Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Why tunashambuliwa. Ila nimeamini humu watu hutoa story za vijiweni na kujifanya wanajua hiko kitu haswa. Tena ni walewale kila uzi 🤣🤣🤣🤣 Kama huu uzi unasoma, unabaki unacheka tu.Hahaha.
Ishu ya dokta ni vibaka walimvamia wakampora pikipiki.
Ila mtani wakurya watata sana.
Mdogo wangu aliolewa na mura ndoa ikamshinda. Yule bwana alikua ana vipigo. Akaona atakufa bure.
Ila wanawake hawana shida, sema tu hawako romantic wengi wao 😛 ila sio wewe pisi ya ukweli 😋
Wamasai mbona kama unawaonea sasa..kWenye jamii za wakurya na wamasai huwa sitamani kufanya kazi mahali ambapo kuna watu hawa,huwa wana hasira za kijinga kijinga sana
Mara alfu 10 uoe mkulwa kuliko malaya mashetani wajita. Hao umalaya na kugawa mbususu ndio salamu yaoNi wazuri KWA nyumba watoto wananyooka sababu wao ni jeshi pili huwa hawakimbiii nyumba utakimbia wewe hata kuwe na dhoruba vipi hata ukikimbia utakuta hawayumbi na watoto wapo strong,ni wapambanaji shida ni discipline sifuri yaani ni wababe thus utulizwa na panga rungu.Kutokuwa romantic hawana time na kuchepuka,wao ni Kazi Kazi tu.
Niliachana naye hafu nikawa nafatwa tu na wakurya nikakumbuka mapanga Yao mazoea nikakataNa ungekaa kizembe angekuja kukuua huyo
Hata Mimi boyfriend hivo hivo hasira Kali Hadi anatetemeka na kuungurumaWakurya hua wanakua na hasira za kipuuzi sana alafu ni washamba kupindukia
Kuna jamaa ni mkurya akiwa na hasira ni mpaka anatetemeka.
Waache huu ujinga utawagharimu
Walimuibia niniDah r.i.p ila wanasema walimuibia.
Ndugu yangu uongo ama hearsay vinaweza kuifanya nia yako njema ya kuuhabarisha umma igeuke chuki.Jinsi nilivyosikia ni kwamba alikuwa anaenda kazini usiku mida ya Saa 8 ambapo huenda kulikuwa na dharura hadi akaondoka kuelekea hospital muda huo.
Akawasha Bodaboda yake ili aende, akiwa njiani akatekwa na kupigwa mapanga, Bodaboda ikaporwa na ndio ikawa mwisho wake.
Basi wageni wanapouawa msikimbilie kulaumu kabila zima.Kama wake zao wanajipendekeza wenyewe acha wapigwe tu
Waume zao wana hasira hasira za kuua hawajui ku care,acha wageni wawatafune
Ameacha mke na mtotoHuyu @malye Ana kitu asikilizwe
Mdau mmoja kasema wamepewa picha tu wamemalizia mazima. Hata pikipiki yenyewe haikuibiwa.Nitakughecha wewe, hivi mtani ndiyo ukatuchukia kimoja. Wakurya mwezi wetu haswa wa Nyamongo, haki hakuna rangi tutaacha kuona.
Watu wanajiongelea hapa hawawajui Wakurya, wanasikia story za vijiweni wanakuja kutapika hapa.
Kuna rafiki yangu mkaka Msukuma kijana tu, ni Hakimu kule hawajamuua tena kameoa mwaka jana mwishoni.
Mtu wanaambiwa Dr kaibiwa na pikipiki, pia Nyamongo kuna kila kabila sababu ya mgodi. Uchunguzi wamesema ni Mkurya ndiyo kaua?
Habari za wizi nani kazileta mbona zinakuwa nyingi?Hahaha.
Ishu ya dokta ni vibaka walimvamia wakampora pikipiki.
Ila mtani wakurya watata sana.
Mdogo wangu aliolewa na mura ndoa ikamshinda. Yule bwana alikua ana vipigo. Akaona atakufa bure.
Ila wanawake hawana shida, sema tu hawako romantic wengi wao [emoji14] ila sio wewe pisi ya ukweli [emoji39]
Mkuu huu ndo ukweli halisi ambao wengi hawaujui.Ndugu yangu uongo ama hearsay vinaweza kuifanya nia yako njema ya kuuhabarisha umma igeuke chuki.
