Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Allah hafananishiwi na chohote. Katujaalia lugha na makabila ili tufahamiane tu, mbora kati yetu ni mcha Mungu. Soma:

A JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4

Malizia na hii:

Kiarabu ni lugha ya kwanza ya Kimataifa duniani.
Kumbuka kuwa hata Kiswahili tunachokitumia hapa kina asilimia kubwa ya Kiarabu.

Kiarabu (ar.: العَرَبِيَّة‎‎, al-ʻarabiyyah, kwa kirefu al-luġatu al-ʿarabiyya) ni lugha ya Kisemiti inayotumiwa na watu milioni 206 kama lugha ya kwanza[1] na milioni 246 wa ziada kama lugha ya pili. Ilhali kuna lahaja nyingi, Kiarabu sanifu (ar. الفصحى fuṣḥā) ni lugha rasmi ya nchi 22 za Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na ya Mkutano wa Kilele wa Kiislamu na mojawapo ya lugha rasmi za Umoja wa Mataifa. Kuna pia matumizi kama lugha ya kidini katika Uislamu.

Hivyo Kiarabu ni mojawapo ya lugha muhimu sana duniani ikisomwa kwa viwango tofauti na mamilioni ya waumini Waislamu wakielekea kujifunza na kuelewa kitabu cha Korani. Kama lugha ya kidini ina athari na taathira kubwa juu ya lugha nyingi ulimwenguni na juu ya ustaarabu na utamaduni wa watu na makabila tofautitofauti walio Waislamu.

Kiarabu kwa kawaida huandikwa kwa herufi za Kiarabu.

Ni lugha yenye utajiri mkubwa wa misamiati (maneno), ufasaha mkubwa wa misemo na udhibiti mkubwa wa sarufi na nahau.

Ni lugha iliyokusanya aina nyingi za mithali na mafumbo, na ina utamaduni mkubwa wa nyimbo, mashairi na misemo, nayo inakubaliwa na watu wengi duniani kuwa lugha yenye utamu wa matamshi na uzuri wa lafudhi.

Kwa kuwa Qurani Tukufu na Hadithi za Mtume Muhammad na Mashairi ya zama za Ujahili ndio yenye kudhibiti lugha hii isitetereke wala kubadilika na kupotea kama lugha nyingine nyingi, leo, baada ya miaka zaidi ya elfu, imebaki thabiti kama ilivyokuwa wakati ilipoandikwa Qurani, na mabadiliko yoyote yaliyotokea hayana uhusiano na lugha yenyewe ya Kiarabu, bali yana uhusiano na lahaja na vilugha mbalimbali zinazotumika na Waarabu wa sehemu fulani ya nchi au mji. Ama lugha rasmi ya Kiarabu basi imedhibitika kulingana na Qurani na Sunnah, ili maandishi hayo yaendelee kufahamika milele.

Leo, Kiarabu ni lugha ya sita ulimwenguni kwa wingi wa wanayoitumia kila siku katika maisha yao, baada ya Kichina, Kihindi, Kihispania, Kiingereza na Kibengali.

Umuhimu wa lugha hii unazidi kukua kila siku kwa sababu ya kutumika kwenye maeneo ya katikati ya ulimwengu baina ya mabara ya kale (Afrika, Asia na Ulaya) na mabara mapya ya ulimwengu (Amerika ya Kaskazini na Kusini).

Ramani inaonyesha nchi ambako Kiarabu ni lugha rasmi pekee (kijani) au lugha rasmi pamoja na lugha nyingine (buluu).

Asili ya lugha ya Kiarabu​


SOMA ZAIDI:

Uislam ni mwema sana, leo ukienda popote duniani kama nIMuislam unaingia msikiti wowote unasali au unasalisha na mnaelewana bila tatizo.

Nenda wewe mkatoliki wa kihaya kawasalishe Korea kama utaweza bila kutafuta msaada.
Katika dini za ajabu ni uislamu ukienda nchi yeyote duniani utasali kiarabu lakini mawaidha au mahubiri hutolewa kwa lugha ya msikiti ulipo.Mtu anaswali kiarabu anapewa mawaidha au mahubiri kiswahili misikiti yote ya Tanzania sasa hapo ukiwa unatoka nchi nyingine utaambulia nini?
mungu wa kiarabu yaani Allah akishapokea swala zake za kiarabu huko kwingine mtajijua ongerni mawaidha hata kizaramo au kindengereko kwake poa tu

Kwa nini swala zifanyike kiarabu halafu mawaidha au mahubiri yatolewe kiswahili mfano?

Huyo Allah mungu wenu mwarabu ana shida mahali
 
Katika dini za ajabu ni uislamu ukienda nchi yeyote duniani utasali kiarabu lakini mawaidha au mahubiri hutolewa kwa lugha ya msikiti ulipo.Mtu anaswali kiarabu anapewa mawaidha au mahubiri kiswahili misikiti yote ya Tanzania sasa hapo ukiwa unatoka nchi nyingine utaambulia nini?
mungu wa kiarabu yaani Allah akishapokea swala zake za kiarabu huko kwingine mtajijua ongerni mawaidha hata kizaramo au kindengereko kwake poa tu

Kwa nini swala zifanyike kiarabu halafu mawaidha au mahubiri yatolewe kiswahili mfano?

Huyo Allah mungu wenu mwarabu ana shida mahali
Ndugu yangu mawaidha na darsa siyo sala. Hizo zinaitwa darsa, sasa unawapa wat darsa halafu wasikuelewe?

