Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Chota kimyakimya tena peke yako, usithubutu kumjulisha mkeo na asishike jembe mwambie ataharibika mikono kwa kuota sugu.
Kunajamaa aliajiri mtu amchimbie shimo la choo, jamaa aliikuta chepe huku mchimbaji hajulikani alipo
Mwenye kisima aliweza kuambulia chochote?
 
βœ…πŸ™
 
βœ…πŸ™πŸ™πŸ™
 
Hio - Hiyo
Kua - Kuwa
Sasa kama unashindwa kuandika maneno ya lugha ya kiswahili kwa usahihi wala huwezi kutumia alama za uandishi
Sasa utakuwaje na akili ya kuuza hiyo dhahabu?
Kama unayo, nipe nikuuzie
Lugha fasaha na biashara ya madini ni vitu viwili tofauti mkuu!

~ Arusha kuna Wamasai wanafanya biashara kubwa ya Tanzanite japo hawajui Kiswahili fasaha.

~ Tanzania kuna Wachina wanaofanya mpaka umachinga japo hawakijui Kiswahili fasaha wala Kiingereza fasaha.

Ukishakuwa na mzigo, utauuza ti, hata kama hujui lugha. Hata lugha ya ishara inaweza kutumika.
 
Lugha fasaha na biashara ya madini 'no'! vitu viwili tofauti mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…