Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Habari mkuu. Hakikisha unaenda mahakamani.
Katika suala la talaka huwa ni LAZMA kabla ya kwenda mahakamani suala hilo lifike kwanza baraza la usuluhishi. Endapo baraza litashindwa kusuluhisha ndipo sasa mlalamikaji huenda mahakamani.
Sababu za mahakama kuvunja ndoa huwa ni
1. Ukatili(kipigo, matusi, nk)
2. Kumtelekeza mwenza
3. Kubadili dini iwapo ndoa ilikua ya kidini
4. Kushindwa kuchakatana
Nenda kaeleze namna ulivyochangia kuchuma mali mlizo nazo, kajitetee namna sababu za kuomba talaka kama zina mashiko.

Usiache kwenda maana usipoenda mahakama itaendelea na kwa kuwa hutakuwepo itakua ni ngumu ama haiwezekani kuchallenge chochote hata kama mwenza wako atakua amezingumza uongo.
Usisuse kwa ajili ya hasira, utanishukiru
 
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)

Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!

Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!

Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!
MSALITI hasamehewi
Ibaki kua hivo tum
 
Habari mkuu. Hakikisha unaenda mahakamani.
Katika suala la talaka huwa ni LAZMA kabla ya kwenda mahakamani suala hilo lifike kwanza baraza la usuluhishi. Endapo baraza litashindwa kusuluhisha ndipo sasa mlalamikaji huenda mahakamani.
Sababu za mahakama kuvunja ndoa huwa ni
1. Ukatili(kipigo, matusi, nk)
2. Kumtelekeza mwenza
3. Kubadili dini iwapo ndoa ilikua ya kidini
4. Kushindwa kuchakatana
Nenda kaeleze namna ulivyochangia kuchuma mali mlizo nazo, kajitetee namna sababu za kuomba talaka kama zina mashiko.

Usiache kwenda maana usipoenda mahakama itaendelea na kwa kuwa hutakuwepo itakua ni ngumu ama haiwezekani kuchallenge chochote hata kama mwenza wako atakua amezingumza uongo.
Usisuse kwa ajili ya hasira, utanishukiru
Ahsante mkuu. Katika sababu ukizotaja hapo, ya kwanza inanihusu. Nilimlamba vitasa baada ya kukuta picha za hovyo kwenye simu yake
 
Daah Naichukia taraka, watoto wanaenda kuishi na mzazo mmoja!, pole ndugu, nakutakia maamuzi yenye busara katika kuliamua hili.

.

Wengi wanaishi maisha ya sononi na kukosa Furaha sababu ya kuwaza kama wewe.
Maisha bila amani na Furaha ni Sawa na sifuri.
Watoto Mungu atajua jinsi ya kuwasaidia maisha yataendelea vema tu eventually.
Wanaishi yatima na machokoraa sembuse watoto wa kuishi na baba tu au mama yao tu.
Sasa Watu hadi wanafika pa kutoaminiana kutaka kuuana , wameambizana Maneno na matusi yote wamemalizana, umazani ni salama kuendelea kuishi dari moja ??!
 
Wengi wanaishi maisha ya sononi na kukosa Furaha sababu ya kuwaza kama wewe.
Maisha bila amani na Furaha ni Sawa na sifuri.
Watoto Mungu atajua jinsi ya kuwasaidia maisha tatar da vema tu eventually.
Wanaishi yatima na machokoraa sembuse watoto wa kuishi na baba tu au mama yao tu.
Sasa Watu hadi wanafika pa kutoaminiana kutaka kuuana , wameambizana Maneno na matusi yote wamemalizana, umazani ni salama kuendelea kuishi dari moja ??!
Ni kwel lakin, japo kwa watoto inawapa shida hasa mwanzo ingawa after a while wanazoea.
 
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)

Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!

Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!

Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!
Huu ndiyo uanaume!
 
Ahsante mkuu. Katika sababu ukizotaja hapo, ya kwanza inanihusu. Nilimlamba vitasa baada ya kukuta picha za hovyo kwenye simu yake
Nenda kadefend talaka mzee, usiruhisu jazba ukufanyie maamuzi. Kama kesi ipo Dar tuwasiliane PM lakini usiache kutokea mahakamani na hasa kuhoji uhalali wa yeye kuomba talaka
 
Utaitwa kwa "summons" Mara tatu.. Kama utakuwa huzipokei zitatumwa kwa njia ya WhatsApp
Kama hujatokea sheria inamruhusu kwenda kwenye gazeti la serikali na kuweka tangazo hilo la wito juu ya kesi ya mahari
Tangazo husika lina vipimo maalum na linalipiwa
Mdai sheria itamtaka apeleke mahakamani risiti ya tangazo na gazeti ama kipande cha gazeti la serikali lenye tangazo husika
Baada ya hapo kesi itaitwa tena kama bado hujatokea ataapa na kutoa ushahidi wake bila uwepo wako.. Kisha hakimu atatoa hukumu ya upande mmoja na kumpa ushindi yeye
Hukumu ikishatoka hataipewa mpaka upite mwezi nadhani kwa ajili ya kutoa nafasi ya kukata rufaa.. Kama mpaka hapo bado tuu .. Jalada la shauri litafungwa na yeye kutakiwa kukazia hukumu.

