Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandamano? Watu wa Mbeya tuambieni kama hizi picha ni za kweli

Wewe dogo maandamano yalifanyika tena kwa mafanikio makubwa. Wale div IV ya point 32 waliandamana kwa niaba yetu kwani nao ni Wazalendo pia.
 

Ni sawa na kuuliza kwa nini walioanzisha maandamano wana hekima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…