Nini kitatokea endapo Dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na pia endapo itaacha kulizunguka jua?

Nini kitatokea endapo Dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na pia endapo itaacha kulizunguka jua?

Endapo dunia itaacha kujizungusha yenyewe katika muhimili wake hakutoluwa na majira ya mwaka kama kipupwe,kiangazi kifuku na vuli lakini pia kama itakuwa imeganda ikiwa bado no mchana mahala ulipo bhac itakuwa hivyo forever maana matokeo ya jua kujizungusha yenyewe katika mhimili wake (orbit) ni kupata usiku na mchana
Masahihisho:
Majira ya mwaka yanapatikana kwa dunia kuzunguka jua, dunia kujizungusha katika mhimili wake tunapata usiku na mchana tu.
 
Ungeuliza hivi! Nini kitatokea kama dunia ikianza kujizungusha?? Hilo ndio lingekuwa swali?? Kwakuwa haijizungushi na tunaona mambo yako poa tu, hivo swali lako halina swali ondoa alama ya ulizo kwenye habari hii
Wewe ulikuwa mtoro sana somo la jografia.
 
Sorry but this is future impossible tense....
Unajua watu hawajui kwamba hata kufikiria kuna mipaka yake. Ukifikiri kwa mipaka utajua muelekeo wa fikra zako. Yaani utajuwa huku kunawezekana na huku ni kinyume chake.

Kufikiria bila kuchunga mipaka ndio kumetuletea mabazazi wakana uwepo wa Mola muumba.

Kufikiria bila kuchunga mipanga kuna wafanya watu wafikirie kutokywezekana halafu wenyewe wakikaa pembeni wanasifiana na kupeana moyo ya kwamba amefikiria sanaaa. Kufikiri au kuuliza maswali yasiyo wezekana ni uchache wa elimu,kupoteza muda na kuikosea AKILI.

Inabidi tufundishane jinsi ya kufikiri.
 
Unajua watu hawajui kwamba hata kufikiria kuna mipaka yake. Ukifikiri kwa mipaka utajua muelekeo wa fikra zako. Yaani utajuwa huku kunawezekana na huku ni kinyume chake.

Kufikiria bila kuchunga mipaka ndio kumetuletea mabazazi wakana uwepo wa Mola muumba.

Kufikiria bila kuchunga mipanga kuna wafanya watu wafikirie kutokywezekana halafu wenyewe wakikaa pembeni wanasifiana na kupeana moyo ya kwamba amefikiria sanaaa. Kufikiri au kuuliza maswali yasiyo wezekana ni uchache wa elimu,kupoteza muda na kuikosea AKILI.

Inabidi tufundishane jinsi ya kufikiri.
Kuna mdau aliwahi kuuliza hapa kitatokea nini kama mtu akirudi kwenye tumbo la mamaaake... I was truly speechless
 
Kuna mdau aliwahi kuuliza hapa kitatokea nini kama mtu akirudi kwenye tumbo la mamaaake... I was truly speechless
Sisi kabla tulikuwa tunauliza maswali mfano wa hayo. Wasomi wetu wakawa wanatujibu hivi "Subirini itokee kwanza ndio tutawajibu"
 
Dunia ikisimama gafla maana yake ni
1.mfumo mzima wa ulimwengu utakua umeingiwa na interference
2.jua litakua limeloose its powers,forces na energy..maana jua litakua limezima
3.maana yake litakua halitoi tena mwanga na joto
4.maana yake hata its gravitational pull litakua halina tena
5.maana yake hata zile chemical reaction za fussion na fission ztakua hazifanyik tena,..nkimaanisha pale kwenye jua kila sekunde ni kama mabomu ya nyukilia trilion 1 yanalipuka kila siku hyo energy yake yaan
6.maana yake hakutakua na nguv za uvutano kokote katika ulimwengu..sabab nyota ztakua znakufa,kufa maana yake ni ku luz energy
7.maana yake jua likizima dunia ita freeze in a mata of seconds kila kitu kitakua barafu
8.maana yake vitu vitagongana gongana na kuvunjika
9.maana yake imagine unapogandisha kitu halaf ukakivunja,kitavunjika vipande vipande

Namalizia hzo ndo scenario ztakazo tokea,..na nyingne nying. Sjaziweka hapa. Sio kitu rahis rahis tu.

Na NINAPINGA kwamba tutarushwa nje huki kwenye outerspace..
 
hivyo vitu tunafikiria tu lakini haviwezi kutokea kwame,
uhakika huo tunaupata kwenye Zaburi 104: 5 "Ameiimarisha dunia juu ya misingi yake; Haitasogezwa kutoka mahali pake milele na milele."
 
Habari zenu tena.
Kama kichwa cha uzi kisemavyo, nini kitatokea endapo dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na kulizunguka jua ghafla na kutulia tuli, nini kitatokea? Wale wajuao in advance, please share nasi!

