Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Jifunze kwanza kuandika vizuri kabla ya kujitia umajinuni wakati huna ndala mguuni.
 
The Monk himself
 
Aisee
 


Kwenye Radi Upo sahihi Mkuu.

Ila kwenye Moshi hapo kidogo kunaukinzani.

Unajua JPM ameuona huo moshi na akasema kabisa kuwa ni mambo ya wazee wa Luangwa.

Bahati mbaya Mchukua Kamera akaondoa haraka huku watu wakisogezwa
 

Hajaihariri bali kaleta sehemu ndogo ya alichorekodi. Mpaka sasa nilikuwa naona hili suala toka lianze jana kama ni hadithi ya kuzua hivi, lakini kwa taharuki iliyopo kwenye jamii hata mimi naanza kupata mashaka. Nilikuwa naichukulia kama upotoshaji mwingine wowote wa mitandaoni na sisi wengine kutumia kama sehemu ya kufikisha changamoto zetu, lakini kwa sasa naona ni zaidi. Nadhani sasa ni muda muafaka wa serikali kujitokeza na kusema kulikoni.
 
Kwanza haijathibitishwa kama Rais ni mgonjwa,
Pili hata kama ni mgonjwa, kwa nini tukimbilie kwenye ushirikina? Kwani watu hawaumwi?
 
Huo moshi sijui[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Hao jamaa wanataka kumrestisha Jembe letu wale kichapooo[emoji35][emoji35][emoji35]
Hapo ndio huwa mwisho wa mabomu na risasi, kichapo utapiga raia wasio na hatia waket wenyewe wanakuchora tu.
 
Itafika mahala mikutano ya vijiji kwa vijiji njiani haitokuwepo zaidi ya wilayani au kwenye makao makuu ya mikoa.
Ziara nyingine za utekelezaji wa majukumu zitafanywa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya,nguvu zaidi itaongezwa kwenye ufuatiliaji.

Hapo ndio tulipokuwa tunahimiza utendaji wa mifumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…