Unajuwa tatizo lako unafikiri Waislam wana mfumo wa kikanisa, ukisikia Shehe kwenye Uislam usifikiri labda kuna chombo kinamfanya awe shekhe, pengine umekuta jitu limevaa kanzo lina ndevu na kobazi ukaliona la maana kumbe jambazi. Mfumo wa Kiislam ni tofauti kabisa.
Kanisa kwa upande mwingine linaongozwa kiutawala kutokea Vatikano huko, huwezi kuwa padre au askofu wa kanisa katoliki kama hujaidhinishwa na vatikano, sasa waone hao vatikano wanaoidhinisha, zaidi ya 90% ni mashoga na wanatuhuma nzito nzito za kuahribu watoto dunia nzima.
Uislam ni wewe na Muumba wako tu, hakuna longolongo za baba wala 'Shekhe".
Upo hapo ulipo?