Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sasa ukipata mshahara tar 21 ndo umepata kwa wakati?Mimi naona mwandishi yupo sahihi
Hivi unajua pesa usipoipata kwa wakati ni sawasawa na hasara!
Ukitaka kuishi tofauti na malengo yako wewe pata pesa baada ya wakati. Ni kipindi ambacho mtu utaona umepata pesa nyingi lakini zinaishia kulipa madeni.
Umefungua ajili za vilaza, ingawa hawatakuelewa !!Hivi jamani ukilipwa tar 16 had 16 mwezi mwingine. Na tar 30 hadi 30 ya mwezi mwingine.
Kuna tofauti gani hapo?
Huu mwezi sijui kuna shida ganiWewe ndio mchawi wetu,Ona sasa Mwezi huu!
Utafanya watu watoroke maeneo yao ya kazi bure wewe.
mzee unamaanisha amaNaona tayari tarehe 22 mzigo upo hewani
tusubiri tena tarehe 22/7 mshahara mwingine.Naona tayari tarehe 22 mzigo upo hewani
Sasa wewe ulitakaje?.Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.
Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.
Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Enzi ya mwendazake nipo alosto lindo kwa unaa wa RSM mmoja ghafla sms ikaingia, kucheki ni salary ya december na hapo ni tarehe 19
daa nimekutana na bonge la promotion mshahara huu hatariitusubiri tena tarehe 22/7 mshahara mwingine.
Kuna mtu atakuja na kutoa povu...chakata salary hiyo mkuu tunaishi mara moja tu...mwagilia moyoaisee jamani ngoja tukale bucket moja ya castle lite nikalale