miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Sh ngapi mama? Au nikuletee kabisa migombani? Sipo mbalo ujue
hela ipoo ila mje na miss chagga akupe kampan
Hahahaaaa sista nimeshasema imenikata jaman ukiongelea habar za mpesa nachanganyikiwa
sikuwakilishi .. hayo ni mabo ya kuaibishana natoa salamu zako hata kitochi siwezi kuwapa .. aisee manka we niseme ukweli tu sikuwakilishi
Hapo utakuwa umeniweza
basi yaishe mdogo wangu lohAjabu hii kunidalalia mchaga mwenzio thubutuuu😉
basi yaishe mdogo wangu loh
Avatar yako tu inaonesha kuwa wewe ni wale wale.Maadili yameporomoka
Bado nakudai hela ya sikukuu ujue
Ila hawezi kuwa mkubwa kwako.
Cc, miss chagga.
acha kunidodohsa mi mkubwa
Sio kweli.