Buda usinitie njaa mzae! Ukipambana wewe ukawa shujaa kama Nyerere kuna tatizo gani? Wote tutanufaika utakuwa umeliokoa taifa!!! Go..Go...Go bruh! The wait is over ukiniita mie mpumbavu wakati sijakushika miguu wala mikono utakuwa unafeli!Wapumbav kama wewe hata enzi za Nyerere na uhuru walikuwepo
Na wakidiriki hata kumtemea mate kasome historia.
Lakini kamwe hakukata tamaaa na alishinda
Hata rumi ilianguka kwa mawazo ya kipumbav kama haya yako
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Wananchi wepi hao ambao wapo tayari kuvunjwa miguu na FFU au mnajitoa akili tu? Watu wanahangaikia mipango ya hela nyie mnalazimishia Agenda ya kisiasa iwe ishu ya wananchi!Suala la katiba na sheria za nchi siyo suala la Mbowe wala Lissu wala Samia wala CCM wala Chadema.Suala la katiba ya nchi ni suala la wananchi.Ni suala la wananchi kwa sababu linagusa yale masuala ya msingi kabisa ya watu kama vile haki ya kuishi na kadhalika.Unahitaji kuwa na PhD ili kuyajua mambo madogo kama haya?
Simamia hoja kwa utashi sio kuimbishwa mapambio na kutiwa hofu na viongozi wapumbavBuda usinitie njaa mzae! Ukipambana wewe ukawa shujaa kama Nyerere kuna tatizo gani? Wote tutanufaika utakuwa umeliokoa taifa!!! Go..Go...Go bruh! The wait is over ukiniita mie mpumbavu wakati sijakushika miguu wala mikono utakuwa unafeli!
Sawa haki sio hisani naelewa ila kuna namna ya kuidai hio haki! Angalia nani anapaswa akupatie hio haki? Personality traits zake zikoje? Kuna watu wanataka kuwa pleased ili upate unachotaka na ambao ndio wengi kuliko wale ambao wanajua kukupatia haki ni wajibu wao so hutenda bila kuombwa!
Shida ya hawa ndugu zetu wao wanataka haki kwa kupush kauli za kibabe! Ukikutana na mtu mwenye roho ngumu anakufyekelea mbali and the rest is history! Tuwe na adabu kidogo...tunadai haki ila tuwe na adabu kidogo huwezi kuvunja vipengele vya katiba kwa makusudi hii ni nchi yenye utawala wa sheria sio kijiwe cha kahawa kwamba lugha za chooni ni ruksa kwa yeyote yule!
Ombeni kibali fateni taratibu mkinyimwa lalamikeni na mtoe hoja zenu mama personality yake ni rahisi kusikiliza watu. She is not a harsh person kama mtangulizi wake so mambo yanaweza kwenda smooth watu wakitumia akili vizuri. Wakitaka ubabe vijana wenye kazi ya kuwatuliza wapo!
Ningependa hao wanaojitia wana uchungu sana na katiba wapeleke matumbo yao mbele na familia zao kisha wakifanikiwa kwenye hio vurugu watanzania wengine watafuata!
Mie nimesema ntashiriki mchakato wa hio katiba mpya kama kutakuwa na kipengele cha wananchi kupewa hela ya maendeleo 5M cash kwenye account zao kila mwanzo wa mwaka mpya wa serikali. Kama hilo litakuwepo ntawaunga mkono ila kama ni lile la kuwaingiza akina Mbowe Ikulu tu basi sihusiki na shughuli hio!
Hoja zangu ni kuu 3!Simamia hoja kwa utashi sio kuimbishwa mapambio na kutiwa hofu na viongozi wapumbav
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kuanza kesho inategemea na wewe na mwenzio behaviourist kutoa mapumbu yenu ndani na wake zenu na watoto mkaandamane! Ishu ni simple tu hakikisheni mna vipaza sauti na bendera na matisheti bila kusahau mabango!kama wewe unaakili hizo za kumwaza mbowe saa zote kama mzee wako basi bora mchakatoka huu uanze hata kesho ili kunusuru kizazi kijacho
Ni vizuri ukaweka wazi unachuki binafsi na chadema, haingii akilini taasisi ambayo imejitoa mhanga miongoni mwa raia waoga na kumweleza rais anachofanya si sahihi, ajab we umewapuuza na kuona wanafanya kitendo cha kijinga.Bora hilo umelitambua mzee, wacha wale CHADEMA na BAVICHA waendelee kuwashwa washwa na kuikejeli taasisi ya uraisi wakitegemea kuitwa mashujaa
Mkuu nchi inapaswa kuendeshwa kwa sheria au kwa matakwa ya mtu Binafsi?Hahahahah raisi akifata kila mnachotaka nchi itatawalikaje? Halafu mnataka katiba ambayo nyie mnachofikiri ndio raisi afanye huyo atakuwa raisi au mdoli!? [emoji28] Mfano mwepesi tu wewe ndio baba mjengoni kwako ila mtoto wako wa darasa la 4 ndio akupangie utaratibu wa kuendesha nyumba we uliskia wapi? Eti baba usioe nimesema hatutaki mama wa kambo humu [emoji23][emoji23][emoji23] na we mzee unakubali unaanza kupiga nyeto! We uliskia wapi hilo???
Acheni kuota hata huyo Mbowe akipewa nchi pamoja na katiba mpya hamna kitu atafanya ambacho kitampa ugumu kuwatawala! Mkileta ujinga atatumia polisi na majeshi kama kawa!!!
