Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.

Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.

Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea
Yes nimeona hicho kitu , then alivyoangalia ndo akasema naona hii ni kazi ya ruangwa 😀🤭😢! Mwanzo nilijua hiyo Tv 📺 hapo labda
uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta
 
Mikoa Lindi na mtwara haitakuja kuendelea kamwe sababu ya uchawi na ushirikina.
Itafika mahala mikutano ya vijiji kwa vijiji njiani haitokuwepo zaidi ya wilayani au kwenye makao makuu ya mikoa.
Ziara nyingine za utekelezaji wa majukumu zitafanywa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya,nguvu zaidi itaongezwa kwenye ufuatiliaji.
 
Watu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.

Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.

Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
Haiwezi kuwa miale ya jua, wala nyota, wala reflection ya jua, kwasababu inamove na camera. Hata camera ilipogeuzwa, huo mwanga ulikuwa at the same position

Hii video imerekodiwa na simu ikiwa inaplay kwenye TV. The quickest possible explanation ni kuwa kuna mtu mmojawapo aliyekuwa anaangalia hiyo TV aliwasha flash ya siimu probably for recording, kisha reflection ya hiyo flaash ndio inayoonekana kwenye video hii. Labda utuonyeshe origina recording (sio hii recording of a recording) tuone kama hiyo artifact ipo. Otherwise, huo mwanga has nothing to do na huo moshi
 
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea

uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta
Daah umeniogopesha, Mungu aepushe
 
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea

uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta
Ishu ya sumu kwenye msafara wa Rais ni ngumu sana maana huwa kuna surveiilance ya maana katika eneo ambapo Rais atasimama kuhutubia, Na kama ndivyo najua walinzi watakuwa wamefanya kile kinachotakiwa kujua nini hasa chanzo cha moshi husika na ikiwezekana kuondoka na kidhibiti..

Nafahamu fika serikali ina wataalamu wa kutosha wa forensic kuweza kung'amua kama kweli ni ule moshi ulikuwa na sumu ndani yake, na kwa haraka haraka sumu zinazokuwa katika huo mfumo wa gesi bado hainingilii akilini, hapo kuna namna tu kwa wakazi na wenyeji wa huko LIndi.
 
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea

uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta
aliyerekodi karekodi nyumbani toka kwenye tv akitumia simu
 
Back
Top Bottom