Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

hata haukosei mwaya maana ile ya mama ni yake na ile ya baba itatumika nyumbani so ile unayomuongezea inakua yake tu


ila hela zote hizo unatoa wapi mwenzetu ni freemason au 😂
Azidishe kwa mama maana majukumu yote ni mama kuanzia chakula hadi mavazi ya wajukuu. Wababa pesa yote inaishia kwenye ulabu na akienda nyumbani anataka chakula wakati hajachangia hata mia. Yy ni ulabu tu. Nimekaa uchagani najua historia ya wazee wetu was kichaga
 
Hongera Sanaa mkuu, Asilimia kubwa ya sisi vija baada yakuoa tu tunawasahau wazazi, Hii sio kwakupenda, ni uzito wa majukumu ya kifamilia n.k
Lakini ukiwakumbuka wazazi Baraka zinamiminika tele kwenye Kila kona ya michongo ya pesa. Binafsi ninacho wapa nikidogo sanaa pindi wakiniomba pesa ,Natamani siku ifike Nije kuwapa kiwango kama chako inshallah Mwenyezi Mungu anifikishe hapo Amen.
 
Azidishe kwa mama maana majukumu yote ni mama kuanzia chakula hadi mavazi ya wajukuu. Wababa pesa yote inaishia kwenye ulabu na akienda nyumbani anataka chakula wakati hajachangia hata mia. Yy ni ulabu tu. Nimekaa uchagani najua historia ya wazee wetu was kichaga
ni nyie wachqga huku kwingine mababa wako responsible
 
Nadhani mwenye Uzi haelewi maana K(thousands)
Kwamba ni 5k au 50k? Mtu wa kutoa 500k asingekuja kutoa Uzi wa kuomba ushauri.

Raha ya JF ni uwezo wa kuwa kitu chochote wakati wowote kadri unavyojisikia.
 
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
Bilashaka we utakuwa muhaya

Kwahiyo hata sisi tunaowasaidia wazaz wetu kimya kimya ruje hapa kusema vibunda tunavyowapa wazazi wetu?
 
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
 
Kapime dna kama kweli dady wako
Advs
Kwema ndugu?

Naomba mawazo yenu. Mimi mara nyingi kama siyo mara zote, ninaposaidia nyumbani kwa chochote hususani fedha, huwa nazidisha mara mbili kwa mzee wangu.

Juzi hapa nilikwenda kuwaona, nikatoa 500k kwa mama na 500k kwa baba. Stori zikaendelea.

Wakati wa kuondoka ulipokaribia, nilimuita baba chemba nikamtoa 500k kibingwa. Nikamuambia weka mfukoni, ni ya vocha mzee!

Huu ni utaratibu wangu karibu mara zote ninapotembelea nyumbani, au ninapotoa fedha kwa wazee inapobidi.

Sababu hasa ni kwamba naamini ile 500k nyingine ataitumia kutoa mahitaji na yeye hatobakiwa na kitu.

Nakosea kwa hili?
Naomba maoni yenu ndugu zangu.
Ukete majibu tuanze kukushauri
 
We mwanaume kabisa .Hongera sana ,Mzee atatunza na nyingine atatumia na familia nzima,Ile ya Mama inaishia KUTOA kwa wachungaji feki na mambo ya ajabu ajabu
 
Toa ndugu ulichonacho wewe bwana atakuona mpaka moyoni mwako
 
Kwani kulikuwa na haja ya kutaja kiasi?? Maana yaweza kuwa kubwa kwa baadhi ya jf members na inaweza kuwa ni ndogo sana na kituko kwa baadhi ya jf members pia.
 
Shida inakuwa pale unapompa pembeni hii inakuwa km mchongo flan hv kwanini usimpe mbele ya mama hata km ni zaidi maana yeye ndo kichwa pale,au wewe na baba ako mnamuogopa mama enu?
, au mama anashida flan ndo unaamua kumficha?
Je unmuamini kiasi gan mzee km ashiliki vema ktk ujenzi wa familia?
MWISHO.hizo pesa unatoa wap mpaka zingne mmpe baba kifichoni au na wewe unamichongo flan ya makandokando?
Mama zetu wa kiafrika tunawajua Sisi tuache wenyewe, Mimi nikiwa na mchongo nikimtonya Mzee ananipa ABC fanya hivi fanya vile nikimpelekea Bi Mdashi Bi Maza Bi Mkubwa anasema emu nenda ukajadiliane na Baba yako, ushaelewa mpaka hapo? Yaan uende Chemba ukakae na Mzee mujadiliane Ila yeye kukupa ABC ni big NO Mzee si yupo? Haya nenda ukaongee nae mtamalizana huko, kwa ukijua kwa upande huo pia unaona Bora umalizane na Mzee huko huko Chemba na mambo mengine yaendelee kwamba Mzee emu kamatia na hii itakusevu kibingwa, hivyo ndio Wanaume hufanya kuwaokoa Wanaume wenzao ipo siku huko umepalaganyana na Mamsapu ukirudi home kusuluhisha Bi Mkubwa point yake ya Msingi ni hio emu nenda ukaongee vizuri na Baba yako akwambie nini cha kufanya, kwa hio unagundua Baba ana-play big role kwenye family, hopefully utakua umenielewa kwa kiasi chake
 
