Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Sasa wewe unatuandikia mambo ya ajabu ajabu eti unadai hii dunia Ni ya kike😄 Sasa kwa Nini tusiku nyok*

Unajua fika kwa vyovyote maelezo yako hayawezi kulinganishwa na yale ya biblia lkn bado uko bize kupotosha watu. Nenda andaa nondo zakutosha Kisha njoo humu ueleweke. Wewe hoja zako zimekaa kwa mtindo wa upingaji biblia pasipo hoja za kina.

Mwanamke kwenye biblia ameelezewa vizuri Kuna mama maria amebarikiwa kuliko wanawake wote au humuoni? Maisha yasingekuwa na maana endapo wote tungekuwa sawa. Lkn pia uonavyo ndivyo ilivyo vinginevyo ungebadili hata kidogo punguani wewe.
Napata shida kujua uwezo wako kiakili huenda hukwenda kabisa shule ndio maana

Kama hujui hata sifa za viumbe hai, Kupumua, kuzaliana, kusogea nk, sifa zote hizo dunia inazo inasogea ndio tunapata majira na usiku na mchana, inapumua thats why shimo la choo nyumbani kwako umeweka bomba la kutoa hewa, inazaa shambani kwako unavyogeuza ardhi ukatupia punje ya mbegu mmea unatokea

Basi tukae hapo kwenye kuzaa ni kuimbe cha jinsia gani kinachopokea mbegu kisha chenyewe kikatoa kiumbe kama sio cha kike

Urutubishaji wa mbegu mpaka igeuke kuwa mmea unafanyika wapi mkuu, tatizo waTanzania muliokuwa wengi (sio wote lkn) mnachukulia vitu juu juu bila kufanya tafiti hujui kuhusu hicho kitu unaleta ubishi na matusi
 
Acha wivu eti haya maisha magumu yameletwa na mabeberu na maisha mazuri yameletwa na mwafrica? Kwani hakuna waafrica wenye maisha mazuri? Uhalisia tu unatuonesha kwamba hata akili tunatofautiana iweje tulingane wote? Lkn bado hujachelewa unauwezo wakuleta badiliko kubwa lkn sio kwa hoja hizi hapana.

Mlimkosa yesu ndo sababu hamueleweki.
Alafu kumbe hata biblia hujasoma vizuri unakurupuka ooh! Mwanamke amedharauliwa.

Neno la Mungu Ni uzima. Wewe endelea kudharau uone, Wala kwa Sasa hata uendelee kusoma biblia huwezi kupona coz umeiseti akili kwamtindo wa kupinga na hakuna mahali pengine utakuja kumwona Mungu tofauti na kwenye imani, ilimpendeza kuishi humo.
Samahani lkn mkuu umeishia darasa la ngapi kielimu, akili zinatofautina kulingana na malezi tunayopata kwa wazazi na jamii iliyotuzunguka bila kusahau shule pia

Iko hivi 80% ya binadamu wote duniani wanazaliwa wakiwa empty vitu wanaanza kujifunza taratibu dunia (tunapishana kwenye uwezo wa kupokea na kuhifadhi tu) kuna wengine wanaelewa mapema na kuna wengine wanachelewa kuelewa bila kusahau masuala ya IQ

Wewe hapo inawezekana hauwezi kula nyoka, mende, panya nk, ila ungezaliwa china ungekula vitu hivyo pamoja na uafrika wako

Mchukue mwanao akiwa na miezi kadhaa mpeleke ulaya aishi huko mpaka miaka 30 kisha mrudishe uone kama utaweza kuongea kilugha na wazee wako

Kama akili tunazaliwa nazo why asijue wakati wewe mzazi wake sio wa kutoka ulaya

Akili inajazwa huku dunia
 
Acha wivu eti haya maisha magumu yameletwa na mabeberu na maisha mazuri yameletwa na mwafrica? Kwani hakuna waafrica wenye maisha mazuri? Uhalisia tu unatuonesha kwamba hata akili tunatofautiana iweje tulingane wote? Lkn bado hujachelewa unauwezo wakuleta badiliko kubwa lkn sio kwa hoja hizi hapana.

Mlimkosa yesu ndo sababu hamueleweki.
Alafu kumbe hata biblia hujasoma vizuri unakurupuka ooh! Mwanamke amedharauliwa.

