Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Hapana, acha iendelee. Unadhana hao paka watakukumbuka acha tu kukuombea wewe mtu mweusi ukipatwa na tatizo?Vita ni kitu kibaya popote pale kwa sababu siku zote wanaopata matatizo ni wale innocent’s !!
Tuombe Mungu hii vita iishe haraka !!
Acha kuandika pumba.Utajuaje sasa kama jamaa wameruhusu ili wapate sababu ya kuingia Gaza? Hii Dunia haiko kama tunavyoiona. Yale mashambulizi ya September 11 pale marekan unajua watoto wa mjini waliseti wakapata sababu ya kuvamia Iraq Afghanistan nk. Wakati mwingine hiv vyombo vinafanya kaz kinyume. Ingawaje pia kuna kuzidiwa.
Jamaa ana hoja kubwa sana mkuu usiseme ni pumba.Acha kuandika pumba.
Acha ujinga, kwani mtu kufa ni lazima awe ameuwawa na marekani??Kwani Osama yuko hai?
Mm nimesema wame-dramatize. Au hujui maana ya kudramatize?Nachelea kusema huna akili, taifa la wazayuni uhai wa mtu wao nimuhim kuliko chochote mwaka 2006 waliachilia mateka mia 3 ilikubadilishana nakijana wao mmoja tu, et leo unasema wameamua watu wao zaid ya mia 7 nawanajesh wakiwemo kuuwawa
Acha upumbavuKwahiyo sahivi ndo mmeona watu wanakufa kisa Israel kujibu mashambulizi?
Juzi watu waMefurahi sn humu tuna waangalia tu,wale ndo Wana akili?
Btw mi sio shabiki ...
Na Nina akili zangu timamu...
Kusema acha nione mwisho wake ndo nimeshabikia?
Kuna watoto wengi sana humu jamii forum nowadays. Mtu mzima huwezi shabikia vifo vya watu.Acha upumbavu
Haijalishi uko upande gani vifo vya watu sio jambo la kushabikia
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kuna mengine hupangwa makusudi.Ndiyo. Bado Ina intelejinsia imara.
Ila kumbuka kuwa hakuna intelejensia yoyote duniani isiyopenyeka!! Shambulio la 9/11 linathibitisha hilo.
Hamas ni mchokozi.Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea.
Kwa kichapo kilichotokea maana yake Dunia haipo salama dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasa. Ni ishara kwamba dola zote duniani zinapaswa kuanza kutathimini hali za amani kwenye maeneo yao.
Ugaidi siyo jambo linalotumia miaka kufanyika ila utumia sekunde kuvuruga nchi. Israel imevamiwa, ofcos watalipa kisasi kwa kuwaua raia lakini lazima wapo watu watawajibishwa kwa kutotimiza wajibu wao.
Kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi na Raia wa Israel wamechukuliwa mateka. Kuchukua Raia na wanajeshi mateka kunaihakikishia Palestina ushindi kwani wanaweza kutumia mateka kumfanya Israel arudishe mashambulizi nyuma.
Suala ili lina muunganiko na imani hasa huku Afrika na Tanzania. Je ndani ya Imani unaamini kati ya Israel na Palestina nani achapwe? Katika tafakuri ya wazi unaamini nani mchokozi kati ya mataifa haya mawili?
Mwisho; Tanzania tukawatoe watu wetu kwenye mataifa haya mapema.l
September 11 ni kazi yao marekani,hii ya hamas waisrael zaidi ya buku kuuliwa ni kufeli kwa intelligence siyo mipango yao,which means Kuna mtu Katia mkono kwenye intelligence ya IsraelJamaa ana hoja kubwa sana mkuu usiseme ni pumba.
Kumbuka ya September 11 Marekani chini ya Bush Jr. Marekani ilitengeneza sababu ili kuivamia Iraq and Afghanistan.
Bado ujaua ukweli .September 11 ni kazi yao marekani,hii ya hamas waisrael zaidi ya buku kuuliwa ni kufeli kwa intelligence siyo mipango yao,which means Kuna mtu Katia mkono kwenye intelligence ya Israel
Sijui kama unajua Hamas ni zao la Marekani!!September 11 ni kazi yao marekani,hii ya hamas waisrael zaidi ya buku kuuliwa ni kufeli kwa intelligence siyo mipango yao,which means Kuna mtu Katia mkono kwenye intelligence ya Israel
Acha utotoSijui kama unajua Hamas ni zao la Marekani!!
Huna ujualo, zaidi ya 'dhana dhahania'(conspiracy theory)Bado ujaua ukweli .
Mainfoma wamewalisha matangopori wana intelijensiaSeptember 11 ni kazi yao marekani,hii ya hamas waisrael zaidi ya buku kuuliwa ni kufeli kwa intelligence siyo mipango yao,which means Kuna mtu Katia mkono kwenye intelligence ya Israel
Israel Wana cameras,thermals ,wanawasikiliza 24/7..unashangaa Hamas wamepenyajeMainfoma wamewalisha matangopori wana intelijensia