Ninavutiwa Sana na Utulivu na Umakini wa Rais Samia Kiuongozi

Haya bhana!!!!
 
Mbona namba siku hizi huweki mkuu!?
 
Ni mara 1000 umsifie makonda anayehangaika kutwa kucha na matatizo ya watu kuliko vasco da gama ambaye kutwa kucha yupo safarini. Nonsense
 
We endelea kuvutiwatu. Ila sisi wazabuni wa serikali yake tunaoidai malipo ya hela nyingi sana,

Habari za ndani ni kuwa hawana fedha ndo maana kakimbilia Korea kwenda kukopa angalau kulipa madeni kabla ya mwaka wa fedha haujaisha
 
We endelea kuvutiwatu. Ila sisi wazabuni wa serikali yake tunaoidai malipo ya hela nyingi sana,

Habari za ndani ni kuwa hawana fedha ndo maana kakimbilia Korea kwenda kukopa angalau kulipa madeni kabla ya mwaka wa fedha haujaisha
Acha uzushi wako na Ramli chonganishi hapa.serikali yetu ipo imara kiuchumi na ndio maana hakuna shughuli zinazokwama kwa kukosa pesa
 
Ni mara 1000 umsifie makonda anayehangaika kutwa kucha na matatizo ya watu kuliko vasco da gama ambaye kutwa kucha yupo safarini. Nonsense
Uwe na adabu wewe.usifikiri Rais wetu anakwenda nje ya nchi kutalii .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…