khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
- Thread starter
- #81
wachana na huyo mzigua mkuu wala usihadaike na huo utashi anakufanyieni wewe na babu
for sureee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wachana na huyo mzigua mkuu wala usihadaike na huo utashi anakufanyieni wewe na babu
Pisi kali alafu inakaa na kajamba nane kwakweli anakuvumilia sana mi naona hapo shida kubwa ni umaskini asee,tafta hela kijana
Bado dogo,unataka kuharibu maisha yako,hapo huna demu,piga chini,utateseka kwa muda lakini utakaa sawa na kumsahau.
Hapo Mkuu Dem kajitanabaisha wazi kuwa bila pesa mambo hayaendi, na sasa hivi inaonekana mambo hayajakunyookea...
Nakushauri, Jaribu kuziondoa hisia ulizonazo kwake maana mwenzio katanguliza pesa kuliko hisia kama utaendelea kumpenda ni at your own risk!
Ungana nae, Mpigeni pesa babu hizo pesa zikusaidie maisha yaenda ila jua wazi Mwanamke hapo huna, muone kama Business Patner tu na si vinginevyo.
Lete mrejshoAisee kweli kabisa 10/10
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baraka da prince ft Ruby - Nivumilie
Huu wimbo uliimbiwa wewe mkuu, kausikilize.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan n tafrani tupu.Biriani imezua jambo.
Mkiambiwa mtafute pesa, mnabaki kung'aka na kupinga matokeo yake ndo km haya, mnachapiwa hadi na vizee vinavyomalizia pension zao lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyo mwanamke noumer anamfundisha utapeli wa mapenzi mumewe wazi wazi khaaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba muhuni aanze kupelekwa kwa mpalangeMimi nimemshauri wa-team up kumpa babu utamu, hela watapata nyingi zaidi.
Jana karudi na laki mbili kanipa laki moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo ni business partner kwaio babu anampa bure bure tu alooo
Usikute kakuroga tayari dah
Kaka zangu mnamalizwa jamani[emoji2362]
Chanda chema, chavishwa pete...
Kua makini na huyo mwanamke, za kuambiwa changanya na za kwako...
kwa uandishi huo wa 'kweli bwana' lazima afumulie nje maana anaona yupo na demu mwenzake
Mkiambiwa mtafute pesa, mnabaki kung'aka na kupinga matokeo yake ndo km haya, mnachapiwa hadi na vizee vinavyomalizia pension zao lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyo mwanamke noumer anamfundisha utapeli wa mapenzi mumewe wazi wazi khaaaaah.
kwa uandishi huo wa 'kweli bwana' lazima afumulie nje maana anaona yupo na demu mwenzake