Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandamano? Watu wa Mbeya tuambieni kama hizi picha ni za kweli

w
Huko mbeya wana udhubutu
Wamethubutu nini, kubwabwaja nakujitafutia umaarufu wa kipuuzi? We ni wale wale, uko wapi huo uthubutu wao? Wale ni kunguru tu wa kuonekana kwenye online Tv hasa Kusaga Tv.
 
WanaJF mliopo Mbeya City kuna updates zozote kuhusu Maandamano yaliyoandaliwa na Mdude_Nyagali na washirika wake?

Bandari zetu
 
Niko hapa Kabwe naendelea na maandamano. Polisi wanaoishi kwa kutegemea kausha damu ndiyo wanatuletea usiku.
 
Polisi inasemekana wapo nyumbani kwa Mwabukusi na Mdude, inaonyesha akina Mdude wako serious na jeshi la polisi linajua hivyo, ndomaana wamezingira.Wewe ungekua kamanda wa jeshi la polisi,bilashaka ungepuuzia,halafu maandamano yangefanyika,na ingekugharimu.
 
Ni Mjinga tu anayeamini maandamano ni lazima kutembea kwa miguu hadi pahala fulani na kufikisha Ujumbe.

Hayo yalikuwa ni mambo ya kizamani wakati teknolojia haikuwa rafiki.

Ulaya wanaandamana kwa kutembea kama ishara ya kuonyesha Hisia na hasira kwa mujibu wa Katiba na sheria.

Tanzania tunaandamana kufikisha Ujumbe tu kwa sababu bado Hatujastaarabika kuweza kuonyesha Hisia na hasira kwa njia ya maandamano.

Niishie hapo!
 

Joni bana, haha Tule aliepo pale Desderia Bado ajatoa mrejesho??

Ova!
 
Usiondoke JF

Sijakuelewa!
 
Jiji la Mbeya ni tulivu na watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida huku wahuni na vibaka kama akina Mdude haieleweki leo wamekwenda kuvutia wapi mibangi yao. Labda tumuulize Erythrocyte labda anaweza kutupatia majibu stahiki.
Fikra mgando huwa zina threads zake.

Nashangaa kukuona kwenye uzi huu🀣🀣
 
Hii ni kwa sababu lengo la Maandamano hayo la kuijulisha Africa , Dunia na Watanzania waliolala kuhusu dhuluma hiyo ya Bandari za Tanganyika limefanikiwa almost kwa 100%.

Je maana halisi ya maandamano kwenye tafsiri ya kamusi ni ipi hasa ?

Hebu soma hii ,

Mbeya hii leo shughuli zote zimesimama huku Polisi wakishiriki Maandamono hayo kwa ukamilifu kutoka Mbeya Mjini hadi Kyela.

Hatimaye Mbeya Imeingia rasmi kwenye vitabu vya Historia ya Ukombozi wa Nchi .

Hongereni Wazalendo.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„baada ya kumaliza mabangi yenu huko mlikokuwa mmejificha naona mmeanza kutoka mmoja mmoja vichakani? Kwanini hamjaandamana enyi nyumbu ? Mlifikiri nani atawaunga mkono enyi wahuni na wababaishaji? Mmeona aibu mliyoipata na kuivuna? Kwanini mmeishia kukimbia kujificha? Lazima mtambue ya kuwa Watanzania siyo wajinga na manyumbu kama ambavyo ninyi mnaburuzwa na mbowe pale ufipa. Kaeni kwa kutulia na siyo kujazana ujinga wenu tu hapa. Ona sasa hata wewe Erythrocyte umeshindwa kuandamana na kuishia kujificha Desderia Hotel πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Vipi Mdude bado yupo kuvuta mibangi yake?
 
WE DADA ACHA BANGI ZAKO HAKUNA MAANDAMANO YA KIJINGA MNAWEZA KUYAFANYA YAKAFANIKIWA
 
Tumeungwa mkono na Polisi kwa kishindo
 
Afu unaweza kukuta wewe ni mwalimu unalipwa mshahara 500K.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…