Huyu daktari alikuwa anaishi kituo cha kazi na muda wa tukio ni kati ya saa 4_5 usiku (sio saa nane kama ulivyoandika na eneo la tukio ni zaidi ya 2km kutoka kituo cha kazi). Dk alikuwa ameshamaliza majukumu yake ya kikazi. Ilikuwa hivi
Yeye ni mtu alipenda sana kupata kiburudisho baada ya kazi za siku nzima. Aliondoka kwenda sehemu ya starehe na baadaye kutakaahamie eneo jingine (ambapo alizoea kwenda kula chakula usiku mnene). Sehemu aliyofanyiwa tukio ni eneo korofi ambalo hata wenyeji wanaliogopa japo kwa siku za karibuni matukio yalikoma. Ndipo alikutana na wahalifu wakamuua. Pia hakukatwakatwa (randomly) bali alipigwa n vinondo na majeraha ya panga (japo hadi sasa haijathibitika kama ni panga kweli) yalikuwa madogo kiasi kwamba hata wakati wa kuuaga mwili haikuwa rahisi kuyaona ingawa yalikuwa upande wa masikio (kila upande jeraha moja).
Katika taarifa yako unasema aliibiwa pikipiki jambo ambalo sio kweli. Pikipiki ilikuwa eneo la tukio ingawa wahalifu waliondoka na funguo. Pia pikipiki haikuwa mali ya daktari bali mali ya serikli (DFP). Naomba niisie hapa kwani yaliyosalia hayana umuhimu kuandikwa hapa ili kutoharibu kazi ya uchunguzi kwani ni masuala binafsi ambayo yanapaswa kusemwa na mamlaka au familia.
Bila shaka mimi na wewe ni miongoni mwa tuliosikia bila kushuhudia tukio.Ndugu yangu uongo ama hearsay vinaweza kuifanya nia yako njema ya kuuhabarisha umma igeuke chuki.
Huyu daktari alikuwa anaishi kituo cha kazi na muda wa tukio ni kati ya saa 4_5 usiku (sio saa nane kama ulivyoandika na eneo la tukio ni zaidi ya 2km kutoka kituo cha kazi). Dk alikuwa ameshamaliza majukumu yake ya kikazi. Ilikuwa hivi
Yeye ni mtu alipenda sana kupata kiburudisho baada ya kazi za siku nzima. Aliondoka kwenda sehemu ya starehe na baadaye kutakaahamie eneo jingine (ambapo alizoea kwenda kula chakula usiku mnene). Sehemu aliyofanyiwa tukio ni eneo korofi ambalo hata wenyeji wanaliogopa japo kwa siku za karibuni matukio yalikoma. Ndipo alikutana na wahalifu wakamuua. Pia hakukatwakatwa (randomly) bali alipigwa n vinondo na majeraha ya panga (japo hadi sasa haijathibitika kama ni panga kweli) yalikuwa madogo kiasi kwamba hata wakati wa kuuaga mwili haikuwa rahisi kuyaona ingawa yalikuwa upande wa masikio (kila upande jeraha moja).
Katika taarifa yako unasema aliibiwa pikipiki jambo ambalo sio kweli. Pikipiki ilikuwa eneo la tukio ingawa wahalifu waliondoka na funguo. Pia pikipiki haikuwa mali ya daktari bali mali ya serikli (DFP). Naomba niisie hapa kwani yaliyosalia hayana umuhimu kuandikwa hapa ili kutoharibu kazi ya uchunguzi kwani ni masuala binafsi ambayo yanapaswa kusemwa na mamlaka au familia.
Mimi ni miongoni mwa walioshuhudia tukio na hata kuaga mwili mkuu. Hata ukitaka proof ya picha za maeneo ya tukio utapata. Nina uhakika 100% na hiki nilichoandikaBila shaka mimi na wewe ni miongoni mwa tuliosikia bila kushuhudia tukio.
Kwa kawaida kila mmoja wetu pindi akisikia tukio, huhadithia jinsi alivyosikia, mimi nimegusia jinsi nilivyosikia kutoka kwenye vyanzo vyangu na wewe pia umegusia kutoka kwenye vyanzo vyako vilivyokuhabarisha. Wachache ndio wenye taarifa za ukweli ila halaiki ikiwemo mimi na wewe hatuwezi kuwa na taarifa sahihi.
Kama uchunguzi wa haki utafanyika basi utasahihisha hizi habari zetu tulizonazo.
Niliwahi kufanya kazi naye kabla hajaenda huko Tarime na rafiki zake wa karibu na wengine wamehudhuria hadi mazishi yake, ndio wanatuhabarisha hivi.
Kuhusu ukweli basi tusubiri kama mamlaka watakuja na ripoti ya uchunguzi kutuweka sawa.
Wauza mayai wengi walishafanya matukio kule wakakimbia.Kwao wababe wakija dar wanauza mayai