Neno la Mungu Ni uzima. Wewe endelea kudharau uone, Wala kwa Sasa hata uendelee kusoma biblia huwezi kupona coz umeiseti akili kwamtindo wa kupinga na hakuna mahali pengine utakuja kumwona Mungu tofauti na kwenye imani, ilimpendeza kuishi humo.
Kwenye uandishi wangu wapi nmesema maisha mazuri yameletwa na mwafrika? Nilichosema kama ujamaa ungeendelea kusingekuwa na hili gep, kwanza kwenye ujamaa hakuna ushindani, tunashindana nini wakati mali ni za kwetu wote

Ubepari ndio umekuja kuharibu kila kitu, tumekuwa na serikali kuna fedha nk au hujui kama serikali hizi kuna namna dini yenu (bible) imezitenga kwa namna fulani
Yesu alipoulizwa je, ni halali kulipa kodi? Alijibu "ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu"

Unavyoelewa hapo Kaisari ni nan? Why apewe vyake, je, hivyo vyake ni vipi?

Sema akili yako ndogo mkuu (kusema akili yako ni ndogo sijakutukana nimesema mtazamo uliokuwa kweli) na hutaki kuishugulisha unakariri vitu na unajitia ubishi kwenye vitu usivyovijua
 
Napata shida kujua uwezo wako kiakili huenda hukwenda kabisa shule ndio maana

Kama hujui hata sifa za viumbe hai, Kupumua, kuzaliana, kusogea nk, sifa zote hizo dunia inazo inasogea ndio tunapata majira na usiku na mchana, inapumua thats why shimo la choo nyumbani kwako umeweka bomba la kutoa hewa, inazaa shambani kwako unavyogeuza ardhi ukatupia punje ya mbegu mmea unatokea

Basi tukae hapo kwenye kuzaa ni kuimbe cha jinsia gani kinachopokea mbegu kisha chenyewe kikatoa kiumbe kama sio cha kike

Urutubishaji wa mbegu mpaka igeuke kuwa mmea unafanyika wapi mkuu, tatizo waTanzania muliokuwa wengi (sio wote lkn) mnachukulia vitu juu juu bila kufanya tafiti hujui kuhusu hicho kitu unaleta ubishi na matusi
Hahaha! Jamaa mmoja alisema unaweza kusoma Sana na ukawa umeongeza ujinga vilevile. Wewe ndugu yangu hata tukichukulia kwamtazamo wako kuwa dunia Ni jike hahaha bado wewe Ni muongo. Chukulia mbegu za kiume ndizo Zinarutubisha yai vivyo hivyo ardhi imebeba rutuba kurutubisha mmea so haiwezi kuwa ya kike acha uongo wako siku nyingine.
 
Hahaha! Jamaa mmoja alisema unaweza kusoma Sana na ukawa umeongeza ujinga vilevile. Wewe ndugu yangu hata tukichukulia kwamtazamo wako kuwa dunia Ni jike hahaha bado wewe Ni muongo. Chukulia mbegu za kiume ndizo Zinarutubisha yai vivyo hivyo ardhi imebeba rutuba kurutubisha mmea so haiwezi kuwa ya kike acha uongo wako siku nyingine.
Kunielewa itakuwa ngumu sana mkuu, akili yako ipo hivyooo huwezi nielewa

Hizi sayari zipo tofauti tofauti dunia (earth) ni miongoni mwa sayari zenye sifa ya kuwa kiumbe na hii earth ina sifa za kike ndani yake

Hiki kilichopo hapa dunian kuna sayari zingine hakipo kuna sayari zingine hazina hewa hii tunayovuta (oxygen) ukipelekwa huko unakufa kama hautakuwa na vifaa vya kupumlia, pia sayari hizo zingine hazina mimea haziwezi kuzaa zipo kama jangwa

Lkn mwanaume hazai anazalisha, yeye anatoa mbegu kwenda kwa mwanamke kisha process ya kukifanya kiumbe inafanyika kwa mwanamke

Vivyo hivyo dunia haitoi mbegu bali ni yenyewe inapokea kisha inafanya hiyo process ya kutoa kiumbe hata hapa huelewi pia

Basi utakuwa na akili ngumu sana, lkn pia mkuu kujifunza hakuna mwisho mm sijachoka kujifunza akili yangu ipo wazi mda wote napokea kila kitu ndio nifanye uchambuzi

Thats why siwezi kusikia kitu tofauti kutoka kwa wengine nikatukana, mm napokea nafanya uchambuzi hata wewe ungeweza ungenishawishi kwa fact ningepokea nikafanya uchambuzi lkn wewe umeegea matusi, ni mtu ambaye hutoi kitu upo tayari kukomenti tu tena matusi

Mtu mmoja aliwahi niambia kitu kuhusu waafrika ukitaka kuandika kitu kuwahusu weka picha nyingi sio maandashi maana ni wavivu kusoma

Umenifanya niangalie post zako za nyuma na nmekuta 98% ya post zako wa watu ni matusu mtupu unatukana sana mkuu
 
Hakuna kitu hakina mmiliki wake. The owner of this universe yupo tu
 
Sijagundua Mimi, Sasa ndio nini yaani ? Jenga hoja. Shida yenu inakuja pale mnapowaona Wazungu ni wajuzi wa kila kitu, wakati ukweli Wazungu ni watu wa kuangalia fursa.