Mtume Muhammad SAW amesema unapowasaidia wazazi wako mama yako unampa mara 3 ya kile unachompa baba yako lakini kwa heshima ya baba unampa yeye mwanzo.

Ni kweli wanaume wana majukumu mengi kuliko wanawake lakini kwa upande wa mama aliteseka zaidi na malezi kwa kukesha kuliko baba ndio mama anapewa kipaumbele.

But hongera sana kuwasaidia wazazi baraka zake Mungu zikufikie wewe na kizazi chako.
Unampa Mama kwa kupitia mlango wa Baba maana cha Baba kinaenda kwa Mama, sijui unanielewa vizuri hapo?

Baba yako anamhudumia Mama yako Wewe mpe Mama yako mara 3 Baba yako mpe mara 1 Ile mara 1 uliyompa Baba yako yote inaenda kwa Mama yako kwa hio inakua umempa Mama yako mara 4, sijui unanielewa?
 
Maisha kweli tunatofautiana mkongwe 1.5M kila mwezi, hapo we hujala na familia yako unazungumzia milioni nyingine, usafiri wa kazini, nauli za watoto shule, ma mtu huduma zake nyingine na vitu vidogovidogo, hizo ni huduma za costant, bado ada za shule, ukweni hakujatokea dharura, misiba kwa jamaa, marafiki... Ichango ya harusi, service ya usafiri.

Nishakula dona na dagaa langu kurusungu hapa, naperuzi JF nawatizama madigala, madon..

Mishani hatuwezi kuwa sawa.
 
Naona n
Upo sahihi 500k uliyompa ni inaenda kwa Mama tena atakua na mara 2 alafu hio 500k unayomuongeza ndio ya kwake Ila utakuta nayo sasa ndio inakua ya matumizi wakati huo kashampa 500k Mama yako hapo ni akili kichwani,.

Cha kukushauri ukimpa mara ya Pili usimpe 500k mpe mara 2 yaan 1M kwa hio atakua na akiba ya 500k pembeni ukiondoa Ile 500k uliyomuongeza ambayo itaenda kwa Mama na Ile 500k ambayo pia itaenda kwa Mama sasa yeye atabakia na 500k ambayo ni ya kwake atajua mwenyewe cha kufanya, tunawajua Mama zetu na hio 500k uliyomuongeza mara 2 mwambie kabisa 500k 1 ndio ya kwake hiyo nyingine ataamua mwenyewe ampe Mama au asaidie matumizi, namaanisha Baba mpenan

Mama zetu wa kiafrika tunawajua Sisi tuache wenyewe, Mimi nikiwa na mchongo nikimtonya Mzee ananipa ABC fanya hivi fanya vile nikimpelekea Bi Mdashi Bi Maza Bi Mkubwa anasema emu nenda ukajadiliane na Baba yako, ushaelewa mpaka hapo? Yaan uende Chemba ukakae na Mzee mujadiliane Ila yeye kukupa ABC ni big NO Mzee si yupo? Haya nenda ukaongee nae mtamalizana huko, kwa ukijua kwa upande huo pia unaona Bora umalizane na Mzee huko huko Chemba na mambo mengine yaendelee kwamba Mzee emu kamatia na hii itakusevu kibingwa, hivyo ndio Wanaume hufanya kuwaokoa Wanaume wenzao ipo siku huko umepalaganyana na Mamsapu ukirudi home kusuluhisha Bi Mkubwa point yake ya Msingi ni hio emu nenda ukaongee vizuri na Baba yako akwambie nini cha kufanya, kwa hio unagundua Baba ana-play big role kwenye family, hopefully utakua umenielewa kwa kiasi chake
Sio kila baba
 
Kuna wazazi wengine huwa wanaweka hela unazowatumia au kuwapa
Na usidhani wazazi wote wanazila hizo hela
Wengine wanasubiri siku ukiyumba utashangaa na yeye anakuita kwa siri na kukuambia hizi za vocha weka mfukoni

What goes around.......
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom