Utendaji wa mtu haudanganyi. Wanasiasa wanaweza kumuonea mtu lkn umma hauonei mtu.
Hata wanaolalamikiwa na umma, wajue kabisa hawaonewi.
Ingewezekana, Mchengerwa arudishwe utumishi, haraka sana iwezekananvyo.
Mchengerwa kutoka Ku handle issues TISS na PCCB Mpaka kuja Ku handle issues za Twiga Stars na Taifa Queen, sio Fair KabisaHadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Alipaweza Sana utumishi na amefanya maboresho mengi Sana. Lukuvi naye Kumuondoa Ardhi ni mbinu chafu ya Jamaa Fulani (Acha nimuite hivyo) alitaka kujimilikisha shamba Fulani huko Morogoro na maeneo kibao Kwa kibabe. Lukuvi akasema no. Sasa Kwa kuwa ndiyo muda wao wa kurudi tena kula mema ya nchi basi wamemuweka huko huyo mgeni nyumbani akafanikishe ufisafi wa Ardhi. Tumeliwa kiubabe.
ukifanya utafiti utabaini kuwa Waziri Mchengerwa ndani ya kipindi chake amewatetea kwa nguvu kubwa sana watumishi wa umma haswa wale walio chini.Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Jamaa kafanya kazi kubwa sanaHadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Mhe.Mchengerwa nampenda ni mtu anayejua kuwasemea watu wa chini ningependa aendelee hapo utumishi JamaniHadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Una mtaka . Ana mke wake yule.Mimi hapa, nimemlilia Mchengerwa...huyo Lukuvi aende tu
Wenye ile wizara(sio wananchi)...walidai dogo hajakomaa kabisaHadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Cha mtu huliwa na mtu, Chuma ndio huliwa na kutu...kwani akitoka anamkabidhi mkewe amshikie?Una mtaka . Ana mke wake yule.
Ficha ujinga wakoUkiwa boss hutakiwi kumlea mtumishi wa chini kama mwanao,bali unatakiwa kumtumikisha.
Mchengerwa alikuwa analea uzembe kwa staili hiyo,hii pia ilimkuta Jafo alikuwa anapenda Sana kutetea watumishi wa chini.
Watumishi wa uma ni zaidi ya laki nne,wewe umeongea nao wote,acha uhuni wewe.Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Kiukweli kwa kipindi kifupi huyu Mchengerwa ameonesha uwezo mkubwa sana wa kuimudu hii wizara sijajua kwa nini Mama amemtoa ! Kama anasoma humu afanye kumrudisha bila maswaliRasimi sasa maoni ya watumishi waliowengi wanaona kumleta Mhagama Utumishi anakuja kuwadidimiza na sera mbovu alizokuwa nazo kipindi cha Mwendazake kama vile kikokotoo
Wamemuomba mama angembakiza Mchengerwa kwani amekuwa waziri aliyekuwa anawasikiliza watumishi ,kwani kipindi kifupi sana watumishi waliokuwa hawajapanda madaraja walipanda wote bila upendeleo pia malimbikizo ya watumishi yalikuwa yameanza kulipwa
NB Mhagama umeanza kutiliwa mashaka na watumishi kwamba ni mmoja wa waliokandamiza watumishi
Jirekebishe au upewe wizara nyingine
Lukuvi kaliliwa wapi ? mchengerwa na Naibu waziri wake Deogratius Ndenjembi walikua majembe kweli kweliHadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Acha majungu mtu wa kusiniHuyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.