Siwachukii Chadema mzee kwa sababu sina maslahi yoyote kwao au CCM! Mtu mzima anapofanya mambo kitoto ndio huwa nachukia always!Ni vizuri ukaweka wazi unachuki binafsi na chadema, haingii akilini taasisi ambayo imejitoa mhanga miongoni mwa raia waoga na kumweleza rais anachofanya si sahihi, ajab we umewapuuza na kuona wanafanya kitendo cha kijinga.
Hizi ni hoja za maslahi ya muda mfupi/ maslahi tumbo.Hoja zangu ni kuu 3!
1.Katiba hainilishi
2.Hainilipii kodi
3.Hainivishi
Siku kukiwa na kifungu cha kwamba kila mwaka mpya wa serikali kuna hela naingiziwa kwenye account yangu kama gawio la Mlipakodi hapo ndipo ntakuwa serious nayo! Ila kupambania ndoto za Mbowe na Lissu kwa kuwekwa bond sifanyi huo upuuzi!
Ukweli mchunguNyani Ngabu:Hii nchi kiukweli Ina watu wajinga Sana bado ,iwe upande wa upinzani na hata upande wa CCM.Ndo Mana haki inaonekana hisani kwa hiyo basi nchi hii haitakaa ipate MAENDELEO hadi kwanza ujinga na upumbavu uishe,Uliona wapi nchi yenye majority ambao ni mazuzu na wakati huo ikawa na MAENDELEO?
Nini maana ya tatizo ni usimamizi wa katiba ya sasa?Braza mie siwezi kuhangaika na hilo maana mpaka sasa hio katiba yenu iliyopo hainilishi wala kuniwekea hela benki ila ni kupitia mapambano yangu binafsi ndio napata kula!
Sasa ukiniletea story za kuchagua kazi na kuhangaika na hio katiba ambayo hanipi relief yeyote personally naona unajichosha tu! Tatizo ni usimamizi wa katiba sio katiba mpya ila kama utabisha juu ya hili andamana mzee kama nilivyoshauri.
Sheria iliowekwa na katiba ndio muongozo wa kuendesha nchi!Mkuu nchi inapaswa kuendeshwa kwa sheria au kwa matakwa ya mtu Binafsi?
Sasa penye dai la msingi kama huna hoja acha mzaha.Katika Taifa mashujaa huwa ni wachache na ndio maana kuna majina ambayo yako common unayasikiaga deile katika historia ya taifa wala sio kikundi cha watu!
Sykes,Nyerere,Kawawa hawa ni wachache tu ambao wamebeba gurudumu la ushujaa katika nchi hii hivyo sio mbaya katika kizazi cha leo tukapata watu kama hao kupitia wewe na familia yako. Maana tuliondolewa kwenye ukoloni na hao mashujaa!
Wewe na familia yako pambana ili utuokoe na sisi kwenye hili la katiba ya zamani utabarikiwa sana na kuenziwa kama shujaa
Kuundwe tume ya kuwawajibisha viongozi wanaokiuka katiba sijajua ni kwa namna gani ila hilo ndio ambalo linatakiwa lifanyike! China wameweka kunyongana ila kibongo bongo hakuna atakaekubali hili!Nini maana ya tatizo ni usimamizi wa katiba ya sasa?
Maana yake ni hii iliyopo ni dhaifu haiwagusi wanaoivunja?
Ingekuwa inatamka na jinsi wasioitii namna gani wanashughulikiwa hata kama ni rais ningeona huja yako ina mashiko
Hoja ni wazi katiba hii ina madhaifu makubwa na Tanzania watu wake wanaanza kutoka kwenye ujinga kuja kwenye elimu
Bila madiliko ya katiba ipo siku hata hako kakazi kako unakojifanya kanakulisha na familia yako hutakafanya. Na utakumbuka na kujilaumu kwa kukumbatia upumbav
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sijasema hilo dai ni mzaha ila kwa mashiko kwangu naona sitashiriki ila mtakaoshiriki kulifanyia kazi kwa vitendo na kuandamana mtakuwa mmetusaidia wengine!Sasa penye dai la msingi kama huna hoja acha mzaha.
Maana haki ikipatikana hata hao unaowazaa kwa kujigamba watanufaika.
Ni vyema, kama unaelewa dai la katiba sio mzaha
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Huo ndio udhaifu tuliouchoka na msingi wa madai ya katiba itakayoliangalia hili dai la msingiKuundwe tume ya kuwawajibisha viongozi wanaokiuka katiba sijajua ni kwa namna gani ila hilo ndio ambalo linatakiwa lifanyike! China wameweka kunyongana ila kibongo bongo hakuna atakaekubali hili!
Unajua unaposema chukua familia yako uiingize barabarani hapa kuna mzaha, kuna kukatishana tamaa na nia ya kuvunja moyo.Sijasema hilo dai ni mzaha ila kwa mashiko kwangu naona sitashiriki ila mtakaoshiriki kulifanyia kazi kwa vitendo na kuandamana mtakuwa mmetusaidia wengine!
Hapo hakuna mzaha tatizo mnapenda kutiana moyo kijinga unataka nikuunge mkono ili tuendelee kujaza thread kwa lawama tu juu ya wanaotupinga mzee?Unajua unaposema chukua familia yako uiingize barabarani hapa kuna mzaha, kuna kukatishana tamaa na nia ya kuvunja moyo.
Mwenyewe unaelewa sana, kauli yako hii inapuuza dai la msingi. Sikukosea kukuambia una mzaha kwenye dai la msingi
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app