Nini njia ya kukomesha wizi huu majumbani?

Dawa ni ukiwakamata unawafanyia kama jamaa wa kule uingereza maana aliwafungia ndani na kuwashugulikia ipasavyo

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee jaman, khaaah
 
Kuna style nyingine,wanakuja kwako kama una bomba nje wanafungulia maji ,we ukitoka tu unao

Ila kikubwa ni kuimarisha ulinzi tu
Nyie wenyewe

Ova
Duuuh hali ni mbaya sana, mweeeeh
 
Kinachoniumizaga anakuibia kitu kikubwa chenye thamani anaenda kuuza bei ya nyanya,si heri angekuomba umpe hiyo hela.

Simu ya laki mbili anaenda kubadilishana na konyagi ndogo aisee.
Wanatia hasira sana hao viumbe.

Halaf bora wengine wakuibie kistaarabu basi... unakuta kipigo wanakupa na bado vitu vyako wanakuibia.
 
Fungeni. CCTV cameras
 
Ni sawa wanaiba ILA HILI la kuwapa napanga na kuwachoma moto sio zuri mkimkamata pelekeni mahala husika sio kujichukulia sheria mkonon
Ila wao wakitupiga mapanga ya kichwa ni sawa na mali wanakomba na pesa mpaka ya kujitibia wanakomba.
 
Angalia pia isije ikauwa familia yako au Jamaa zako!!? Mistake zipo! Mtego wa panya hata mendi aweza nasa!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
True kuna mtu aliua mtoto wake,alitega umeme kwenye gari akasahau kuzima mchana, watoto wanacheza mpira umeingia uvunguni Mwa gari mtoto wake kaufuata uvunguni Mwa gari akapigwa short.
Umeme tega juu ya fence au juu ya paa uwapige shoti wachawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…