Ushauri Wangu kwa afya ya watoto unaweza kuwaandia power of attorney umiliki wa nyumba na mashamba
Mama usimuache kabisa. Ila mwache aende mwenyewe mahakamani..KESI ZA TALAKA ZINADHALILISHA SANA
Power of attorney mkuu itapingwa kwa sababu atakuwa amewaandikia kukiwa na mgogoro tayari! Hiyo MAWAKILI watasema ni janja ya mwanaume! Kikubwa wagawane mbao tu!
 
Nenda kadefend talaka mzee, usiruhisu jazba ukufanyie maamuzi. Kama kesi ipo Dar tuwasiliane PM lakini usiache kutokea mahakamani na hasa kuhoji uhalali wa yeye kuomba talaka
Nimekuelewa mkuu, na nitakuchek Pm
 
Kwanini Unafanya Uamuzi wa kuacha Kila kitu?.

Kwanini wanaume wajinga huwa mnaamini Maisha ni kufumba na Kufumbua umetoboa?.

Kwanini wanaume wajinga ,Huwa mnafanya maamuzi ya ajabu sana?.


Unahisi huko ulikoenda kuanza Upya, Utafanikiwa?.

Kwamba Unahisi ukimuachia Kila kitu, Nawewe ukaenda kuanza Upya, siku ukifulia atakupokea?

Kama ambavyo Hana kitu lkn kaamua kutaka nusu ya Mali, vivovivo utakapofulia utakua Hauna Thaman yoyote kwako.

Wewe huwajui Wanawake, Wanawake hawajawah kupenda na hawatokaa wapende, WANAWAKE SIKU ZOTE HUMHESHIMU MWANAUME YOYOTE atakayepita machoni mwao na kuwafanyia wajihisi comfotaboooo.

Hapo upo ??


Jambo ambalo ulitakiwa kulipigania ni kuhakikisha JASHO LAKO HALIPOTEI BURE

Ona mtego ulipo, Anachukia Kila kitu, wewe ndo umeenda kujitafuta Upya, alafu bado UTAWAJIBIKA KWEMYE MATUNZO BILA KUJALI UNAJITAFUTA AU LAH!!.



NADHAN UMEROGWA, WALA USIDHAN NDIO UANAUME.

Mimi Sina Undugu na mwanamke, Undugu wangu ni watoto tu .

Ni kweli wanawake wengine huwa wanawaroga wanaume zao uchawi wa sakizi.
Mwanaume wa Watu anajikuta anaondoka na nguo alizovaa mwilini tu anaacha kila kitu hata kama ni ghorofa 👌👌
Wanaume ni vile wanaona aibu kusema lakini wengi wamefanyiwa dhuruma kubwa na wake zao.
Iła mwanamke unaefanya hayo ni dhambi kumbwa sana na ujue Mungu atakulipa kwa dhuruma żako hizo.
Halafu ukiwakuta wanawake wakiongea utasema wameonea kumbe hakuna kuonewa.
Wanaume wanatembea wamebeba mambo mazito vifuani Wengine ndio maana wanaumwa visukari na presha, wengine wanapata ajali wanagonga Magari kwa msingi wa mawazo n.k
Kisa egi mwanamke amekuta meseji ya mchepuko Basi inakuwa nongwa hadi talaka na kudai mali. 🤔🤔
 
Nilikuta picha za hovyo kwenye simu hale karekodiwa ,nikataka ufafanuzi kwa amani tu ila akajibu shit, nikamchapa
Huyo mkeo ni mhuni tu ila ulikosea kumchapa....

Hupaswi kuwa na maamuzi ya hasira dhidi yake, achana naye kwa amani, nenda mahakamani mkamalizane kisheria kisha endelea na maisha yako ila chukua watoto wako ukae nao.
 
Hawa wanafanya wanaume tudharaulike asee🤣🤣🤣

Yaani nijenge nyumba kizembe tu nimwachie mtu
Wanaojua mziki wa kujenga wataelewa
Anazingua huyu!

Halafu wenzake wanachofanya baadhi ya vitu ambavyo mwanamke alimkuta navyo ambavyo ni vya thamani, wakiona mwanamke ameshaanza kudai talaka zile hatua za mwanzoni, wenzake huwa wanahamisha umiliki. Kama yupo baba yake anahamisha umiliki kufanya ni mali ya familia ili kulinda mali zake.


Mwanamke afanye yote ila mali zangu, hapana. Bora warithi familia yangu ukoo wangu ila siyo yeye!
 
Huyo mkeo ni mhuni tu ila ulikosea kumchapa....

Hupaswi kuwa na maamuzi ya hasira dhidi yake, achana naye kwa amani, nenda mahakamani mkamalizane kisheria kisha endelea na maisha yako ila chukua watoto wako ukae nao.
Mkuu ndio ilishatokea tena hivyo
 
Ahsante mkuu. Katika sababu ukizotaja hapo, ya kwanza inanihusu. Nilimlamba vitasa baada ya kukuta picha za hovyo kwenye simu yake
Yani ndo kilichomkimbiza mahakamani hiki😳,,nenda mahakamani naamini huwa haitoi maamuzi hapo hapo,kuna muda mtapewa wa kujitafakari huku mkiendelea kuishi pamoja,,,,,, nasema ivi coz nna ushuhuda wa wazazi wangu.
 
Back
Top Bottom