“Vyuma vimekaza afu mama anaficha grease”
 
Kama umepata wasaa wa kuusikiliza wimbo Roma mkatoliki nipeni Maua yangu..Apo kwenye verse alioimba ngolo kante anampa mbappe krosi anafunga Pogba alikuua anamaanisha nn???
 
Kama umepata wasaa wa kuusikiliza wimbo Roma mkatoliki nipeni Maua yangu..Apo kwenye verse alioimba ngolo kante anampa mbappe krosi anafunga Pogba alikuua anamaanisha nn???
Yaan hiyo ni kombineshi.... perfect kombo....
😊😊😊
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Huyu mwamba harudi tena bongo
Ndo mpango wake boss .Anataka maisha mazuri.Anataka watoto wake wapate green cards.Anaendelea kujustify kuwa anastahili kuendelea kuishi Marekani kwa ajili ya usalama wake...
 
Reactions: K11
Roma ana miziki michache sana ila anazo hotuba nyingi nzuri.Ameongeza hotuba nyingine nzuri kwenye maktaba yake.....Watu wengine ambao wana hotuba kali ni akina Mdee,Lema Mbowe,Mnyika,Wenje,Bulaya,Heche nk..
 
Nani aliimba hivi....??
 
Jamaa ameupiga mwingi Sana kudadeki!

Amenikumbusha kuhusu king Kaka aliyetoa diss Track moja matata sama kwa serikali ya Kenya,wimbo ukapigwa pini naye akataitishwa.
 
Roma _Mkatoliki kukimbia NCHI yako na kukubali kuwa foreigner pia huo ni "UANDAZI".

Kukimbia familia yako na Kwenda Marekani kuosha vyombo pia huo ni "UANDAZI" dogo!

Tuendelee kukosoana kwa hekima ndugu zangu! Huu ni uchambuzi wangu kuhusu wimbo wa Roma_Mkatoliki!
 
Wewe ambaye hujakimbia nchi una nini zaidi ya kutegemea hao hao waosha vyombo wawatumie fedha. Hadi serikali inawazimikia kwa kujidai kuwa mwaka huu wameingiza dola bilioni moja na ushei wakati mnawafanyia mtima nyongo na kuwaonea wivu.

Kama ni rahisi mwanangu jaribu uone kama utatoboa. Siyo nyie msemao kuwa ni heri kuzaliwa paka ulaya kuliko binadamu bongo tokana na ujinga na uvivu?
 
Roma kaanza kukosoa tangu wewe ukiwa huko kwenu maporini.
Umesahau wimbo wake wa Mathematics?
Roma sio chawa kama hawa wengine wanalamba midomo.
 
Roma kukimbia nchi niumaandazi
 
Kama umepata wasaa wa kuusikiliza wimbo Roma mkatoliki nipeni Maua yangu..Apo kwenye verse alioimba ngolo kante anampa mbappe krosi anafunga Pogba alikuua anamaanisha nn???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea football weyeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…