Nina watoto sita, kila mtoto na mama yake, sitaki mama zao wawe "single mothers", nawezaje kuishi nao wote?

Nina watoto sita, kila mtoto na mama yake, sitaki mama zao wawe "single mothers", nawezaje kuishi nao wote?

Tafuta eneo kubwa Jenga apartments Saba na nyumba zipeane space ya kutosha kiasi kwamba wasishee baadhi ya vitu na hivyo vijumba Saba viwe vinajitosheleza kila kitu ndani yaani choo vyumba viwili na sebule. Wagawie kila mtu chake na ustaarabu wake hala wewe unachukua hicho Cha Saba na usioneshe upendeleo kwa yoyote Kati yao Wala watoto ....vyakula Kama mchele nunua nunua kwa viroba Kama debe moja kila mtu debe, Kama mafuta galon la Lita tano Basi wote hivyo hivyo hapo utawafaidi na kufanya wachungane
Asante
 
Niwafundishe maadili mema NA DINI ZA MIZIMU YA KWETU... Hapa nilipoweka maandishi makubwa watoto bora wabaki waliko.

Pili. Hayo maandishi madogo utafundishaje wakati wewe mwenyewe huna maadili mema? Watoto sita mama tofauti kwakweli unakuja kuwapotosha watoto.
 
Nimesoma vibaya au???

UWAFUNDISHE MAADILI???[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Yapi sasa kwamfano tuseme wamekubali utawafundisha nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Swali lililonijia kichwani pia.
 
Back
Top Bottom