Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doto JamesKuondoa au kupunguza kelele za "amemweka mkwe wake pale"
Hata Magu angewezaga tu kumtoa mpwa wake Dotto Biteko pale Fedha kama PayMaster ili kuondoa kelele zile tunazozikumbuka sana...
Lakini yule mzee alikuwa kichwa ngumu kweli na ndiyo akajiita "JIWE..!"
Jiwe pekee lililozikwaKuondoa au kupunguza kelele za "amemweka mkwe wake pale"
Hata Magu angewezaga tu kumtoa mpwa wake Dotto Biteko pale Fedha kama PayMaster ili kuondoa kelele zile tunazozikumbuka sana...
Lakini yule mzee alikuwa kichwa ngumu kweli na ndiyo akajiita "JIWE..!"
Au umesikia wanapigana juju. Labda wamefanyia mambo....!!Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Aligusa maslahi ya wakubwa kuna wake za wakubwa ni HR'sKutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Jamaa alifaa sn lakiniKuondoa au kupunguza kelele za "amemweka mkwe wake pale"
Hata Magu angewezaga tu kumtoa mpwa wake Dotto Biteko pale Fedha kama PayMaster ili kuondoa kelele zile tunazozikumbuka sana...
Lakini yule mzee alikuwa kichwa ngumu kweli na ndiyo akajiita "JIWE..!"
Yawezekana kampiga bintiKutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Hiyo waliingizwa na IGPAlimwingiza Mama mkenge
Kwamba wanaushahidi mzito dhidi ya Mbowe.
Mpaka sasa kidhibiti muhimu ni Shangazi kaja.
Majaji wameibeba Jamhuri imefika mahali wamechoka.
Waswahili hawana hizo mamboYawezekana kampiga binti
Jamaa lakini alifit snHuyu Dogo ilikuwa lazima aondolewe,kwasababu tayari kulikuwa na maneno ambayo si mazuri kwa mteule.
Ziliwahi kusikika hoja kwamba yeye na Majaliwa ndio waliokuwa wameshikilia masuala yote ya ulinzi na usalama.
Hata Tundu Lissu aliwahi kutamka hadharani,sasa ukiweka na hili kachukua Binti wa Bi Mkubwa nadhani ni uamuzi mzuri kuondoa makando kando.
Keshamaliza assignment yake Idara ya usalama! Wahuni wa mwenzake washakuwa spotted. Anakuja mwingine wa kuja kureshufle mambo ya usalama kutokana na ripoti ya Mchengerwa. Una swali jingine?Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Keshamaliza assignment yake Idara ya usalama! Wahuni wa mwenzake washakuwa spotted. Anakuja mwingine wa kuja kureshufle mambo ya usalama kutokana na ripoti ya Mchengerwa. Una swali jingine?
Nina umani una maana ya Doto James na siyo Doto Biteko.Kuondoa au kupunguza kelele za "amemweka mkwe wake pale"
Hata Magu angewezaga tu kumtoa mpwa wake Dotto Biteko pale Fedha kama PayMaster ili kuondoa kelele zile tunazozikumbuka sana...
Lakini yule mzee alikuwa kichwa ngumu kweli na ndiyo akajiita "JIWE..!"
Rizi Moko ukiachana na mwanamfalme anasifa Gani nyingine?Raisi hachagui mtu kwa sababu ya familia yake, bali anamteua mtu kwa sababu ya sifa zake.
Just for the record, yule ni mndengereko wa rufiji nyamwage pale.Yule Ni Mkwerema, nchi Sasa Ni Yao, hakuna la kuharibika
Alifanya kosa gani?Tena ashukuru mama ana huruma maana kosa alilofanya alistahiri kuwa tu mjumbe wa
nyumba kumi