Mfano mchakato mzima wa Sayansi wa mwanzo sio mzungu, lakini sababu nyinyi hamfatilii haya mambo mnaaminishwa kuwa ni mzungu. Soma historia ya kadhia ya mnayoita "Scientific Method", utajua nafasi ya wazungu Iko wapi.

Sasa hoja yako Iko wapi ? Kwani huwezi kuwa mgunduzi wa simu na ukawa mjinga kwenye mambo mengine ya msingi ?

Sasa jengeni hoja kulingana na mada husika.
Huna akili
 
Wale waliwahi kujitambua
Kwenye uandishi wangu wapi nmesema maisha mazuri yameletwa na mwafrika? Nilichosema kama ujamaa ungeendelea kusingekuwa na hili gep, kwanza kwenye ujamaa hakuna ushindani, tunashindana nini wakati mali ni za kwetu wote

Ubepari ndio umekuja kuharibu kila kitu, tumekuwa na serikali kuna fedha nk au hujui kama serikali hizi kuna namna dini yenu (bible) imezitenga kwa namna fulani
Yesu alipoulizwa je, ni halali kulipa kodi? Alijibu "ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu"

Unavyoelewa hapo Kaisari ni nan? Why apewe vyake, je, hivyo vyake ni vipi?

Sema akili yako ndogo mkuu (kusema akili yako ni ndogo sijakutukana nimesema mtazamo uliokuwa kweli) na hutaki kuishugulisha unakariri vitu na unajitia ubishi kwenye vitu usivyovijua
 
Kunielewa itakuwa ngumu sana mkuu, akili yako ipo hivyooo huwezi nielewa

Hizi sayari zipo tofauti tofauti dunia (earth) ni miongoni mwa sayari zenye sifa ya kuwa kiumbe na hii earth ina sifa za kike ndani yake

Hiki kilichopo hapa dunian kuna sayari zingine hakipo kuna sayari zingine hazina hewa hii tunayovuta (oxygen) ukipelekwa huko unakufa kama hautakuwa na vifaa vya kupumlia, pia sayari hizo zingine hazina mimea haziwezi kuzaa zipo kama jangwa

Lkn mwanaume hazai anazalisha, yeye anatoa mbegu kwenda kwa mwanamke kisha process ya kukifanya kiumbe inafanyika kwa mwanamke

Vivyo hivyo dunia haitoi mbegu bali ni yenyewe inapokea kisha inafanya hiyo process ya kutoa kiumbe hata hapa huelewi pia

Basi utakuwa na akili ngumu sana, lkn pia mkuu kujifunza hakuna mwisho mm sijachoka kujifunza akili yangu ipo wazi mda wote napokea kila kitu ndio nifanye uchambuzi

Thats why siwezi kusikia kitu tofauti kutoka kwa wengine nikatukana, mm napokea nafanya uchambuzi hata wewe ungeweza ungenishawishi kwa fact ningepokea nikafanya uchambuzi lkn wewe umeegea matusi, ni mtu ambaye hutoi kitu upo tayari kukomenti tu tena matusi

Mtu mmoja aliwahi niambia kitu kuhusu waafrika ukitaka kuandika kitu kuwahusu weka picha nyingi sio maandashi maana ni wavivu kusoma

Umenifanya niangalie post zako za nyuma na nmekuta 98% ya post zako wa watu ni matusu mtupu unatukana sana mkuu
Uligundua nilikuwa nawatukana watu wa dizaini gani? Mtu anayetumia akili yake ipasavyo hawezi fokewa na Mimi kamwe.

Utawezaje fanya mabadiliko maishani kwa hoja zako za utumbo wa njiwa kwa kukosoa kitabu kilichokubaliwa na bilions of people dunia nzima? Kama si kuwahadaa watu wenye uwezo finyu Kama wako. Tanzania tu hapa hujulikani dunia itakujua lini?

Na nikueleze tu kwamba; ukitaka kudharaulika na wengi jaribu kukashfu imani utapata matokeo yako.
Dunia Ni mwanamke, yaani umeona gesi inatafuta sehemu ya kupitia kutoka shimo la choo tayari umeona dunia inapumua hahaha wewe kweli ngosha
 
Zingekuwa hekaya zisingekuwa gumzo
Ni coincidental circumstances tu ndugu yangu Mashana. Lakini pia investigations bado zinaendelea kubaini chanzo halisi cha moto. Usije kuta kuna mlevi tu alitupa kichungi cha fegi porini moto ukashika.
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068
Mwenyez Mungu hadhihakiwi kwamaana kila apandacho mtu ndicho atakachovuna
 
Back
Top Bottom