Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Interesting!!! Hebu tupe family tree inayo muunganisha huyu mtume wa mwisho na Ibrahim Baba wa imani. Na umetaja Injili, na hii Injili imesema wazi kuwa mtu hawezi kufika mbinguni ila kwa njia ya Yesu. Sasa sijui nini maoni yako juu ya hili?


 
Duh naweza kukubaliana na jibu lako hili lakini je kwanini iwe wakati wa kwenda kuifuta Roma?? Kwanini kijana asingesubiri baba yake amalize ulaya nzima ili hata akija kutawala asipate upinzani kipindi akipata madaraka ?
Inaonekana nyuma ya kujana kulikuwa na watu wanaomrubuni
 
Hii ya kujitoa muhanga inayo zungunziwa hapa kutumiwa na Mehmed 2. Yaani ya kuongozana na vijana warembo kama KSM.
hapo haijazungumziwa kujitoa muhanga mkuu...kilicho zungumziwa nikwamba Jamaa alikuwa anawala mlango wa nyuma wanaume wenzie
 
point of correction..historia ya ukristo haisemi hivo..refer first 1000yrs of christianity..and another 1000yrs of christianity
 
Mbinu zip mkuu
 
Vatican imeanzisha uislam??
 
Safi mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…