[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee jaman, khaaahDawa ni ukiwakamata unawafanyia kama jamaa wa kule uingereza maana aliwafungia ndani na kuwashugulikia ipasavyo
Ova
Duuuh hali ni mbaya sana, mweeeehKuna style nyingine,wanakuja kwako kama una bomba nje wanafungulia maji ,we ukitoka tu unao
Ila kikubwa ni kuimarisha ulinzi tu
Nyie wenyewe
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa watoto vipi? Khaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]View attachment 2241677
Walinipiga kwa staili hii mkuu.Kufungua makufuli wanatumia viberiti vya gesi kuyaunguza makufuli yanaua spring ndogo ndani ya kufuli na kufunguka kwa urahisi pia wanatumia mitungi midogo ya gesi wakija wanalichoma kufuli lako ni dk sifuli limeachia.
Wanatia hasira sana hao viumbe.Kinachoniumizaga anakuibia kitu kikubwa chenye thamani anaenda kuuza bei ya nyanya,si heri angekuomba umpe hiyo hela.
Simu ya laki mbili anaenda kubadilishana na konyagi ndogo aisee.
Hatari sana,huku kwetu wanajiita tatu mzuka,yani ukikutana nao lazima watakuumiza tu.Wanatia hasira sana hao viumbe.
Halaf bora wengine wakuibie kistaarabu basi... unakuta kipigo wanakupa na bado vitu vyako wanakuibia.
Na sijui wanajiamini niniHatari sana,huku kwetu wanajiita tatu mzuka,yani ukikutana nao lazima watakuumiza tu.
Bangi wanachanganya na ugoro,inawapa mzuka.Na sijui wanajiamini nini
Fungeni. CCTV camerasNiende moja kwa moja kwenye mada kama maeneo nayoishi kumekuwa na vitendo vya wizi mchana na usiku ila style wanayotumia wizi ni kama aina mpya flani kwani kama miezi miwili kuna wezi walivamia usiku kwenye duka la vifaa vya ujenzi na kuiba bila kuvunja grill yaani walifungua kufuli kama kwao vile.
Juzi tena kuna jirani mchana ametoka amefunga mlango pamoja na grill jamaa wakaenda wakafungua kama kwao na kubeba kila kitu walichotamani kubeba.
Usiku wa leo jamaa wameenda tena mtaa wa jirani wakafungua mlango bila kuvunja wakabeba Tv ,simu pamoja na pesa japo kwa maelezo yake anahisi walimpulizia dawa za kulala .
Hatua ya kwanza tumechukua ni kuaza kulala na majaba au mabeseni ya maji chumbani kwani inasemekana hata wakikupulizia dawa ya kulala haifanyi kazi (hatuna uhakika).
Ila kinachotupa shida wanawezaje kufungua milango na magrill bila kufunja wanatumia njia gani na njia gani ya kuweza kudhibiti wizi huu wa majumbani?
Sio wa kuwaonea huruma hao.Bangi wanachanganya na ugoro,inawapa mzuka.
Sa hii tukiwafumania hatuwakopeshi chap wanakuwa wateja wa israel mtoa roho.
Ila wao wakitupiga mapanga ya kichwa ni sawa na mali wanakomba na pesa mpaka ya kujitibia wanakomba.Ni sawa wanaiba ILA HILI la kuwapa napanga na kuwachoma moto sio zuri mkimkamata pelekeni mahala husika sio kujichukulia sheria mkonon
True kuna mtu aliua mtoto wake,alitega umeme kwenye gari akasahau kuzima mchana, watoto wanacheza mpira umeingia uvunguni Mwa gari mtoto wake kaufuata uvunguni Mwa gari akapigwa short.Angalia pia isije ikauwa familia yako au Jamaa zako!!? Mistake zipo! Mtego wa panya hata mendi aweza nasa!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Likiwa kwa ndani na limewekwa sehemu ya kificho watafunguaje?Kufuli wanafungua bila shida
Changamoto gharama na sio kila mtu anao uwezo wa kuwekaFungeni. CCTV cameras
We ngoja tu,40 yao yaja.Sio wa kuwaonea huruma hao.
Uhuru umepitiliza
WNakua wangapi mkuu ,wanaibajeHatari sana,huku kwetu wanajiita tatu mzuka,yani ukikutana nao lazima watakuumiza tu.
Kuanzia watatu mkuu,wanakubabanisha gizani wanakujeruhi na kukuibia.WNakua wangapi mkuu ,wanaibaje