Nini njia ya kukomesha wizi huu majumbani?

Njia nzuri ya kumdhibiti jambazi alie kuwahi ni kutulia mali inatafutwa ila roho unayo moja, na ukimuwahi wewe usiwe na huruma ikiwezekana mkate Kate vipande vidogo vidogo size nyama ya sambusa
 
Dawa yao ni kuweka komeo kwa ndani na kupiga kufuli.
Madrili mengi mbona yana sehemu za kuweka kufuli la kuning'iniza!
 
Ni maeneo gani Kaka?
 
Lilikuwa jizi lililokubuhu. Liliiba uchaguzi mchana kweupe.
Mlishangilia jpm kufa Sasa yawakuta , tulilala milango wazi hapa dar , jamaa alikuwa noma sana Kwa wezi , majambazi hadi wazee wa ngada

USSR
 
Wanaleta hasara kubwa sana
Hawa shwaini waliwaingilia wapangaji wangu last Sunday, wameiba simu ila Mungu wa ajabu mmoja akadhibitiwa ndani ya geti pamoja na kuwaumiza vijana wangu. Nilimpambania asiuwawe,raia nusra wanitoe uhai, hakuliona jua la asubuhi,kaenda mbinguni bila petroli.
 
Pole sana Uncle.
 
Nilimpoteza jamaa yangu kwa style hiyo Mkuu,

Sitaki Kukumbuka Ile siku, Bado lile tukio linanitesa Hadi kesho.

TooBad .
Mungu ampumzishe rafiki huko aliko. Alikuwa mtu mwema mno.
mbaya sana hii usiombe yakukute,kuna siku rafiki yangu pia alikutwa na hiyo issue mpk namtoa pale ashukuru mungu ila alikua tayari amebagazwa haswa.
 
Nilimpoteza jamaa yangu kwa style hiyo Mkuu,

Sitaki Kukumbuka Ile siku, Bado lile tukio linanitesa Hadi kesho.

TooBad .
Mungu ampumzishe rafiki huko aliko. Alikuwa mtu mwema mno.
Pole Sana. Ilikuwaje Mkuu....
 
Mlishangilia jpm kufa Sasa yawakuta , tulilala milango wazi hapa dar , jamaa alikuwa noma sana Kwa wezi , majambazi hadi wazee wa ngada

USSR
Labda mwenzetu unaishi masaki ndio maana mlikuwa mnalala milango wazi au unaishi ushirombo dar hujawah kuishi unatuchora tu

Sisi wa uswazi lazima tujikoki anytime na si uswazi tu hata kata zinazoendelea kama goba nk kulikuwa hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