Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Mkuu,

Mazishi yalifanyika wapi?
 
Wana hasira za ovyo ovyo sana ! Hao jamaa wakikasirika huwa hawawezi kujizuia ! Ni ulemavu wa hali ya juu
 
Umekaririshwa vibaya. Na huwajui wakurya itakuwa. Kila kabila ina wale watu wako kijijini na hali fulani. Ila pia kuna visu balaa, uliza waliokuwa na wakurya wakuambie.
Kuna mmoja wetu humu katoa ushuhuda lkn anasisitiza lazima awe chotara
 
Ila why hili kabila linawatu makatili sana,ukisikia wametajwa tu ujue mauaji,inasikitisha sana!
 
Wanawake wa kikurya nawaonaga ngoma ngumu sana

Na huwa nashangaa zaid ninaposikia habar za mgen kuchukua wake za watu huko ukurian
Wanawake wa kikuriya walio olewa hawakataagi wanapo tongozwa ingawa wanajua kuwa wakifumwa na waume zao watauawa au kukatwa viungo malaya kama nini pamoja na kukeketwa kwao
 
Nilikuwa na baby mkurya aisee ana hasira jambo dogo anaanza kuunguruma kama Simba na hivi wamelelewa kuona mwanamke si kitu ilikuwa hatari aisee I have to let go huyo kukuua ni dakika sifuri
Nakuelewa, sana...kuna jamaa mmoja ni Msomi kabisa na anaishi DSM ni Mkurya, yaani mambo yake anavyoyapeleka utasema hajasoma

Hataki simu ya Mkewe (Dada yetu) iwe na namba za Wanaume wengine zaidi ya yakwake na ya Baba Mkwe wake.

Sasa inamaana Dada hana Workmates wa kiume? Classmates zake? Ndugu wengine?

Daah, hawa jamaa hatari sana
 
Mbon wengi wa mikoa mingine tunatahiriwa kwa kisu tena bila ganzi na hatuna hayo maroho maovu, ?
Wakuriya bange wanavuta sana na gongo unawatuma kuwa na wivu wa kishamba pia wake zao malaya sana waume zao wanawapiga sana mpaka kuwakata viungo lakini hawasikiagi malaya sana
 
Ndio Sasa ka huyo daktari ukute wanawake walikuwa Wana mshobokea wanaume wakikurya wakaona wivu solution ikawa kumuua kikatili
Vijana wa kikuriya washamba wakiona uchukua mademu tena ambao hawajaolewa machengo doa lazima wakukate na panga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…