Unataka kusema kwamba SGR na Stigler Gorge hakutaka watu wapande?
Ninadhani upandishwaji wa madaraja kwa wakati ilikua msukumo zaidi kutoka kwa mkuu wa nchi.
Mchengerwa alikua mtekelezaji tu wa maelekezo kutoka kwa mh. Rais.
Hata awamu iliyopita sio kwamba Mkuchika hakua na uwezo wa kupandisha madaraja kwa wakati bali alitii maelekezo ya mamlaka iliyokua imemuweka