Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Tafuta eneo weka guest house hata room chache za kuanzia kwa uko ulpo man utakuwa unaongezea kadiri siku ziendavo. Man hiyo hainaga mlolongo ni fulu fedha. Ila codes za kazi unapaswa kuzijua
Naomba fafanua vizuri "codes za kazi"
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Mimi ningeomba nikushauri ktk ufugaji wa Mbuzi nipo ktk huo ufugaji wa Mbuzi kwa muda mrefu, ni kweli ni mradi mzuri sana ila ningalikuomba ujaribu kwanza kupita kwetu sisi tunao fuga ili uweze kujua abc za ufugaji Mbuzi hii itakusaidia kujua pakuanzia na wapi usimamie na wapi unakwenda.

Kumbuka ni mradi unaohitaji usimamizi wa karibu na ni mradi amabao unalenwa sana na waizi kwasababu uibwaji wake ni wakirahisi sana na uuzwaji wa Mnyama mweneyewe ua nyama yake ni rahisi, kwaushauri wangu tutembelee kwanza wafugaji ndio ujuwe na ukate sahuri lakuifanya. kama upo Dodoma naomba tuwasiliane kwa ushauri zaidi. Ubarikiwe sana.
 
Tatizo la nyumba unazika pesa na faida inakuja kuonekana baada ya miaka mpka 7,8 na kuendelea mbele hapo unadhani kibongobongo hiyo ni hasara chukulia nyumba ya M50 kali unapangisha 500k kwa mwenzi hapo Ela inarudi baada ya miaka 9 hapo ikiwa imepangishwa non stop na kitu ambacho hakiwezekani pia kodi nimechukulia kodi ya 500k ambayo ni kubwa ila kikawaida ni 200k mpka 300k.
Si kweli, kama yuko kibiashara zaidi anaweza tumia nyumba hiyo hiyo kuchukulia mkopo atajibust tu
 
Mimi ningeomba nikushauri ktk ufugaji wa Mbuzi nipo ktk huo ufugaji wa Mbuzi kwa muda mrefu, ni kweli ni mradi mzuri sana ila ningalikuomba ujaribu kwanza kupita kwetu sisi tunao fuga ili uweze kujua abc za ufugaji Mbuzi hii itakusaidia kujua pakuanzia na wapi usimamie na wapi unakwenda.
Kumbuka ni mradi unaohitaji usimamizi wa karibu na ni mradi amabao unalenwa sana na waizi kwasababu uibwaji wake ni wakirahisi sana na uuzwaji wa Mnyama mweneyewe ua nyama yake ni rahisi, kwaushauri wangu tutembelee kwanza wafugaji ndio ujuwe na ukate sahuri lakuifanya. kama upo Dodoma naomba tuwasiliane kwa ushauri zaidi. Ubarikiwe sana.
Upo Dodoma sehemu gani mkuu? Nitakucheki PM tuwasiliane nije kutembelea mradi wako kujifunza zaidi baada ya hizi sikukuu mkuu. Asante sana sana mkuu!!
 
It have happen to me ...najuta kimoyomoyo no body knew. I ate 21 Mil
Sasa unajuta nini mkuu, at least you ate the money😂😂😂
On a serious note, usijute wala nini mkuu, I am sure out of that experience ya kuila hiyo hela kuna kitu umejifunza. Consider hiyo 21m kama ada ya hayo mafunzo mkuu.
 
Sio muumini sana wa kukopa kibiashara mkuu, hasa ukizingatia kuwa bado sijawahi kufanya biashara hata ya shs 100, hivyo nina wasiwasi sana kusema nichukue mkopo then niuweke kwenye biashara mpya. Kama hela inahitajika kuongezwa, nina uwezo wa kuset aside hadi 8 milioni kila mwezi na kukamilisha ujenzi wa hizo lodge baada ya kipindi cha miezi kadhaa.
Lakini asante sana kwa ushauri wako, naweza kuuchukua with some modifications.
All the best mkuu
 
Wala sijutti najipanga kufikia Lengo kuu
Mungu atakujaalia utafikia malengo yako bila ya shaka amini weka jitihada na usiamamie malengo yako bila kuyumbishwa utafika ktk yale unayo yatarajia ktk utendaji wako daima. Barikiwa sana.
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Production ndio kila kitu. Kwa hiyo wazo la mbuzi ni zuri. Retail haina maana yoyote. Halafu retail is highly taxed in any country kuliko production.
 
Kwanza nikupe hongera mkuu kwa kuweza kukusanya mtaji, Mimi nitakushauri mambo machache ya kufanya

1. Kwa kuwa hujawahi kufanya biashara yoyote ile , Ili kuepuka kupoteza mtaji fanya biashara ambayo haita risk mtaji wako kwa kipindi Cha miezi isiyopungua 6 Ili kupata uzoefu wa hesabu za mapato na matumizi yatokanayo na biashara, mfano anzisha tu kagoli ka tigopesa au uwakala wa bank ( kuwa makini na eneo utakalochagua) hapa test tu na mtaji wa 4m lengo ni kuzoea biashara na namna hesabu zinavoenda huku mtaji wako ukiwa salama



2. Option nyingine wekeza kwenye real estate ( tafuta maeneo yenye potential kwa baadae mfano maeneo ambayo lami itapita siku za usoni tafuta hata heka kadhaa za karibu na barabara kisha tulia zako ( kuwa makini na road reserve), lami ikipita hayo maeneo yatapanda almost mara 4 au tano ya bei uliyonunulia, Kuna maeneo jamaa alinunua eka kwa 250k saivi wadau wanapataka kwa milion 8 na jamaa hataki kuuza


3. Usiingie kwenye kilimo,ufugaji, uchimbaji, au ujenzi huko utapoteza pesa (kama interest yako Ipo kwenye kilimo, au ufugaji hakikisha unatumia faida itakayopatikana ) hivi vitu hupotezaga pesa ndani ya sekunde

4. Kuna nyuzi zangu mbili niliziandika siku za nyuma nikitaka partner mwenye mtaji wa around 3m to 6m na ni 0 risk ukiwa tayari zipitie tunaweza fanya kitu kwa mtaji wa million 6 tu

Hongera
Wewe utakuwa hujui kilimo na ufugaji vizuri. Ukiwa na eneo lako peke yako, hakuna kitu kinalipa kama ufugaji. Ni menejiment tu.
 
Back
Top Bottom