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.
Natanguliza shukrani.
Ni 64m mkuu, sio 63m.Mimi kabla sijakupa ushauri naomba unifafanulie kwa namna ipi wewe, kama muajiriwa, ulivyoweza kusave 63m ndani ya miezi 8 tu.
Ili uweze kusave 63m ndani yra mieži 8, ni lazima ulikuwa unasave 8m kila mwezi.
Asante sana mkuu. Wacha nifanyie utafiti hili la biashara ya NAFAKA kwa hapa Dom. Nitakucheki.Mawazo yote yaliyotolewa ni mazuri
Ila Kuna wazo Moja nakushauri na hakikisha unalifanyia kazi,hata kama Kwa mtaji mdogo.
Fanya biashara ya NAFAKA,Fanya utafiti uone nafaka zipi dodoma zinauzika sana,na uhitaji ni mkubwa.
Jikite hapo mkuu,Utakuja kunishukuru baadae.
NAFAKA,NAFAKA,NAFAKA..mengine utafanya baadae, baada ya hiyo biashara kusimama.
Dm Kwa ushauri zaidi kuhusu biashara ya NAFAKA na....
Inatakiwa aende wapi mkuu?Hivi kweli mtu awe na hela afu akose cha kufanya hadi aje JF?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwa hiyp pesa aliyonayo utamponza !!! Atazika pesa yote na pesa haitarudi.Build and rent out
Funguka zaidi mkuuKwa hiyp pesa aliyonayo utamponza !!! Atazika pesa yote na pesa haitarudi.
Kujenga nyumba za biazhara si kitu rahisi
Asante kwa mawazo yako mkuu. Ila kwa nilichokiwaza ni kufugia kwenye ranchi. Ambapo mbuzi wanakula humo humo (kunakua na eneo la malisho humo humo ndani ya ranchi).Mbuzi wanazaliana Jamani
Ila tu uwe na usimamizi makini
Vinginevyo mchungaji kila akienda machungani anauza mmoja
Chukua huu ushauri..Kwa mshahara wako ingia bank chukua loan watakupa Mil 300 hivi.. Nenda Ukraine ukale bata kidogo mkuu
Inawezekana mkuu. Kuna bwana mdogo tuu namjua yupo Airtel analipwa 12m na huwezi kumdhania. Kama ni mtu wa tech siyo ajabu hiyoJamiiforum bwana,mtu ameamka na usingizi wake anatuletea ndoto za kumiliki mill 64,kwa kuangalia mwandiko wako tuu hamna company itaweza kukulipa salary ya 10mill kwa mwezi mtu kama ww ambaye hata kuzitumia hujui,je kuwa na akili ya kulipwa 10mill unayo?
Hii na kahawa iliyozidi tangawizi
Goba viwanja balaa 20 x20 ni 20mil to 25mil .....acha apambane huko Dodoma....Hongera sana kwanza kwa kukusanya hiyo 65m. Ushauri wangu kwanza achana na wazo la ku invest Dodoma.
Nenda Dar chukua viwanja viwili maeneo ya Goba au madale jenga apartment zako mbili hata za vyumba vitatu vitatu. Trust me unakula hela ukiwa umekaa.
Shida ya hizi investment zingine inabidi ukimbizane sana lkn investment ya nyumba ukishamaliza ujenzi hela inakukuta umekaa.
12mil telecom kawaida sanaa.....wapo weengiiiii sanaaa......wamekaa sana zaidi 10yrs ....kawaida sanaInawezekana mkuu. Kuna bwana mdogo tuu namjua yupo Airtel analipwa 12m na huwezi kumdhania. Kama ni mtu wa tech siyo ajabu hiyo
Biashara ya Logde inahitaji utafiti gani?Asante mkuu, nitaingia field kwa utafiti, maana mimi pia sina taarifa za kutosha kuhusiana na biashara ya lodge.