jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Masahihisho:Endapo dunia itaacha kujizungusha yenyewe katika muhimili wake hakutoluwa na majira ya mwaka kama kipupwe,kiangazi kifuku na vuli lakini pia kama itakuwa imeganda ikiwa bado no mchana mahala ulipo bhac itakuwa hivyo forever maana matokeo ya jua kujizungusha yenyewe katika mhimili wake (orbit) ni kupata usiku na mchana
Sio kila jambo ni la kufikiriaMkuu, wanasema think outside the box. Sio mbaya tukifikiri nje ya mipaka yetu, tunazipa akili zetu mazoezi ya kutokulemaa kwa kufikiria ndani ya mipaka. Hii ni hypothetical situation.
Wewe ulikuwa mtoro sana somo la jografia.Ungeuliza hivi! Nini kitatokea kama dunia ikianza kujizungusha?? Hilo ndio lingekuwa swali?? Kwakuwa haijizungushi na tunaona mambo yako poa tu, hivo swali lako halina swali ondoa alama ya ulizo kwenye habari hii
Unajua watu hawajui kwamba hata kufikiria kuna mipaka yake. Ukifikiri kwa mipaka utajua muelekeo wa fikra zako. Yaani utajuwa huku kunawezekana na huku ni kinyume chake.Sorry but this is future impossible tense....
Mi nimezaliwa na akili kwa jinsi uelewa wangu ulivo sahihi sina mashaka na elimu yangu. Wewe uliyekaa kila siku dawati la mbele kudanganyika kwa vitu vya kizungu ni wewe,Wewe ulikuwa mtoro sana somo la jografia.
Kuna mdau aliwahi kuuliza hapa kitatokea nini kama mtu akirudi kwenye tumbo la mamaaake... I was truly speechlessUnajua watu hawajui kwamba hata kufikiria kuna mipaka yake. Ukifikiri kwa mipaka utajua muelekeo wa fikra zako. Yaani utajuwa huku kunawezekana na huku ni kinyume chake.
Kufikiria bila kuchunga mipaka ndio kumetuletea mabazazi wakana uwepo wa Mola muumba.
Kufikiria bila kuchunga mipanga kuna wafanya watu wafikirie kutokywezekana halafu wenyewe wakikaa pembeni wanasifiana na kupeana moyo ya kwamba amefikiria sanaaa. Kufikiri au kuuliza maswali yasiyo wezekana ni uchache wa elimu,kupoteza muda na kuikosea AKILI.
Inabidi tufundishane jinsi ya kufikiri.
Hili tatizo bro ! Nilitaka kucheka.Kuna mdau aliwahi kuuliza hapa kitatokea nini kama mtu akirudi kwenye tumbo la mamaaake... I was truly speechless
Sisi kabla tulikuwa tunauliza maswali mfano wa hayo. Wasomi wetu wakawa wanatujibu hivi "Subirini itokee kwanza ndio tutawajibu"Kuna mdau aliwahi kuuliza hapa kitatokea nini kama mtu akirudi kwenye tumbo la mamaaake... I was truly speechless
Na kiyama haiwezi tokea ukifa ndo ujue ni kiyama yenyeweSidhani kama inaweza kutokea, na ikitokea ujue hicho kitakuwa kiyama.
MarsDah, we jamaa majibu yako yako kishule zaidi. Wewe ni great thinker. Nimeluelewa vizuri sana hapa, ila tutarushiwa upande gani? Uelekeo wa bahari ya hindi au magharibi?
Kiwango cha nishati za joto na mwanga kutoka moja kwa moja kwenye jua kitaendelea kubaki hivyo hivyo katika kila sehemu ya dunia kama kilivyokuwa wakati dunia inasimama. Kama dunia ilisimama wakati sehemu A ni usiku na sehemu B ni mchana, basi hali itaendelea kuwa hivyo hivyo. Kama sehemu C ilikuwa katika jua la 'utosini' na sehemu D ilikuwa katika jua la mawio, basi hali itaendelea kuwa hiyo hiyo. Vivyo hivyo, kama sehemu E ilikuwa ni masika na sehemu F ilikuwa ni kiangazi, basi hali itaendelea kuwa hivyo hivyo. Kwa ufupi, majira yatasimama kama yalivyo, na labda sehemu zenye giza basi mwanga pekee utapatikana kwa kuakisiwa kutoka katika unajimu mwingine kama vile nyota na mweziHabari zenu tena.
Kama kichwa cha uzi kisemavyo, nini kitatokea endapo dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na kulizunguka jua ghafla na kutulia tuli, nini kitatokea? Wale wajuao in advance, please share nasi!
More to come!
Nitatamani nirushwe Saturn.... My fav planet.Sisi binadamu na vitu vilivyomo Duniani tutarushwa kwa kasi kubwa kutoka Duniani kuelekea kwenye outer space au hata kwenye other planets huko.
Ni sawa na ukawa kwenye gari lenye mwendokasi mkubwa then ghafla lifunge breki ilhali nyinyi hamna sehemu ya kujishikiza wala kushikilia na mmepanda kwenye nyuma ya pickup... Mtajikuta mmerushwa kutoka nyuma mlipokaa hadi nje ya gari mlilopanda.
Hili ni la kwanza.
Do I make sense?
Lakini naona ni swali firikishi tu mfano unaweza kusema itakuaje kama Trump akatawala Tanzania na Anko Magu akatawala Marekani... ni kweli haiwezekani lakini je kama ingewezekana unahisi ingekuaje??Hoja yangu ni kuwa tunatakiwa tupate uhakika wa kutokea tukio analolisema mleta mada halafu ndio tuanze kuzungumzia endapo likitokea nini kitafuata.
Baadhi yetu humu wanatoa hitimisho/wanafikiria kitakachofuata baada ya tukio kutokea ilihali hakuna uhakika wa kutokea.
Nimesoma RELATIVITY (both special and general) zile za albert einstein na pia QUANTUM MECHANICS lakini hakuna hata sehemu moja imekiri hichi kitu sa sijui hiyo uliyosoma wewe umezitolea wapi?Tutarushwa kuelekea kwenye anga hewa huko outer space na kuaicha Dunia... Tunaweza kuelekea kwenye sayari ya aidha Mars au Venus na sio baharini maana tutavurumushwa kwa kuuacha uso wa Dunia.
Aerospace engineer inakiri hili pia kwa mapana kutokana na theory zake za relativity and quantum.
Mi nimezaliwa na akili kwa jinsi uelewa wangu ulivo sahihi sina mashaka na elimu yangu. Wewe uliyekaa kila siku dawati la mbele kudanganyika kwa vitu vya kizungu ni wewe,
Ungeuliza hivi! Nini kitatokea kama dunia ikianza kujizungusha?? Hilo ndio lingekuwa swali?? Kwakuwa haijizungushi na tunaona mambo yako poa tu, hivo swali lako halina swali ondoa alama ya ulizo kwenye habari hii
Watanzania bana, ndio maana tunaambiwa kuna wajinga wengi.Sio kila jambo ni la kufikiria
Kwa kweli nashindwa elewa kwa nini watu wanakuwa wagumu hivi kumuelewa aliyeleta uzi.Lakini naona ni swali firikishi tu mfano unaweza kusema itakuaje kama Trump akatawala Tanzania na Anko Magu akatawala Marekani... ni kweli haiwezekani lakini je kama ingewezekana unahisi ingekuaje??
Ndio maana ya mtoa uzi.