Sala yenye khutba ni moja tu nayo ni Ijumaa. Na huanza kwa kiarabu na kama wengi wa hadhara hawaelewi Kiarabu basi hutolewa aya za Qur'an na hushereheshwa kwa lugha husika hapo.

Uislam ni mwema sana, ni mfumo wa maisha kamili haujaacha kitu.
 
Ndugu yangu mawaidha na darsa siyo sala. Hizo zinaitwa darsa, sasa unawapa wat darsa halafu wasikuelewe?

Sala yenye khutba ni moja tu nayo ni Ijumaa. Na huanza kwa kiarabu na kama wengi wa hadhara hawaelewi Kiarabu basi hutolewa aya za Qur'an na hushereheshwa kwa lugha husika hapo.

Uislam ni mwema sana, ni mfumo wa maisha kamili haujaacha kitu.
Sasa hapo kama wapo raia wa nchi nyingi tofauti kibao hizo mfano wako mataifa tofauti hawaongei lugha ya wanaposali mfano Wako Tanzania toka nchi tofauti hilo darsa linatolewa kiswahili wataelewa nini? Swala wataswali kiarabu lugha ya huyo mungu wa kuarabu Allah

Darsa likifika inatakuwa lihamie ligha ya eneo husika

Kwa nini hakuna consistency? Kuwa darsa nalo Litolewe kiarabu? Kwa nini iwe kiswahili?
 
Hapo hakuna KKKT Wala RC wote nyinyi mmepgwa na mmeenda Chaka ikiwa Yerusalem ndio ambapo ndipo alipozakiwa Yesu lakn ndio sehemu ambayo Kuna Wakristo wachache kuliko Waislam na Wayahudi hapa Kuna cha kujifunza kwa wale wenye akili timamu na zenye maono

Lipi la kujifunza,mana nje ya huo mji kuna wakristo wengi zaidi tambua kristo alikataliwa na wayahudi.
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Karibu mkuu tukiri imani yetu!
NASADIKI KWA MUNGU, BABA MWENYEZI, MWUMBA WA MBINGU NA DUNIA, NA KWA YESU KRISTU MWANAYE WA PEKEE BWANA WETU, ALIYETUNGWA KWA UWEZO WA ROHO MTAKATIFU; AKAZALIWA NA BIKIRA MARIA. AKATESWA KWA MAMLAKA YA PONSYO PILATO, AKASULUBIWA, AKAFA, AKAZIKWA AKASHUKIA KUZIMU SIKU YA TATU AKAFUFUKA KATIKA WAFU AKAPAA MBINGUNI AMEKAA KUUME KWA MUNGU MWENYEZI TOKA HUKO ATAKUJA TENA KWA UTUKUFU KUWAHUKUMU WAZIMA NA WAFU. NASADIKI KWA ROHO MTAKATIFU, KANISA TAKATIFU KATOLIKI; USHIRIKA WA WATAKATIFU, MAONDOLEO YA DHAMBI NANGOJEA NA UFUFUKO WA WAFU NA UZIMA WA MILELE - AMINA-
 
Kanisa langu la kkkt linapukutika kila kukicha,mtu anamaliza uongozi then anarudia tena kuongoza inamaana tulikosa mtu mwingine kweli?pia limekuja swala la bandari bado kiongozi anajiuma uma tu hatu eleweki tuko moto au baridi.
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Tumsifu Yesu Kristo

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Ukiijuwa maana ya nenoi dini tu utaelewa hilo bila kufundishwa na yeyote.

Unaijuwa maana ya neno dini?
wewe ajuza Dini ni harakati za binadamu kutafuta extra power Nje ya nguvu zake akitegemea msaada
hasa kwa Mungu/miungu umenipata!
 
Nimesikitika sana kwa Wewe Kuchelewa kujua kuwa Kanisa Katoliki ukiahilia mbali kuwa ndilo Kongwe duniani na limezaa hayo Madhehebu mengine pia ndiyo Kanisa linaoongoza kwa kuwa na Watu ( Waumini ) wenye Akili Kubwa, Wasioogopa, Wasomi wa Kweli na hawatishwi na ama Mpumbavu yoyote au Mamlaka yoyote ile ya Kikatiba katika nchi waliyoko.

Halafu Wakatoliki na TEC yao ( yetu GENTAMYCINE nikiwemo ) huwa Wakitoa Tamko au Msimamo wao mara nyingi hawathubutu kupoteza muda wa Majibizano na Wapumbavu bali hukaa Kimya ( Hunyamaza ) ili Akili na Ujinga vipambane / viumane.

Ninajivunia kuwa Mromani Katoliki!!!
Jamaa wanatoa then wanaachia wajinga waendelee kulumbana
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Yeah umeeleza vizuri kabisa, sasa ndgu zetu wa KKKT MJISAHIHISHE!!!
 
Hata Lowasa akisoma hii atakubaliana na wewe.Maana katika maandalizi ya kuwania urais mwaka 2015 alikuwa amekamata Taasisi zote muhimu isipokuwa Kanisa la Katoliki.Kila akijaribu kupenya akatoe mzigo wa maana kama mchango alishindwa.Hata alipojaribu kumtumia mke wake ambaye ni mkatoliki aligonga Mwamba.
 
Wewe sio Mlutheri, ni Mamluki tu

Unajua sababu zilizomtoa Martin Luther kutoka kuwa Padri wa Kikatoliki na kuanzisha Lutheran Church?

Tuanzie hapo
Ninajua. Kwa baadhi ya hoja zake ni kweli zilikuwa zinafikirisha lakini utaratibu aliotumia ndio uliokuwa na changamoto. Ni kama alivyofanya Feisal Salum
 
Back
Top Bottom