lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Anayeteua kuunda hizo serikali ni nani? Kama unawakataza kula tu, utaweza kuwaweka kwenye serikali yako??
Hadi hapa sasa naanza kuelewa wadini ni watu gani, wasioweza kuishi na watu wenye imani tofauti na wao ni wa upande upi.