minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Ruangwa tumewaelewa,hampo pamoja na sisi na hamtaki maendeleo.Kwaherini Ruangwa.Mmemuabisha sana ndugu yenu na Waziri Mkuu Majaliwa.
Pengine mchomoa betri alitokea sehemu ingine ya Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruangwa tumewaelewa,hampo pamoja na sisi na hamtaki maendeleo.Kwaherini Ruangwa.Mmemuabisha sana ndugu yenu na Waziri Mkuu Majaliwa.
Ngoja tuone nani bingwa!!Tusubiri Vita Ya Tatu Ya Dunia: Gambosh vs Ruangwa
Angalia posti namba 277 jamaa kaiweka YouTube alafu inaonekana aliendelea kuhutubia baada ya hilo tukioHii video imerekodiwa na simu kutoka kwny TV, ukiangalia hapo hyo channel inaitwa JWEE info.
J WEE INFO ni online youtube TV kma MillardAyo but nimeenda kucheck Youtube channel hii video nimetafuta sijaiona.
So its either its video ime-editiwa au video its a true video iliwekwa then ikafutwa haraka before haijasambaa kuzuia taharuki.
Bado maswali ni mengi, majibu hakuna. Kuna jambo kubwa.
Hapana mkuu,katoka Ruangwa.Posibility hiyo haipo.Pengine mchomoa betri alitokea sehemu ingine ya Tanzania
Alikua na sababu gani ya kurekodi halafu aseme ni live? That was live coverage kabisa mkuuLive ya juzi ni recorded ya leo
Jiheshimu wewe...aliyekwambia mi ni mfuasi wa kigogo nani?? Soma uelewa kabla hujakurupuka. Nyumbu mkosa mkia ni wewe.
Huyu nae achutame sasa....kazingua lkn bado kakomaa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1239291
Hii inaweza kumkosti PM, mkuu wetu akilishwa conspiracy theories anaweza kuamini kwamba ilipangwaTusubiri Vita Ya Tatu Ya Dunia: Gambosh vs Ruangwa
Unadhulumu watu korosho kwa madai wameshindwa kuonyesha mashamba hlf unazigawa kwa nchi jirani! Unaenda kuwakebehi!.
Yaani we mwandiko wako unawezaga kuusoma mwenyeweKwenye vituo vya mafuta ruam riwa kuzima magari na simu ha kwanini rais wetu amehutubia chini ya nyama za umeme wa voltage kubwa watatuambia wamemfanyaje rais wetu
Pale nimemjibu kwamba tuhubiri amanBritanicca kwa umri ni mtu mzima, sikutegemea ujibu hoja kidhaifu kiasi hiki.
Mleta uzi alitaka kujua nini ilitokea
Nyerere kifimbo chake kimewahipotea huko kwa walima koroshoWatu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.
Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.
Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
True nguvu za makombora mazito toka anga zote dhidi ya MTU mmoja wachawi,Freemasons, mizimu,majini toka kwa wahindi,waafrika,waarabu,albadili bila kuwa na ant missile za kisasa utoboiWatu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.
Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.
Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
Ukiangalia clip rais anasema naona wanaruangwa mmeamua kuniletea moshi...so possibly hiyo clip ni kweliNaungana na wewe kabisa, kama hii video niliyosikia na kuona yapo hivyo, basi ni hujuma ya kisayansi kabisa wala si ushirikina. Suspects wa kwanza baadhi ya watu wa kitengo.
Ni vzr FBI kuja kulearn TanzaniaNdio maana kuna mtu kasema mbunge wa Ruangwa atumbuliwe kwa aibu hii.
kwa kwi kwi!
Vip? Kuhusu Nape Nauye aliyejitamba baada ya kutolewa bastola akawa anasema mimi mtoto wa kimakonde/LindiHapo sasa!! Ukimuona Majaliwa kama zezeta vile kumbe amekamilika