More to come!
Kiwango cha nishati za joto na mwanga kutoka moja kwa moja kwenye jua kitaendelea kubaki hivyo hivyo katika kila sehemu ya dunia kama kilivyokuwa wakati dunia inasimama. Kama dunia ilisimama wakati sehemu A ni usiku na sehemu B ni mchana, basi hali itaendelea kuwa hivyo hivyo. Kama sehemu C ilikuwa katika jua la 'utosini' na sehemu D ilikuwa katika jua la mawio, basi hali itaendelea kuwa hiyo hiyo. Vivyo hivyo, kama sehemu E ilikuwa ni masika na sehemu F ilikuwa ni kiangazi, basi hali itaendelea kuwa hivyo hivyo. Kwa ufupi, majira yatasimama kama yalivyo, na labda sehemu zenye giza basi mwanga pekee utapatikana kwa kuakisiwa kutoka katika unajimu mwingine kama vile nyota na mwezi
 
Sisi binadamu na vitu vilivyomo Duniani tutarushwa kwa kasi kubwa kutoka Duniani kuelekea kwenye outer space au hata kwenye other planets huko.

Ni sawa na ukawa kwenye gari lenye mwendokasi mkubwa then ghafla lifunge breki ilhali nyinyi hamna sehemu ya kujishikiza wala kushikilia na mmepanda kwenye nyuma ya pickup... Mtajikuta mmerushwa kutoka nyuma mlipokaa hadi nje ya gari mlilopanda.
Hili ni la kwanza.

Do I make sense?
Nitatamani nirushwe Saturn.... My fav planet.
 
Hoja yangu ni kuwa tunatakiwa tupate uhakika wa kutokea tukio analolisema mleta mada halafu ndio tuanze kuzungumzia endapo likitokea nini kitafuata.

Baadhi yetu humu wanatoa hitimisho/wanafikiria kitakachofuata baada ya tukio kutokea ilihali hakuna uhakika wa kutokea.
Lakini naona ni swali firikishi tu mfano unaweza kusema itakuaje kama Trump akatawala Tanzania na Anko Magu akatawala Marekani... ni kweli haiwezekani lakini je kama ingewezekana unahisi ingekuaje??

Ndio maana ya mtoa uzi.
 
Tutarushwa kuelekea kwenye anga hewa huko outer space na kuaicha Dunia... Tunaweza kuelekea kwenye sayari ya aidha Mars au Venus na sio baharini maana tutavurumushwa kwa kuuacha uso wa Dunia.

Aerospace engineer inakiri hili pia kwa mapana kutokana na theory zake za relativity and quantum.
Nimesoma RELATIVITY (both special and general) zile za albert einstein na pia QUANTUM MECHANICS lakini hakuna hata sehemu moja imekiri hichi kitu sa sijui hiyo uliyosoma wewe umezitolea wapi?
 
Mi nimezaliwa na akili kwa jinsi uelewa wangu ulivo sahihi sina mashaka na elimu yangu. Wewe uliyekaa kila siku dawati la mbele kudanganyika kwa vitu vya kizungu ni wewe,

Kama unatetea una akili ila ulishindwa pata maarifa na kuelewa kuhusu ulichoandika hapa chini na unaona uko sahihi kabisa basi kuna tatizo kubwa mkuu.

Nikufahamishe kuwa dunia tayari inajizungusha yenyewe ktk mhimili wake, inayosababisha tupate usiku na mchana.

Ungeuliza hivi! Nini kitatokea kama dunia ikianza kujizungusha?? Hilo ndio lingekuwa swali?? Kwakuwa haijizungushi na tunaona mambo yako poa tu, hivo swali lako halina swali ondoa alama ya ulizo kwenye habari hii
 
Sio kila jambo ni la kufikiria
Watanzania bana, ndio maana tunaambiwa kuna wajinga wengi.
Hicho kilichosemwa ni kweli kutokea sio rahisi ila fikiria endapo imetokea itakuaje. Mkuu Usiwe mvivu wa kufikiri kiasi kwamba unatafuta easy escape route, kama nilivyosema mwanzo. Ulikuwa mtoro darasa la jografia maana hujui hata usiku na mchana unapatikana vipi.
 
Lakini naona ni swali firikishi tu mfano unaweza kusema itakuaje kama Trump akatawala Tanzania na Anko Magu akatawala Marekani... ni kweli haiwezekani lakini je kama ingewezekana unahisi ingekuaje??

Ndio maana ya mtoa uzi.
Kwa kweli nashindwa elewa kwa nini watu wanakuwa wagumu hivi kumuelewa aliyeleta uzi.
Ni swali fikirishi tu.
 
Back
Top Bottom