Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Dah YAANI NYUZI ZA JF NI TAMU SANA KAMA WEWE NI EXPERT WA KUUNGANISHA DOTS NA KU BREAK CODES [emoji2][emoji2][emoji12]
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ubongo wangu umepata chakula kitamu sana
 
Wewe jamaa ni TISS typically
 
Aisee
 
Ishu za intelligence ni ngumu na maamuzi yake huwa ya kibabe yeye haoni akina Edward Sonwden, na wengine wanakimbilia nchi za maadui, Hakuna serikali ambayo haiuwi watu ambao ni tishio au wanavujisha mambo nyeti ya nchi
 
Hii wanayo sana USA. Wakienda kuwafanyia Training, miongoni mwenu wanageuzwa kuwa Double agents, yaani you work for them, and you work for your country. Kama deep state haipo makini inakuwa na watendaji hawa bila kujua.
Rudi tena malindi ukabukue nukuu zako vizuri
 
Kwa namna hii , ndio maana wamekata lile bomba la kigogo la kupata pia taarifa kizembe zembe. Diwani Athuman kwa sehemu flani amezaa matunda
 
Roger that.

Umeeleza uzuri na kwa ufupi lakini umakini.
 
Ishu za intelligence ni ngumu na maamuzi yake huwa ya kibabe yeye haoni akina Edward Sonwden, na wengine wanakimbilia nchi za maadui, Hakuna serikali ambayo haiuwi watu ambao ni tishio au wanavujisha mambo nyeti ya nchi
Mkuu walimlinganisha Edward Snowden na marehemu major General Imran Kombe?

Nikupe mfano, Simba dume akimtaka simba jike lakini simba jike huyo ana mtoto au watoto ni lazima ataviua vitoto vyote hivyo ili aanze upya mji wake.

Kwenye duru kama hii tuzungumziayo, haya masuala ni lazima yatokee lakini kuua huko ni kumpeleka mtu ubalozi na kadhalika.

Sasa pale palitokea mafahali wawili na isingekuwa rahisi kuishi zizi moja.

Ila inasikitisha kisanga hiki hakikuelezwa uzuri kwenye "My Life My Purpose" labda ingetupatia mwanga kidogo.

Ila kwa hakika Kombe alikuwa ni jasusi mahiri khasa kwenye military intelligence na wazee wengi kama mzee wangu (mzee Uledi) ambae hunipa story za hawa mazee anakiri huyu jamaa alikuwa ni mwamba.

Na hii ndo sababu hayati Mwalimu akampa uDG wa TISS kwani Kombe alikuwa rank moja kikazi na watu kama M7 na PG ambao nao walikuwa sehemu ya MI kule kwenye vita ya Uganda.

Weye unga codes utanifahamu uzuri ninachoongea.
 
Kwaiyo kombe angeweza kuwa Raia namba moja kama wangemchekea ?
 

..give a dog a bad name and kill it.

..Lt.Gen.Imran Kombe anapewa jina baya la kuwa "chagga movement" ili kuhalalisha mauaji yake.

..mngeujua mchango wa Imran Kombe katika vita vya Kagera akiongoza Brigade ya 201 msingemzushia mambo ya hovyo.
 
Kwa namna hii , ndio maana wamekata lile bomba la kigogo la kupata pia taarifa kizembe zembe. Diwani Athuman kwa sehemu flani amezaa matunda
hanafanikiwa bado. huyo kigogo hategemei bomba moja. na sito shangaa kama kigogo ni mwana system au watu walioko system ambao wameanzisha vuguvugu lao.

na amerudi again. TISS wajiangalie tena.
 
hanafanikiwa bado. huyo kigogo hategemei bomba moja. na sito shangaa kama kigogo ni mwana system au watu walioko system ambao wameanzisha vuguvugu lao.

na amerudi again. TISS wajiangalie tena.

..mimi napenda tuwe na vigogo wengi ndani ya system wanaotoa taarifa kwa wananchi.

..inasikitisha tunapojenga dhana kwamba wananchi wa Tz ni mali ya hao wanaoitwa "system."
 
hanafanikiwa bado. huyo kigogo hategemei bomba moja. na sito shangaa kama kigogo ni mwana system au watu walioko system ambao wameanzisha vuguvugu lao.

na amerudi again. TISS wajiangalie tena.
Kupata taarifa za msiba wa maalimu ndio tusema karudi tena ? Kwanini wameacha TISS wazawa wakamchukua huyu Diwani ? Nafikiri na hapo ndio pana shida ingine. Kigogo2014 ni mtu wa system na hakuwa katika junior level, huenda pia ame mentor wengi na ndio anawatumia
 
sija classfy ni taarifa ipi imenifanya kusema kuwa karudi. before hata msiba wa maalim amekuwa aki spill taarifa fulani nje.

sorry Kwani diwani si mtanzania?
 
sija classfy ni taarifa ipi imenifanya kusema kuwa karudi. before hata msiba wa maalim amekuwa aki spill taarifa fulani nje.

sorry Kwani diwani si mtanzania?
Ni mtanzania. Maana yangu TISS mzawa, aliekulia ndani. Naamini hili la diwani wengi wazee mle tena wakongwe kama hawakulipenda ila hawakuwa na namna. Na nifikiri pia mteuaji alikuwa na mashaka ya kuteua DG ambae ni zao la mtangulizi wake au watu wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…