kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kujitoa mhanga sio mchezo wabongo mtabakia kwenye keyboard ujasiri hakuna!Hii ni kwa sababu lengo la Maandamano hayo la kuijulisha Africa , Dunia na Watanzania waliolala kuhusu dhuluma hiyo ya Bandari za Tanganyika limefanikiwa almost kwa 100%.
Je maana halisi ya maandamano kwenye tafsiri ya kamusi ni ipi hasa ?
Hebu soma hii , View attachment 2808718
Mbeya hii leo shughuli zote zimesimama huku Polisi wakishiriki Maandamono hayo kwa ukamilifu kutoka Mbeya Mjini hadi Kyela.
Hongereni Wazalendo.
Haya ya leo yamefanikiwa sana .WE DADA ACHA BANGI ZAKO HAKUNA MAANDAMANO YA KIJINGA MNAWEZA KUYAFANYA YAKAFANIKIWA
punguza jazba chawaπππbaada ya kumaliza mabangi yenu huko mlikokuwa mmejificha naona mmeanza kutoka mmoja mmoja vichakani? Kwanini hamjaandamana enyi nyumbu ? Mlifikiri nani atawaunga mkono enyi wahuni na wababaishaji? Mmeona aibu mliyoipata na kuivuna? Kwanini mmeishia kukimbia kujificha? Lazima mtambue ya kuwa Watanzania siyo wajinga na manyumbu kama ambavyo ninyi mnaburuzwa na mbowe pale ufipa. Kaeni kwa kutulia na siyo kujazana ujinga wenu tu hapa. Ona sasa hata wewe Erythrocyte umeshindwa kuandamana na kuishia kujificha Desderia Hotel πππ. Vipi Mdude bado yupo kuvuta mibangi yake?
Polisi waliyoyafanya Mbeya leo ni ya kutukuka .Kujitoa mhanga sio mchezo wabongo mtabakia kwenye keyboard ujasiri hakuna!
Ukinitumia na ka picha roho yangu itafurahi saaaaaana, hizi mbuzi za CCM zimekubali mziki wa wananchiHii ni kwa sababu lengo la Maandamano hayo la kuijulisha Africa , Dunia na Watanzania waliolala kuhusu dhuluma hiyo ya Bandari za Tanganyika limefanikiwa almost kwa 100%.
Je maana halisi ya maandamano kwenye tafsiri ya kamusi ni ipi hasa ?
Hebu soma hii , View attachment 2808718
Mbeya hii leo shughuli zote zimesimama huku Polisi wakishiriki Maandamono hayo kwa ukamilifu kutoka Mbeya Mjini hadi Kyela.
Hongereni Wazalendo.
Niko Kyela na Baba Askofu Mwamakula , TunakinukishaNgoja aje Erythrocyte Kutoka pale Desderia Motel
Naionea huruma familia yako kuwa na baba kama wewe inatia kinyaaJiji la Mbeya ni tulivu na watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida huku wahuni na vibaka kama akina Mdude haieleweki leo wamekwenda kuvutia wapi mibangi yao. Labda tumuulize Erythrocyte labda anaweza kutupatia majibu stahiki.
si kidude wala kimbukusi kilichosubutu kutoka barabarani nyau nyie mnafikri nchi ya kuchezea hii?Haya ya leo yamefanikiwa sana .
Nani kadhulumiwa, we ulishawahi kuwa na bandari, mama yako alishawahi kuwa nayo? Hovyo sana nyie msio na majukumu,Hii ni kwa sababu lengo la Maandamano hayo la kuijulisha Africa , Dunia na Watanzania waliolala kuhusu dhuluma hiyo ya Bandari za Tanganyika limefanikiwa almost kwa 100%.
Je maana halisi ya maandamano kwenye tafsiri ya kamusi ni ipi hasa ?
Hebu soma hii , View attachment 2808718
Mbeya hii leo shughuli zote zimesimama huku Polisi wakishiriki Maandamono hayo kwa ukamilifu kutoka Mbeya Mjini hadi Kyela.
Hatimaye Mbeya Imeingia rasmi kwenye vitabu vya Historia ya Ukombozi wa Nchi .
Hongereni Wazalendo.
yaaani hata aibu hamuoni na huyo anayejifanya askofu anaharibu maana ya dini kwa tamaa ya pesaNiko Kyela na Baba Askofu Mwamakula , Tunakinukisha
Ushawishi wao ni mkubwa sana mpaka police wameshawishika na kuwaunga mkono,lkn pia posho wamepewa pamoja na kupungiziwa majukumu ya kuwalinda DCs.Tumekuwa tukisikia habari za maandamano leo tarehe 9 mwezi wa 11 mwaka 2023. Wale kina Mwabukusi, Mdude, Slaa wanaandamana wapi. Au wanaandamana na wake zao kwenye maboma yao km walivyoelekezwa na kamishna wa operesheni wa jeshi la polisi Tanzania.
Anayeiuza hajawahi hata miliki kisima kwaoππNani kadhulumiwa, we ulishawahi kuwa na bandari, mama yako alishawahi kuwa nayo? Hovyo sana nyie msio na majukumu,
Jiji la Mbeya ni tulivu na watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida huku wahuni na vibaka kama akina Mdude haieleweki leo wamekwenda kuvutia wapi mibangi yao. Labda tumuulize Erythrocyte labda anaweza kutupatia majibu stahiki.
Yaani wewe badala ya kuwa kwenye maandamano kumbe upo JF unaropoka ropoka hovyo?ππHii ni kwa sababu lengo la Maandamano hayo la kuijulisha Africa , Dunia na Watanzania waliolala kuhusu dhuluma hiyo ya Bandari za Tanganyika limefanikiwa almost kwa 100%.
Je maana halisi ya maandamano kwenye tafsiri ya kamusi ni ipi hasa ?
Hebu soma hii , View attachment 2808718
Mbeya hii leo shughuli zote zimesimama huku Polisi wakishiriki Maandamono hayo kwa ukamilifu kutoka Mbeya Mjini hadi Kyela.
Hatimaye Mbeya Imeingia rasmi kwenye vitabu vya Historia ya Ukombozi wa Nchi .
Hongereni Wazalendo.
Picha tafadhali.Jeshi letu la Polisi na vyombo vingine vya Usalama vimeonesha udhaifu mkubwa mno katika azma yao ya kuzuia Maandamano ya Amani kupinga mkataba wa Bandari, kudai Katiba Mpya na Uhuru wa kuishi kwenye maeneo ya asili.
Polisi wamekodoa macho Mbeya huku Dunia nzima watu wameandamana kwa kuvaa nguo maalumu nyeupe zenye ujumbe mahususi!
Ninanaona watu wa kila kada, siasa, dini, wasanii, wasomi wakiandamana USA, Russia, SA, Kenya, Tanzania, UK, Singapore, Ufilipino, Kenya, Israeli, Rwanda, Uganda, Bennin, Ugoslavia, Moldovia, Italia, Zambia, Msumbiji, Namibia, Comoro, Morocco, Dubai, Quatar, Brazili na Sweden. Naendelea kufuatilia. Ujumbe huu utakuwa umeenda mbali sana maana vyombo vya habari vya Kimataifa vinafuatilia kwa karibu sana tukio hili kama DW, VoA, BBC, Al-Jazeera na ABC.
Walioandaa haya Maandamano pokeeni maua yenu. Hii ni akili kubwa mno.