anhaa,sema umechelewa kuboeka na kutoa dukuduku tushaacha kitambo ππwe mwenyewe shahidiNdio huko huko kuchat sana kila uzi mnapoteza flow bana, huku chit chat ndio kwenyewe muwe mnakuja huku mchatiiii hadi mtoke jasho....ila majukwaa mengine inakua kero
Sijui kwanini hua nawafananisha sana Demi na Evelyn Salt hua najisahau kua namquote nani kati yenu!Naona kabisa unanilenga mimi
Good dear, nimekaribia tena asante sana πππSisi wazima wote Dear wangu....
Karibu tena JF...
Mimi ndio Eve, ndio yule mdada uliniahidi tutaenda vacay mahali penye miti mingi nikanunua na kikaptula.....ila sahivi hakinitoshi tena.Sijui kwanini hua nawafananisha sana Demi na Evelyn Salt hua najisahau kua namquote nani kati yenu!
π
ππππMimi ndio Eve, ndio yule mdada uliniahidi tutaenda vacay mahali penye miti mingi nikanunua na kikaptula.....ila sahivi hakinitoshi tena.
Kumbe hapa ndio chit chat! sijawahi kuyajua majukwaa ya JF aisee,Ndio huko huko kuchat sana kila uzi mnapoteza flow bana, huku chit chat ndio kwenyewe muwe mnakuja huku mchatiiii hadi mtoke jasho....ila majukwaa mengine inakua kero
Nyuzi zinazo husu uzinzi zinanikera sanaKitu gani hukufanya ujiskie kero au ujiskie vibaya ukiwa humu jukwaani, achilia mbali maoni na mitazamo tofauti na yako kutoka kwa miongoni mwa wana JF π
Sisi ni pacha. Yoyote utakaye mquote ujumbe utamfikia. Sawa baby?Sijui kwanini hua nawafananisha sana Demi na Evelyn Salt hua najisahau kua namquote nani kati yenu!
π
Sawa kabisa,jf wameejaa ma Don hukuπEti kila mwanachama jf anamiliki nyumba na gari.
Haina shida usijali,Sisi ni pacha. Yoyote utakaye mquote ujumbe utamfikia. Sawa baby?
π π π π πHaina shida usijali,
Naogopa kujibebisha nisije kuharibu uzi coz mm ndio nimekemea hilo.
π
Huku hakuna kapuku. πππSawa kabisa,jf wameejaa ma Don hukuπ
Hapa upo chit chat unaandika hata nje ya mada, yani unajimwaga mwaga tu....Kumbe hapa ndio chit chat! sijawahi kuyajua majukwaa ya JF aisee,
Hua nikiingia JF naingia ''Trending'' nasoma mada na kucomment bila hata kujua nipo jukwaa gani!
That's genious Smart πΊπΊπΊπΊ!Sinaga kero sweetheart, mimi vyovyote ni sawa tu...
Na wewe piaUtakua Sawa tu rafiki,uwe na wakati mwema.
Asante,Na wewe pia