Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandamano? Watu wa Mbeya tuambieni kama hizi picha ni za kweli

Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandamano? Watu wa Mbeya tuambieni kama hizi picha ni za kweli

Mdude Nyagali ametoa Taarifa Kwamba maandamano yao yalizuiwa na Polisi hivyo wako Mahakamani kutafuta Haki

Swali langu kwa Mdude na Mwabukusi ni Hili:

Kwanini hamkuwatangazia Wananchi Kwamba maandamano hayatakuwepo hadi pale mtakapowatangazia tena?

Mlitaka Wananchi waingie barabarani wakakutane na Moto wa Polisi?

Hii Tabia siyo poa mtawaponza watu bure

Jumaa kareem [emoji3]
Wewe dogo maandamano yalifanyika tena kwa mafanikio makubwa. Wale div IV ya point 32 waliandamana kwa niaba yetu kwani nao ni Wazalendo pia.
 
Mdude Nyagali ametoa Taarifa Kwamba maandamano yao yalizuiwa na Polisi hivyo wako Mahakamani kutafuta Haki

Swali langu kwa Mdude na Mwabukusi ni Hili:

Kwanini hamkuwatangazia Wananchi Kwamba maandamano hayatakuwepo hadi pale mtakapowatangazia tena?

Mlitaka Wananchi waingie barabarani wakakutane na Moto wa Polisi?

Hii Tabia siyo poa mtawaponza watu bure

Jumaa kareem 😀

Ni sawa na kuuliza kwa nini walioanzisha maandamano wana hekima?
 
Back
Top Bottom