Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)

Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980
Huu mwanga ni hitilafu ya camera maana kwenye picha yako ya pili hapo ukiangalia unaona umehamia kwenye huo mti baada ya kuonekana angani
 
kuanzia sec ya 08 hadi hadi ya sec 11, kuna sauti kama tube ya tairi ya gari inatoa upepo (psssssss) vikienda sambamba na huo moshi! Tuelezwe hio sauti ni yanini, isije ikawa ndipo moshi ulitokea, kbala hatujawasingizia wazee wa ruangwa!

pili, alierekodi hio vdeo lazma yupo karibu na hicho kitu kinachotoa upepo au pngine huo moshi, otherwise device yake isingenasa huo mlio wa pssssi!

kwann aliacha kuendelea kumrekodi jpm?
Tairi ikitoa upepo siku hizi inatoa na moshi ?
 
Watu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.

Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.

Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
Yes nimeona hicho kitu , then alivyoangalia ndo akasema naona hii ni kazi ya ruangwa 😀🤭😢! Mwanzo nilijua hiyo Tv 📺 hapo labda
 
Kwa elimu yangu ya ngumbaro na intelijensia ya kawaida kabisa ya kuzaliwa, huo mwanga ni kama reflection nahisi aliyekua anachukua video alikua kwenye gari au sehem kuna kioo.

Imeendelea kubaki hivyo na inaonekana ipo upande wa mchukua picha na sio kitu kilichokua kikitoa mwanga upande wapili.

Bado hii video haitoi jibu la taharuki inayoendelea, kuihusisha na ushirikina ndio kunazidi kuongeza tatizo.
 
Waitwe masheikh wanazuoni wampigie Dua huyo kama katupiwa uchawi atakaa sawa baada ya muda mfupi.
 
Kuna moshi ulitokea Kule Luangwa Raisi akihutubia ,hii jambo LA ajabu

Nitoe machache haya yangetokea kule Ufipani sijui! Yaani watu wangeongea mengi ,munaonaa wafipa !

Jamani acheni zambi ya maneno je, Luangwa wale wazee ni wafipa?

Siamini sana uchawi ,najua upo kwani umemwa sana

Mungu alipishilia mbali wazee wakifipa ,sijui wangekimbilia wapi?
Tusalifye LEZA,aliepusha

Ushauri tusipende kuamini mambo ya kichawi ,Siku hizi hata teknolojia kuna uchawi

Silaha ni yesu na Mohammad kwa waamini

Tuyaule yonsi,mwalinda uli?
 
Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)

Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980

Aliekua anarekodi simu yake ilikua na flash..ikawa inareflect kwenye kioo cha tv..kikubwa ni huo moshi aisee..adi yeye aliouna akasema wana ruangwa mnaleta na moshi [emoji2]
 
Watu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.

Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.

Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
Watu wana uchungu na korosho zao eeh
 
Kutuondoaa wasiwasi vyombo husika au watu husika wakanushe kama sio kweli
 
Hiyo seen niliiona TBC walikuwa Live,ila walikatisha matangazo ghafla baada ya huo moshi kumfunika Rais na yeye kutamka hayo maneno,sema tu tulichukulia kama kitu cha kawaida.
Siongelei video,naongelea picha mtu kabebwa kwenye machela.
 
Back
Top Bottom