Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

Mama alianza vizuri na aliungwa mkono tukashangaa ghafla bin vuu, mbowe na ugaidi na hii kesi ndio imefanya Rais achukiwe mchengerwa alifanya poor calculation aisee ya hii kesi ambayo ilifanya Hadi Rais asiitwe kwa Biden, ni heri ifutwe maana ni aibu tupu.
 
Alifanyaje kwani huyu mchengerwa Mimi nilikuwa namuona smart sana
Yeye bado kijana sana ile Wizara ni kubwa haihitaji sifa za kijinga, ndiyo maana hiyo Wizara alikuwa akipewa Mzee Mkuchika, mwanajeshi mstaafu na mkongwe wa system

Kuwa Waziri wa Utawala Bora maana yake unasimamia Idara ya Usalama wa Taifa, ile "Utumishi" huwa inawekwa tu kuficha kazi ya msingi kabisa ya Wizara hii, kuratibu shughuli zote za watu wasiojulikana na Takukuru, makesi ya kusingiziasingizia

Sasa ingetokea watu wakaanza kuuawa katika mazingira yanayoashiria uhusika wa serikali kama enzi za Magufuli, basi shutuma moja kwa moja zingeelekezwa kwa Rais na mkwe wake; tayari Mchengerwa anahusika kwa kiasi kikubwa na kesi ya uongo dhidi ya Freeman Mbowe, keshamwingiza Mama Mkwe wake matatizoni

Kwa hiyo kumtoa Utumishi/Utawala bora ni kumwokoa na dhahma huko mbele ya safari maana Mama Mkwe muda wake wa Urais utapita, Mchengerwa angebeba madhambi yote ya Mama Mkwe wake kama kina Sabaya, Ndugai, Polepole, Kabudi, Makonda na wengineo wanavyobeba madhambi ya Magufuli
 
Si busara Mkwe wa Rais kuongoza Wizara inayosimamia Usalama wa Taifa; tayari huyu Mchengerwa alishamwingiza mama mkwe wake kwenye kesi ya mchongo ya Freeman Mbowe

Mchengerwa, Mkwe wa Mama Samia ndo Makonda na Sabaya wa Awamu ya 6
Pia yasemekana amekuwa anavuta mpunga sana kwa wawekezaji wanaotaka kuuingiza mtaji nchini kwa ahadi ya kuwaunganisha na Rais
 
Wakati watu wakipitea wakati wa magu nani alikuwa wizarani hapo? Aamewajibikaje?
 
Watapanguana sana,ila laana ya JPM itawatafuna wanafiki na wauaji wake taratibu.

Muda utaongea...
 
Wakati watu wakipitea wakati wa magu nani alikuwa wizarani hapo? Aamewajibikaje?
Mkuchika, sasa inategemea na hulka ya waziri husika pia, Magufuli alikuwa na kikundi chake cha kupoteza watu, wazee kama akina Mkuchika walipohoji wakapigwa na maradhi yasiyojulikana hadi leo...ndiyo maana unaona Mama anamteua tu kama Waziri asiye na Wizara Maalum ili kumfuta machozi na kumsaidia apate huduma za matibabu zinazogharimikiwa na serikali
 
Sio kumfuta machozi bali hakuna kijiji kikakosa wazee
 
Dah nchi hii ina mambo mengi sana nyuma ya pazia plus umafia
 
Uyo wazir aliewekwa sasa ni mchumia tumbo hatari, yeye anachojua ni kutetea maslahi ya CCM tu
 
Huyu kuondolewa pale imeniuma sana.Anyway serikali ya wanyonge ishapitwa na wakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…